Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mafuriko

  • Wiki chache za mafuriko ya maafa katika Pembe ya Afrika

    Wiki chache za mafuriko ya maafa katika Pembe ya Afrika

    Nov 18, 2023 07:52

    Mafuriko makubwa katika eneo la Pembe ya Afrika yamesababisha zaidi ya watu mia moja kupoteza maisha na mamia kwa maelfu ya wengine kuhama makazi yao.

  • Watu 14 waaga dunia kutokana na mafuriko Somalia

    Watu 14 waaga dunia kutokana na mafuriko Somalia

    Nov 05, 2023 14:34

    Kwa akali watu 14 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini Somalia.

  • UN: Wahajiri 400 wameaga dunia kwa mafuriko Libya

    UN: Wahajiri 400 wameaga dunia kwa mafuriko Libya

    Sep 20, 2023 07:17

    Umoja wa Mataifa umesema mamia ya wahajiri ni miongoni mwa maelfu ya watu waliopoteza maisha kutokana na mafuriko makubwa yaliyosababishwa na kimbunga huko mashariki mwa Libya.

  • Meya wa Derna: Vifo vya mafuriko Libya yumkini vimepindukia 20,000

    Meya wa Derna: Vifo vya mafuriko Libya yumkini vimepindukia 20,000

    Sep 15, 2023 03:20

    Meya wa mji wa Derna, mashariki mwa Libya amesema huenda idadi ya watu waliopoteza maisha kutokana na athari za kimbunga kikali kilichoikumba nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika ikapindukia watu 20,000.

  • Spika wa Bunge la Iran aelezea masikitiko yake kwa serikali na watu wa Libya baada ya mafuriko

    Spika wa Bunge la Iran aelezea masikitiko yake kwa serikali na watu wa Libya baada ya mafuriko

    Sep 14, 2023 02:55

    Katika ujumbe wake kwa Spika mwezake wa Bunge la Libya, Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) ameelezea masikitiko yake kwa serikali na wananchi wa Libya kufuatia maafa makubwa ya roho na mali za watu yaliyosababishwa na mafuriko makubwa katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika

  • Rais wa Iran atuma salamu za rambirambi kwa taifa Libya kufuatia maafa ya mafuriko

    Rais wa Iran atuma salamu za rambirambi kwa taifa Libya kufuatia maafa ya mafuriko

    Sep 12, 2023 14:14

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma salamu za rambirambi kwa Waziri Mkuu na wananchi wa Libya kutokana na vifo vya maelfu ya watu nchini huko vilivyosababishwa na Kimbunga Daniel kilichoikumba nchi hiyo na kuzusha mafuriko makubwa.

  • Iran yatuma salamu za rambirambi baada ya karibu watu 400 kufa kwa mafuriko DRC

    Iran yatuma salamu za rambirambi baada ya karibu watu 400 kufa kwa mafuriko DRC

    May 08, 2023 03:23

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetuma salamu za rambirambi na mkono wa pole kwa serikali na wananchi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo baada ya watu karibu 400 kufariki dunia kwa janga la mafuriko.

  • Mafuriko yaua watu 14 Somalia; madaraja, barabara na nyumba zasombwa

    Mafuriko yaua watu 14 Somalia; madaraja, barabara na nyumba zasombwa

    Mar 28, 2023 07:36

    Kwa akali watu 14 wamefariki dunia kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha kusini mwa Somalia.

  • DRC: Kwa akali watu 120 wameaga dunia katika janga la mafuriko Kinshasa

    DRC: Kwa akali watu 120 wameaga dunia katika janga la mafuriko Kinshasa

    Dec 14, 2022 03:32

    Kwa akali watu 120 wamefariki dunia huko Kinshasa mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kufuatia janga la mafuriko makubwa yaliyoukumba mji huo hapo jana.

  • Maporomoko ya ardhi yaua watu 14 mazishini nchini Cameroon

    Maporomoko ya ardhi yaua watu 14 mazishini nchini Cameroon

    Nov 28, 2022 03:38

    Watu wasiopungua 14 wamepoteza maisha kufuatia maporomoko ya ardhi yaliyotokea jana Jumapili nchini Cameroon.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS