-
Mali: Silaha za Magharibi zinaimarisha ugaidi barani Afrika
Sep 01, 2024 07:21Mwakilishi wa Kudumu wa Mali katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, sehemu kubwa ya silaha zinazotolewa na nchi za Magharibi kwa Ukraine zinahamishiwa katika eneo la Sahel barani Afrika na kushadidisha harakati za ugaidi barani humo.
-
Kan'ani: Marekani inaunga mkono ugaidi wa kiserikali wa utawala wa Kizayuni wa Israel
Aug 22, 2024 02:20Nasser Kan'ani Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa leo hii ukweli mchungu na wa kusikitisha unashuhudiwa mbele ya walimwengu wa matabaka yote kuanzia raia wanaoteseka na kudhulumiwa katika eneo la Magharibi mwa Asia, kaskazini mwa Afrika hadi kwa wanafunzi wa vyuo vikuu barani Ulaya na Marekani kwamba serikali ya Marekani inaunga mkono waziwazi ugaidi wa kiserikali wa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Ujangili wa Magharibi umepunguza mno idadi ya simba barani Afrika
Aug 10, 2024 11:14Huku ulimwengu ukiadhimisha Siku ya Simba Duniani leo Agosti 10, imebainika kuwa idadi ya mnyamapori huyo inapungua kwa kiwango cha kutisha barani Afrika kutokana na ujangili unaofanywa na nchi za Magharibi.
-
Kukosoa Russia upinzani wa Magharibi kwa muundo mpya wa ulimwengu
Jul 21, 2024 02:30Balozi wa Russia nchini Marekani, Anatoly Antonov, amesema nchi za Magharibi zinapinga juhudi za kuundwa muundo mpya wa pande kadhaa ambao utakuwa na insafu na uadilifu zaidi.
-
Erdogan: Nchi za Magharibi zimekuwa mateka wa mtu kichaa kama Netanyahu
Jun 27, 2024 02:58Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan alisema jana Jumatano kwamba nchi yake inasimama bega kwa bega na Lebanon kutokana na mvutano unaozidi kuongezeka na utawala wa Kizayuni wa Israel, na amezitaka pande za kikanda kumuunga mkono katika msimamo huo.
-
Russia: Magharibi inacheza na moto
May 18, 2024 12:41Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia ametangaza kwamba nchi za Magharibi zinataka kuzidisha mvutano na zinacheza na moto kwa kuipatia silaha na kuihimiza Ukraine kushambulia ardhi ya Russia.
-
Iran: Marekani na Magharibi hazisiti kukiuka sheria za kimataifa
May 18, 2024 12:41Msemaji wa Serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameasema kuwa sheria za kimataifa zinakabiliwa na udhaifu wa dhamana ya utekelezaji na kusisitiza kuwa: Marekani na nchi za Magharibi kwa ujumla zinakubali sheria za kimataifa kiubaguzi na hazisiti kukanyaga haki hizo kwa kutumia visingizo vya kisiasa.
-
Balozi wa Russia UN: Mashambulizi ya Magharibi dhidi ya Yemen ni kinyume cha sheria
May 15, 2024 06:08Balozi wa Russia katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa mashambulizi ya muungano wa nchi za Magharibi unaoongozwa na Marekani dhidi ya Yemen yamekiuka Mkataba wa Umoja wa Mataifa na hayana uhalali wowote.
-
Rais wa Iran: Matukio ya Gaza yamefichua sura halisi ya Magharibi
May 06, 2024 10:43Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, matukio ya Gaza yamefichua sura halisi ya Wamagharibi na kuonyesha mgongano uliopo kati ya kambi ya watu sharifu, na tabaka la wanafunzi wenye uelewa wa vyuo vikuu na mrengo wa uovu wa viongozi wakorofi na wanaokanyaga sheria, haki na uhuru wa binadamu wa nchi za Magharibi.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran akosoa undumakuwili wa Magharibi
Mar 26, 2024 07:49Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezungumza kwa simu na mwakilishi wa ngazi ya juu wa Umoja wa Ulaya katika Masuala ya Nje na Sera ya Usalama na kukosoa vikali vigezo vya undumakuwili na vinavyokinzana vya nchi za Magharibi mkabala wa Palestina na Gaza.