Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu

  • Madai ya Ulaya kuhusu ukiukaji wa haki za binadamu nchini Iran; hayana uhalali wowote wa kisheria

    Madai ya Ulaya kuhusu ukiukaji wa haki za binadamu nchini Iran; hayana uhalali wowote wa kisheria

    Sep 29, 2020 12:19

    Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Siasa za Nje katika Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran imeyataja madai yasiyo na msingi ya nchi za Ulaya kuhusu ukiukaji wa haki za binadamu nchini Iran kuwa hayana uhalali wowote wa kisheria.

  • Wananchi wa Iran washiriki duru ya pili ya uchaguzi wa Bunge

    Wananchi wa Iran washiriki duru ya pili ya uchaguzi wa Bunge

    Sep 11, 2020 07:08

    Wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wameelekea katika masanduku ya kupigia kura kushiriki duru ya pili ya uchaguzi wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran).

  • Kiongozi Muadhamu: Pamoja na kuwepo vikwazo, maadui hawajaweza kufikia malengo yao dhidi ya Iran

    Kiongozi Muadhamu: Pamoja na kuwepo vikwazo, maadui hawajaweza kufikia malengo yao dhidi ya Iran

    Jul 12, 2020 12:34

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema adui amepoteza matumaini kutokana na namna taifa la Iran linavyokabiliana na kila harakati dhidi ya mfumo wa Kiislamu.

  • Ghalibaf: Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ndicho kigezo bora kabisa cha kukabiliana na mfumo wa kibepari duniani

    Ghalibaf: Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ndicho kigezo bora kabisa cha kukabiliana na mfumo wa kibepari duniani

    May 31, 2020 08:15

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, Mapinduzi ya Kiislamu ndicho kigezo bora kabisa cha kukabiliana na mfumo wa kibepari duniani.

  • Mohammad Bagher Ghalibaf achaguliwa kuwa Spika mpya Bunge la Iran

    Mohammad Bagher Ghalibaf achaguliwa kuwa Spika mpya Bunge la Iran

    May 28, 2020 07:22

    Mohammad Bagher Ghalibaf ndiye spika mpya wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu yaani Bunge la Iran. Zoezi la kumchagua spika wa bunge la 11 la Jamhuri ya Kiislamu limefanyika leo asubuhi.

  • Jumatano, tarehe 27 Mei, 2020

    Jumatano, tarehe 27 Mei, 2020

    May 27, 2020 03:58

    Leo ni Jumatano tarehe 4 Shawwal 1441 Hijiria sawa na tarehe 27 Mei 2020 Miladia.

  • Waziri wa Afya: Iran imeshafikia hatua ya kuuweza ugonjwa wa corona

    Waziri wa Afya: Iran imeshafikia hatua ya kuuweza ugonjwa wa corona

    Apr 07, 2020 14:58

    Waziri wa Afya, Tiba na Mafunzo ya Utabibu wa Iran amesema, Jamhuri ya Kiislamu imefikia hatua ya kuuweza ugonjwa wa corona na akaongeza kwamba, katika siku zijazo baadhi ya mikoa nchini itakuwa imeshafikia kwenye awamu ya kuudhibiti ugonjwa huo.

  • Iran yatuma ujumbe kwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Mabunge ya Dunia, yataka kufutwa vikwazo vya dawa vya Marekani

    Iran yatuma ujumbe kwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Mabunge ya Dunia, yataka kufutwa vikwazo vya dawa vya Marekani

    Mar 18, 2020 08:19

    Katibu Mkuu wa kundi la mabunge la Jumuiya ya Mabunge ya Dunia (IPU) amemtaka Katibu Mkuu wa jumuiya hiyo kuchukua hatua za kuondoa haraka vikwazo vya dawa, zana na vifaa vya tiba vinavyohitajiwa na wananchi wa Iran kwa ajili ya kupambana na maambukizi ya virusi vya corona.

  • Rahmani Fadhli: Asilimia 42.57 ya wananchi wa Iran wameshiriki uchaguzi wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu

    Rahmani Fadhli: Asilimia 42.57 ya wananchi wa Iran wameshiriki uchaguzi wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu

    Feb 23, 2020 14:20

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Iran amesema kuwa ushiriki wa wananchi katika uchaguzi wa duru ya 11 ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu yaani Bunge ulikuwa wa asilimia 42.57.

  • Leo Ijumaa, wananchi wa Iran wanashiriki katika uchaguzi wa Bunge na Baraza la Wanazuoni Wataalamu

    Leo Ijumaa, wananchi wa Iran wanashiriki katika uchaguzi wa Bunge na Baraza la Wanazuoni Wataalamu

    Feb 21, 2020 03:05

    Uchaguzi wa Bunge la 11 la Iran linalojulikana kwa jina la Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu na uchaguzi wa kwanza mdogo wa Baraza la Wanazuoni Wataalamu wanaomchagua na kusimamia kazi za Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, unafanyika leo Ijumaa kuanzia saa mbili asubuhi katika kona zote za Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS