Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Malaysia

  • Mkuu wa Harakati ya Kimataifa ya Uadilifu Malaysia: Umepatikana mwamko wa ulimwengu mzima dhidi ya utawala wa Aal-Saud

    Mkuu wa Harakati ya Kimataifa ya Uadilifu Malaysia: Umepatikana mwamko wa ulimwengu mzima dhidi ya utawala wa Aal-Saud

    Oct 27, 2018 12:56

    Mkuu wa Harakati ya Kimataifa ya Uadilifu nchini Malaysia amesema umepatikana mwamko wa dunia nzima dhidi ya utawala wa Aal-Saud kutokana na jinai ya kuuawa Jamal Khashoggi, mwandishi wa habari na mkosoaji wa utawala huo.

  • Dkt Mahathir: Malaysia haitaruhusu ufuska wa ndoa za jinsia moja

    Dkt Mahathir: Malaysia haitaruhusu ufuska wa ndoa za jinsia moja

    Oct 25, 2018 13:46

    Waziri Mkuu wa Malaysia, Mahathir Mohamad amesema taifa lake halitakubali mashinikizo ya kuruhusu na kuheshimu eti haki za mashoga, wasagaji na watu waliobadilisha jinsia zao pamoja na ndoa za watu wa jinsia moja.

  • Ijumaa, Agosti 31, 2018

    Ijumaa, Agosti 31, 2018

    Aug 31, 2018 02:59

    Leo ni Ijumaa tarehe 19 Mfunguo Tatu Dhulhija 1439 Hijria inayosadifiana na tarehe 31 Agosti 2018 Milaadia.

  • Malaysia yasitisha kikamilifu ushirikiano na Saudia katika vita dhidi ya Yemen

    Malaysia yasitisha kikamilifu ushirikiano na Saudia katika vita dhidi ya Yemen

    Aug 16, 2018 02:33

    Waziri Mkuu wa Malaysia amesema kuwa nchi yake imesitisha uhusiano wa aina zote na Saudi Arabia katika vita vya nchi hiyo dhidi ya taifa la Yemen.

  • Kusimamishwa kibali cha shughuli za kituo cha Amani cha Mfalme Salman bin Abdulaziz nchini Malaysia

    Kusimamishwa kibali cha shughuli za kituo cha Amani cha Mfalme Salman bin Abdulaziz nchini Malaysia

    Aug 08, 2018 07:12

    Wizara ya Ulinzi ya Malaysia imetangaza azma ya serikali ya nchi hiyo ya kufunga mradi unaoitwa 'Kituo cha Amani cha Mfalme Salman bin Abdulaziz' wa Saudi Arabia.

  • Serikali ya Malaysia kufunga mradi wa Kituo cha Amani cha Mfalme Salman wa Saudia

    Serikali ya Malaysia kufunga mradi wa Kituo cha Amani cha Mfalme Salman wa Saudia

    Aug 07, 2018 07:40

    Wizara ya Ulinzi ya Malaysia imetangaza azma ya serikali ya nchi hiyo ya kufunga mradi unaoitwa 'Kituo cha Amani cha Mfalme Salman bin Abdulaziz' Mfalme wa Saudi Arabia.

  • Malaysia yaitaka dunia kupambana na utawala wa Kizayuni

    Malaysia yaitaka dunia kupambana na utawala wa Kizayuni

    Jul 24, 2018 07:56

    Serikali ya Malaysia imeitaka jamii ya kimataifa kuchukua hatua za haraka katika kukabiliana na sheria iliyopasishwa na utawala haramu wa Kizayuni juu ya kuundwa nchi ya Kiyuhudi katika ardhi za Palestina.

  • Waziri mkuu wa zamani Malaysia atiwa mbaroni kwa kuhusika na wizi wa mali ya umma

    Waziri mkuu wa zamani Malaysia atiwa mbaroni kwa kuhusika na wizi wa mali ya umma

    Jul 03, 2018 15:39

    Vyombo vya usalama vya Malaysia vimemtia nguvuni waziri mkuu wa zamani wa nchi hiyo, Najib Razak kufuatia uchunguzi unaoendelea juu ya upotevu wa mabilioni ya dola kutoka kwenye mfumo wa taifa aliouasisi yeye mwenyewe muongo mmoja uliopita.

  • Malaysia yasimamisha ushirikiano wa kijeshi na Saudi Arabia

    Malaysia yasimamisha ushirikiano wa kijeshi na Saudi Arabia

    Jun 29, 2018 14:40

    Waziri wa Ulinzi wa Malaysia ametangaza kuwa, nchi hiyo imesimamisha ushirikiano wake wa kijeshi na Saudi Arabia.

  • Malaysia yasimamisha ushirikiano wake wa kijeshi na Saudia katika vita dhidi ya Yemen

    Malaysia yasimamisha ushirikiano wake wa kijeshi na Saudia katika vita dhidi ya Yemen

    Jun 28, 2018 13:22

    Waziri wa Ulinzi wa Malaysia amesema kuwa, nchi yake imesimamisha ushirikiano wake wa kijeshi na Saudi Arabia katika vita dhidi ya Yemen.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS