Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mafuriko

  • Familia 1,200  zahama makazi yao kutokana na mafuriko Khartoum, Sudan

    Familia 1,200 zahama makazi yao kutokana na mafuriko Khartoum, Sudan

    Oct 06, 2025 07:15

    Zaidi ya familia 1,200 za Sudan zimefurushwa katika nyumba zao na mafuriko katika mji wa Bahri katika jimbo la Khartoum, Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) lilisema hayo jana Jumapili.

  • Jenerali wa Marekani aliyesema vituo vya nyuklia vya Iran viliharibika kidogo tu atimuliwa

    Jenerali wa Marekani aliyesema vituo vya nyuklia vya Iran viliharibika kidogo tu atimuliwa

    Aug 23, 2025 09:37

    Waziri wa Ulinzi wa Marekani Pete Hegseth amemfukuza kazi jenerali ambaye tathmini yake ya awali ya kiintelijensia aliyotoa ilimkasirisha Rais wa nchi hiyo Donald Trump kwa kuripoti kwamba shambulio la kijeshi ililofanya Washington mwezi Juni dhidi ya vituo vya nyuklia vya lilisababisha uharibifu mdogo tu kwa vituo hivyo.

  • Makumi waaga dunia kwa mafuriko nchini Niger, maelfu waathirika

    Makumi waaga dunia kwa mafuriko nchini Niger, maelfu waathirika

    Aug 21, 2025 05:42

    Kwa uchache watu 47 wamepoteza maisha, huku zaidi ya 56,000 wakilazimika kuhama makazi yao kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zilizonyesha hivi majuzi nchini Niger.

  • Helikopta ya misaada yaanguka huku idadi ya waliofariki kwa mafuriko nchini Pakistan ikifikia 227

    Helikopta ya misaada yaanguka huku idadi ya waliofariki kwa mafuriko nchini Pakistan ikifikia 227

    Aug 16, 2025 05:08

    Helikopta iliyokuwa imebeba vifaa vya misaada imeanguka na kusababisha vifo vya wahudumu watano wakiwemo marubani wawili mkoani Khyber Pakhtunkhwa kaskazini magharibi mwa Pakistani huku idadi ya watu waliofariki dunia kutokana na mvua kali na mafuriko nchini kote ikifikia 227.

  • Wahanga wa mafuriko ya Texas, Marekani yaongezeka hadi watu 50

    Wahanga wa mafuriko ya Texas, Marekani yaongezeka hadi watu 50

    Jul 06, 2025 07:51

    Kufuatia mafuriko makubwa yaliyotokea katika jimbo la Texas nchini Marekani, mamlaka za eneo hilo zimetangaza kuwa idadi ya waliofariki dunia imepindukia 50 na wengine wasiopungua 29 hawajulikani waliko.

  • Mafuriko Msumbiji: Maelfu wapoteza makazi huku shule zikifungwa

    Mafuriko Msumbiji: Maelfu wapoteza makazi huku shule zikifungwa

    Feb 23, 2025 07:46

    Mafuriko makubwa yaliyoiathiri Botswana yamesababisha vifo vya watu saba wakiwemo watoto watatu na kuharibu nyumba za maelfu ya watu baada ya siku kadhaa za mvua kubwa kunyesha kote nchinu humo. Haya yamebainishwa jana na Rais Duma Boko wa nchi hiyo.

  • Watu  milioni 1.9  waathiriwa na mafuriko Chad huku mikoa yote 23 ikiathiriwa

    Watu milioni 1.9 waathiriwa na mafuriko Chad huku mikoa yote 23 ikiathiriwa

    Oct 13, 2024 02:12

    Mikoa yote 23 ya Chad imeathiriwa na mafuriko makubwa yaliyosababishwa na mvua kubwa nchini humo.

  • Mafuriko yaua makumi ya watu nchini Niger

    Mafuriko yaua makumi ya watu nchini Niger

    Sep 01, 2024 06:44

    Mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa yamesababisha vifo vya watu 20 na kujeruhi makumi ya wengine katika eneo la Maradi, kusini mwa Niger.

  • OIC yasikitishwa na mafuriko yaliyoua mamia ya watu katika nchi kadhaa za Afrika

    OIC yasikitishwa na mafuriko yaliyoua mamia ya watu katika nchi kadhaa za Afrika

    Aug 26, 2024 02:29

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imetangaza mshikamano na serikali na wananchi wa Burkina Faso, Mali, Niger, Nigeria, na Chad ambao wameathiriwa na mafuriko makubwa tangu Agosti 16.

  • Mafuriko yaua zaidi ya watu 50 kaskazini mwa Chad

    Mafuriko yaua zaidi ya watu 50 kaskazini mwa Chad

    Aug 16, 2024 10:39

    Watu wasiopungua 54 wamefariki dunia kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika jimbo la Tibesti la kaskazini mwa Chad.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS