-
Bunge la Malaysia: Israel ifukuzwe katika Umoja wa Mataifa na asasi zake
Jul 18, 2020 02:32Wawakilishi wa Bunge la Malaysia wametoa wito wa kufukuzwa utawala haramu wa Israel katika Umoja wa Mataifa.
-
Juamatano tarehe 10 Juni mwaka 2020
Jun 11, 2020 04:30Leo ni Jumatano tarehe 18 Shawwal 1441 Hijria sawa na tarehe 10 Juni mwaka 2020.
-
Mahathir bin Mohamad: Marekani inauza duniani ndege zake za kivita zenye ubovu
May 19, 2020 02:26Waziri Mkuu wa zamani wa Malaysia amefichua kwamba serikali ya Marekani iliiuzia nchi hiyo ndege za kivita za F16 huku zikiwa hazina namba maalumu wala vifaa muhimu na kwamba Washington huwa inatekeleza siasa hizo kwa nchi zote za dunia isipokuwa utawala haramu wa Kizayuni.
-
Mfalme wa Malaysia amteua Muhyiddin Yassin kuwa Waziri Mkuu mpya
Feb 29, 2020 13:40Mfalme wa Malaysia amemteua Waziri wa Mambo ya Nje wa zamani wa nchi hiyo, Muhyiddin Yassin kuwa Waziri Mkuu mpya, kujaza nafasi iliyoachwa wazi na Mahathir Muhammad, ambaye alijiuzulu hivi karibuni.
-
Mahathir Muhammad apendekezwa tena kuwa Waziri Mkuu wa Malaysia
Feb 29, 2020 08:13Mahathir Muhammad, Waziri Mkuu wa Malaysia ambaye alijiuzulu hivi karibuni na kukabidhi barua yake kwa mfalme wa nchi hiyo, amesema atawasilisha jina lake kwa ajili ya kushika tena wadhifa huo.
-
Waziri Mkuu wa Malaysia ajiuzulu, hitilafu zazusha mgawanyiko ndani ya serikali
Feb 24, 2020 07:47Waziri Mkuu wa Malaysia Mahathir Mohamad amejiuzulu wadhifa huo. Hatua hiyo ya Mahathir Mohamad inatayarisha uwanja wa kuundwa serikali mpya nchini Malaysia.
-
Waziri Mkuu wa Malaysia: Huwenda Marekani ikatuma droni na kunitungua
Jan 08, 2020 02:49Mahathir Mohamad Waziri Mkuu wa Malaysia ameikosoa na kuilaani vikali Marekani kwa kumuuwa kigaidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani na kwa kutekeleza mauaji wakati wowote.
-
Malaysia: Marekani imetangaza vita kwa kumuua shahidi Soleimani
Jan 05, 2020 07:38Baraza la Shura la Jumuiya ya Waislamu Malaysia limelaani vikali hatua ya kigaidi ya Marekani ya kumuua shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC.
-
Msimamo wa Waziri Mkuu wa Malaysia kuhusu Waislamu wa Uyghur wa China
Dec 29, 2019 07:37Waziri Mkuu wa Malaysia amesisitiza kuwa, nchi yake haitawarejesha makwao Waislamu wa jamii ya Uyghur kutoka China iwapo wataomba hifadhi nchini humo.
-
Mahathir Mohammad.: Malaysia itawapa hifadhi wakimbizi wa Uyghur kutoka China
Dec 27, 2019 12:44Waziri Mkuu wa Malaysia Mahathir Mohammad amesema kuwa nchi yake haitawarejesha makwao Waislamu wa jamii ya Uyghur kutoka China iwapo wataomba hifadhi nchini humo.