-
Wiki chache za mafuriko ya maafa katika Pembe ya Afrika
Nov 18, 2023 07:52Mafuriko makubwa katika eneo la Pembe ya Afrika yamesababisha zaidi ya watu mia moja kupoteza maisha na mamia kwa maelfu ya wengine kuhama makazi yao.
-
Watu 14 waaga dunia kutokana na mafuriko Somalia
Nov 05, 2023 14:34Kwa akali watu 14 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini Somalia.
-
UN: Wahajiri 400 wameaga dunia kwa mafuriko Libya
Sep 20, 2023 07:17Umoja wa Mataifa umesema mamia ya wahajiri ni miongoni mwa maelfu ya watu waliopoteza maisha kutokana na mafuriko makubwa yaliyosababishwa na kimbunga huko mashariki mwa Libya.
-
Meya wa Derna: Vifo vya mafuriko Libya yumkini vimepindukia 20,000
Sep 15, 2023 03:20Meya wa mji wa Derna, mashariki mwa Libya amesema huenda idadi ya watu waliopoteza maisha kutokana na athari za kimbunga kikali kilichoikumba nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika ikapindukia watu 20,000.
-
Spika wa Bunge la Iran aelezea masikitiko yake kwa serikali na watu wa Libya baada ya mafuriko
Sep 14, 2023 02:55Katika ujumbe wake kwa Spika mwezake wa Bunge la Libya, Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) ameelezea masikitiko yake kwa serikali na wananchi wa Libya kufuatia maafa makubwa ya roho na mali za watu yaliyosababishwa na mafuriko makubwa katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika
-
Rais wa Iran atuma salamu za rambirambi kwa taifa Libya kufuatia maafa ya mafuriko
Sep 12, 2023 14:14Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma salamu za rambirambi kwa Waziri Mkuu na wananchi wa Libya kutokana na vifo vya maelfu ya watu nchini huko vilivyosababishwa na Kimbunga Daniel kilichoikumba nchi hiyo na kuzusha mafuriko makubwa.
-
Iran yatuma salamu za rambirambi baada ya karibu watu 400 kufa kwa mafuriko DRC
May 08, 2023 03:23Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetuma salamu za rambirambi na mkono wa pole kwa serikali na wananchi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo baada ya watu karibu 400 kufariki dunia kwa janga la mafuriko.
-
Mafuriko yaua watu 14 Somalia; madaraja, barabara na nyumba zasombwa
Mar 28, 2023 07:36Kwa akali watu 14 wamefariki dunia kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha kusini mwa Somalia.
-
DRC: Kwa akali watu 120 wameaga dunia katika janga la mafuriko Kinshasa
Dec 14, 2022 03:32Kwa akali watu 120 wamefariki dunia huko Kinshasa mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kufuatia janga la mafuriko makubwa yaliyoukumba mji huo hapo jana.
-
Maporomoko ya ardhi yaua watu 14 mazishini nchini Cameroon
Nov 28, 2022 03:38Watu wasiopungua 14 wamepoteza maisha kufuatia maporomoko ya ardhi yaliyotokea jana Jumapili nchini Cameroon.