-
Russia yawatahadharisha Wamagharibi kuhusu kutuma mabomu ya vishada huko Ukraine
Jul 17, 2023 00:53Rais wa Russia amezitahadharisha nchi za Magharibi kuhusu kutuma mabomu ya vishada huko Ukraine kwa kisingizio cha vita. Rais Vladimir Putin amebainisha haya kufuatia uamuzi wa karibuni wa Marekani kuhusu kutuma silaha hizo zizilizopigwa marufuku kimataifa huko Ukraine.
-
Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa lapitishia azimio la kulaani uchomaji wa Qur'ani
Jul 14, 2023 23:16Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa siku ya Jumatano liliidhinisha azimio lililopendekezwa na nchi za Kiislamu la kulaani kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu na kutaka uchunguzi ufanyike kuhusu jambo hilo pamoja na Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu kutakiwa kutoa ripoti kuhusu suala hilo.
-
Tahadhari ya China kuhusu uingiliaji wa nchi za Magharibi katika masuala ya ndani ya nchi nyingine
Jul 07, 2023 23:07Rais wa China, Xi Jinping, ametoa wito kwa nchi mbalimbali kusimama dhidi ya "mapinduzi ya rangi ya nchi za Magharibi". Jinping ametoa wito huo katika mkutano Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai, uliofanyika kwa njia ya mtandao.
-
Putin: Wamagharibi walitaka kuona Warusi wakiuana wenyewe kwa wenyewe
Jun 27, 2023 03:26Rais Vladimir Putin wa Russia amesema aliagiza vikosi vya nchi hiyo vijiepushe na umwagaji damu wakati wa uasi wa kundi la Wagner mwishoni mwa wiki iliyopita, akisisitiza kuwa Ukraine na Wamagharibi walitaka kuona wananchi wa Russia wakiuana wenyewe kwa wenyewe.
-
"Mzozo wa Sahara Magharibi haujafumbuliwa kutokana na unafiki wa Magharibi"
Jun 02, 2023 22:03Mwanaharakati mmoja wa kisiasa amesema kadhia ya Sahara Magharibi haijapatiwa ufumbuzi kwa muda mrefu sasa kutokana na unafiki wa nchi za Magharibi.
-
Unyanyasaji wa kinyama wa wafungwa wa Iran katika magereza ya Ulaya; ishara ya undumakuwili katika haki za binadamu
May 29, 2023 22:06Hatimaye, baada ya takriban miaka 5, Asadollah Asadi, mwanadiplomasia wa Iran aliyekuwa amezuiliwa nchini Ubelgiji, aliwasili Tehran siku ya Ijumaa. Wizara ya Mambo ya Nje ya Oman ilitangaza Ijumaa kwamba Oman ilifanikiwa kupatanisha Ubelgiji na Iran ili kutatua suala la raia waliofungwa katika nchi hizi mbili na kwamba watu wawili waliachiliwa huru na Tehran na Brussels.
-
Putin:Sera za Magharibi zimesababisha ukosefu wa amani duniani
May 24, 2023 07:20Rais wa Russia ameeleza kuwa katika hali ambayo Wamagharibi wanalenga kuzidisha hali ya wasiwasi na ukosefu wa usalama duniani; nchi huru kuanzia Asia hadi Afrika zinapaswa kusaidia katika usanifu usiogawanyika wa usalama duniani.
-
Ushahidi mpya wa madai ya uwongo ya Wamagharibi kuhusu uhuru wa kujieleza
May 01, 2023 06:39Filamu ya video iliyosambaa kwenye mitandao ya kijamii imemuonyesha mtoto mdogo wa Kiislamu akiondolewa kwa nguvu katika familia yake ya Kiislamu na maafisa wa "huduma za ulinzi wa watoto" wakisaidiwa na askari polisi wa Ujerumani. Maafisa wa Ujerumani wanadai kuwa wazazi wa mtoto huyo wamekuwa wakimfundisha kwamba mahusiano ya kingono ya watu wa jinsia moja hayakubaliki katika Uislamu.
-
Amnesty International yakosoa undumakuwili wa nchi za Magharibi katika uwanja wa haki za binadamu
Mar 29, 2023 06:50Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limekosoa vikali misimamo ya undumakuwili na ya kinafiki ya nchi za Magharibi katika kushughulikia ukiukwaji wa haki za binadamu katika nchi zinazopinga sera za nchi za Magharibi na kulegeza msimamo laini wa nchi hizo kwa baadhi ya washirika wao ukiwemo utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Tangazo la Putin la kupelekwa silaha za nyuklia za Russia nchini Belarus
Mar 26, 2023 22:40Rais Vladimir Putin wa Russia ametangaza kwamba katika kukabiliana na kushadidi kwa shughuli za kijeshi za nchi za Magharibi na ongezeko la msaada wao kwa jeshi la Ukraine, Moscow sasa itapeleka baadhi ya silaha zake za nyuklia za kimbinu huko Belarus.