Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mafuriko

  • Mafuriko Msumbiji: Maelfu wapoteza makazi huku shule zikifungwa

    Mafuriko Msumbiji: Maelfu wapoteza makazi huku shule zikifungwa

    Feb 23, 2025 07:46

    Mafuriko makubwa yaliyoiathiri Botswana yamesababisha vifo vya watu saba wakiwemo watoto watatu na kuharibu nyumba za maelfu ya watu baada ya siku kadhaa za mvua kubwa kunyesha kote nchinu humo. Haya yamebainishwa jana na Rais Duma Boko wa nchi hiyo.

  • Watu  milioni 1.9  waathiriwa na mafuriko Chad huku mikoa yote 23 ikiathiriwa

    Watu milioni 1.9 waathiriwa na mafuriko Chad huku mikoa yote 23 ikiathiriwa

    Oct 13, 2024 02:12

    Mikoa yote 23 ya Chad imeathiriwa na mafuriko makubwa yaliyosababishwa na mvua kubwa nchini humo.

  • Mafuriko yaua makumi ya watu nchini Niger

    Mafuriko yaua makumi ya watu nchini Niger

    Sep 01, 2024 06:44

    Mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa yamesababisha vifo vya watu 20 na kujeruhi makumi ya wengine katika eneo la Maradi, kusini mwa Niger.

  • OIC yasikitishwa na mafuriko yaliyoua mamia ya watu katika nchi kadhaa za Afrika

    OIC yasikitishwa na mafuriko yaliyoua mamia ya watu katika nchi kadhaa za Afrika

    Aug 26, 2024 02:29

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imetangaza mshikamano na serikali na wananchi wa Burkina Faso, Mali, Niger, Nigeria, na Chad ambao wameathiriwa na mafuriko makubwa tangu Agosti 16.

  • Mafuriko yaua zaidi ya watu 50 kaskazini mwa Chad

    Mafuriko yaua zaidi ya watu 50 kaskazini mwa Chad

    Aug 16, 2024 10:39

    Watu wasiopungua 54 wamefariki dunia kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika jimbo la Tibesti la kaskazini mwa Chad.

  • Mafuriko kaskazini mwa Sudan yaua na kujeruhi makumi ya watu

    Mafuriko kaskazini mwa Sudan yaua na kujeruhi makumi ya watu

    Aug 07, 2024 03:20

    Shirika rasmi la Habari la Sudan (SUNA) limeripoti kuwa watu 11 wamefariki dunia na wengine 60 kujeruhiwa kutokana na mvua kubwa iliyonyesha na kusababisha mafuriko katika mji wa Abu Hamad kaskazini mwa Sudan. Mvua hiyo imebomoa makumi ya nyumba huku timu za uokoaji zikiendelea kusaka watu waliotoweka na wengine walionasa chini ya vifusi.

  • Mvua kubwa yazidisha mateso ya wakimbizi mashariki mwa Sudan

    Mvua kubwa yazidisha mateso ya wakimbizi mashariki mwa Sudan

    Jul 27, 2024 07:02

    Mvua kubwa inayoendelea kunyesha huko mashariki mwa Sudan imezidisha mateso ya watu waliokimbia makazi yao haswa katika miji ya Gedaref, Kassala na Halfa Aj Jadeedah.

  • Maporomoko ya udongo yaua mamia ya watu New Papua Guinea

    Maporomoko ya udongo yaua mamia ya watu New Papua Guinea

    May 25, 2024 11:02

    Mamia ya watu wameripotiwa kuaga dunia kutokana na mafuriko na maporomoko ya ardhi yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha huko Papua New Guinea (PNG).

  • Kiongozi Muadhamu: Kushiriki katika uchaguzi ilikuwa jihadi ya watu wa Iran

    Kiongozi Muadhamu: Kushiriki katika uchaguzi ilikuwa jihadi ya watu wa Iran

    Mar 05, 2024 11:25

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameshukuru mahudhurioa ya taifa la Iran katika vituo vya kupigia kura Machi Mosi na kusema: "Kushiriki taifa la Iran katika uchaguzi huo lilikuwa jukumu la kijamii, kiustaarabu na kijihadi."

  • UN: Maelfu wanahitaji msaada wa dharura DRC kutokana na mafuriko

    UN: Maelfu wanahitaji msaada wa dharura DRC kutokana na mafuriko

    Jan 13, 2024 11:50

    Umoja wa Mataifa umesema mamia ya maelfu ya watu huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wanahitaji msaada wa dharura kutokana na athari za mafuriko katika pembe mbali mbali za nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS