• Tahadhari ya Katibu Mkuu wa OPEC kuhusu taathira hasi za kuiwekea Iran vikwazo vya mafuta

    Tahadhari ya Katibu Mkuu wa OPEC kuhusu taathira hasi za kuiwekea Iran vikwazo vya mafuta

    May 04, 2019 03:38

    Hatua ya serikali ya Marekani kuiwekea Iran vikwazo vya mafuta baada ya kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA imekabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa wanunuzi wa mafuta ghafi ya petroli ya Iran katika soko la kimataifa na pia kutoka kwa wakuu wa Shirika la Nchi Zinazouza Mafuta kwa Wingi Duniani (OPEC).

  • OPEC: Ni muhali kuyaondoa mafuta ya Iran katika soko la dunia

    OPEC: Ni muhali kuyaondoa mafuta ya Iran katika soko la dunia

    May 02, 2019 13:40

    Katibu Mkuu wa Shirika la Nchi Zinazouza Mafuta kwa Wingi Duniani (OPEC) amesema ni muhali kuyaondoa mafuta ya Iran katika soko la kimataifa na kwamba shirika hilo linafanya juu chini kuhakikisha kuwa siasa haziingizwi katika biashara ya mafuta.

  • Kusimamishwa uuzaji wa mafuta ya Iran, ni ukweli au ndoto?

    Kusimamishwa uuzaji wa mafuta ya Iran, ni ukweli au ndoto?

    May 02, 2019 12:00

    Waziri wa Mafuta wa Iran amesema, hata kama kukatwa kabisa na kufikishwa katika kiwango cha sufuri uuzaji nje wa mafuta ya Iran ni matarjio ya Marekani na nchi mbili jirani na Iran, lakini jambo hilo halitekelezeki kivitendo.

  • Rouhani: Wamarekani hawawezi kuzuia uuzaji mafuta ya Iran

    Rouhani: Wamarekani hawawezi kuzuia uuzaji mafuta ya Iran

    May 01, 2019 12:52

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria hatua ya Marekani ya kutaka kuzuia mafuta ghafi ya petroli ya Iran yauzwe katika soko la kimataifa na kusema: "Marekani haiwezi kuizuia Iran kuuza mafuta na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itauza mafuta yake."

  • Baqeri: Marekani lazima iombe idhini kwa jeshi la Iran la SEPAH kuweza kupita Hormuz

    Baqeri: Marekani lazima iombe idhini kwa jeshi la Iran la SEPAH kuweza kupita Hormuz

    Apr 29, 2019 04:10

    Mkuu wa Majeshi ya Iran amesema kuwa meli za Marekani haziwezi kupita katika Lango Bahari la Hormuz bila ya kuomba idhini kwanza kutoka kwa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH.

  • Waziri wa Mafuta wa Nigeria: Mauzo ya mafuta ya Iran hayawezi kufikia kiwango cha sifuri

    Waziri wa Mafuta wa Nigeria: Mauzo ya mafuta ya Iran hayawezi kufikia kiwango cha sifuri

    Apr 26, 2019 08:12

    Waziri wa Mafuta wa Nigeria ametoa radiamali kufuatia uamuzi wa Marekani wa kufuta kibali cha ununuzi wa mafuta ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusema kuwa, ni jambo lisilowezekana kufikisha mauzo ya mafuta ya Iran kwenye kiwango cha sifuri.

  • IRGC: Ikibidi, Iran itafunga lango bahari la Hormuz

    IRGC: Ikibidi, Iran itafunga lango bahari la Hormuz

    Apr 23, 2019 14:10

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) limesema lango bahari la Hormuz ni njia ya kimataifa ya majini na kwamba Iran haitakuwa na chaguo jingine ghairi ya kulifunga lango hilo la kistratajia iwapo itazuiwa kulitumia.

  • Sisitizo la Rais Maduro kuwa Marekani inahusika na ugaidi na uharibifu nchini Venezuela

    Sisitizo la Rais Maduro kuwa Marekani inahusika na ugaidi na uharibifu nchini Venezuela

    Mar 26, 2019 03:05

    Rais Donald Trump wa Marekani katika chote cha utawala wake amekuwa akifuatilia sera za kuiangusha serikali halali ya Rais Nicolas Maduro nchini Venezuela kutokana na kuwa rais huyo anafuata sera za mrengo wa kushoto za kupinga ubeberu na ubepari wa Marekani na Wamagharibi.

  • Machi 20, Siku ya Kutaifishwa Sekta ya Mafuta Iran

    Machi 20, Siku ya Kutaifishwa Sekta ya Mafuta Iran

    Mar 20, 2019 18:38

    Tarehe 29 mwezi Esfand kwa kalenda ya Hijria Shamsia sawa na Machi 20 huadhimishwa kila mwaka kama siku kukumbuka kutaifishwa sekta ya mafuta ya petroli nchini Iran. Siku hii ni muhimu sana katika historia ya kisiasa na kiuchumi ya Iran. Utaifishwaji wa sekta ya mafuta Iran ulifanikiwa baada ya mapambano magumu sana na ukawa mwanzo wa fikra ya "Uchumi bila Mafuta'. Karibuni kusikiliza makala maalumu kwa munasaba huu.

  • Maandamano Zimbabwe baada ya ongezeko la bei ya mafuta kwa 150%

    Maandamano Zimbabwe baada ya ongezeko la bei ya mafuta kwa 150%

    Jan 14, 2019 15:30

    Wananchi wa Zimbabwe hii leo wamefanya maandamano katika miji mikubwa ya nchi hiyo ukiwemo mji mkuu Harare, kulalamikia ongezeko la bei ya fueli kwa asilimia 150 lililotangazwa jana na Rais Emmerson Mnangagwa wa nchi hiyo.