Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mafuriko

  • Mvua, maporomoko ya udongo yaua makumi ya watu DRC

    Mvua, maporomoko ya udongo yaua makumi ya watu DRC

    Dec 27, 2023 06:43

    Watu wasiopungua 22 wamefariki dunia kutokana na maporomoko ya udongo yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika mji wa Kananga, katikati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • WFP: Karibu watu milioni 3 wameathiriwa na mvua kubwa zilizosababisha mafuriko Afrika Mashariki

    WFP: Karibu watu milioni 3 wameathiriwa na mvua kubwa zilizosababisha mafuriko Afrika Mashariki

    Dec 09, 2023 02:29

    Shirika la Mpango wa Chakula la Umoja wa Mataifa (WFP) limetahadharisha kuhusu tishio linaloongezeka kwa usalama wa chakula Afrika Mashariki kutokana na mvua kubwa inayoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali ya nchi za ukanda huo

  • Zoezi la uokoaji laendelea Hanang huku Tanzania ikiomba msaada wa kimataifa kwa wahanga wa maporomoko

    Zoezi la uokoaji laendelea Hanang huku Tanzania ikiomba msaada wa kimataifa kwa wahanga wa maporomoko

    Dec 06, 2023 03:39

    Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameiomba jumuiya za kimataifa na taasisi za ndani kusaidia juhudi za serikali ya nchi hiyo za uokoaji na kutafuta maiti wa maporomoko ya tope pamoja na misaada ya kibinadamu kwa wakazi wa wilaya ya Hanang mkoani Manyara.

  • Rais Ruto: Kenya imeweka mikakati ya kukabiliana na athari za mafuriko

    Rais Ruto: Kenya imeweka mikakati ya kukabiliana na athari za mafuriko

    Nov 25, 2023 13:36

    Rais William Ruto wa Kenya amesema serikali yake imeweka mipango ya kuwasaidia raia ambao wameathirika na mafuriko yanayoendelea kuripotiwa kutokana na mvua kubwa inayoendelea kunyesha kwenye kanda ya Afrika Mashariki.

  • Wiki chache za mafuriko ya maafa katika Pembe ya Afrika

    Wiki chache za mafuriko ya maafa katika Pembe ya Afrika

    Nov 18, 2023 07:52

    Mafuriko makubwa katika eneo la Pembe ya Afrika yamesababisha zaidi ya watu mia moja kupoteza maisha na mamia kwa maelfu ya wengine kuhama makazi yao.

  • Watu 14 waaga dunia kutokana na mafuriko Somalia

    Watu 14 waaga dunia kutokana na mafuriko Somalia

    Nov 05, 2023 14:34

    Kwa akali watu 14 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini Somalia.

  • UN: Wahajiri 400 wameaga dunia kwa mafuriko Libya

    UN: Wahajiri 400 wameaga dunia kwa mafuriko Libya

    Sep 20, 2023 07:17

    Umoja wa Mataifa umesema mamia ya wahajiri ni miongoni mwa maelfu ya watu waliopoteza maisha kutokana na mafuriko makubwa yaliyosababishwa na kimbunga huko mashariki mwa Libya.

  • Meya wa Derna: Vifo vya mafuriko Libya yumkini vimepindukia 20,000

    Meya wa Derna: Vifo vya mafuriko Libya yumkini vimepindukia 20,000

    Sep 15, 2023 03:20

    Meya wa mji wa Derna, mashariki mwa Libya amesema huenda idadi ya watu waliopoteza maisha kutokana na athari za kimbunga kikali kilichoikumba nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika ikapindukia watu 20,000.

  • Spika wa Bunge la Iran aelezea masikitiko yake kwa serikali na watu wa Libya baada ya mafuriko

    Spika wa Bunge la Iran aelezea masikitiko yake kwa serikali na watu wa Libya baada ya mafuriko

    Sep 14, 2023 02:55

    Katika ujumbe wake kwa Spika mwezake wa Bunge la Libya, Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) ameelezea masikitiko yake kwa serikali na wananchi wa Libya kufuatia maafa makubwa ya roho na mali za watu yaliyosababishwa na mafuriko makubwa katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika

  • Rais wa Iran atuma salamu za rambirambi kwa taifa Libya kufuatia maafa ya mafuriko

    Rais wa Iran atuma salamu za rambirambi kwa taifa Libya kufuatia maafa ya mafuriko

    Sep 12, 2023 14:14

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma salamu za rambirambi kwa Waziri Mkuu na wananchi wa Libya kutokana na vifo vya maelfu ya watu nchini huko vilivyosababishwa na Kimbunga Daniel kilichoikumba nchi hiyo na kuzusha mafuriko makubwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS