-
Umoja kwa mtazamo wa Imam Khomeini na Kiongozi Muadhamu
Dec 04, 2017 17:02Ni matumaini yangu kuwa, hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio kipindi hiki maalumu kinachokujieni kwa mnasaba wa kumbukumbu na maadhimisho ya Wiki ya Umoja.
-
Alkhamisi Septemba 14, 2017
Sep 16, 2017 06:26leo ni Alkhamisi 23 Dhulhija 1438 hijria sawa na Septemba 14, 2017
-
Jumatano tarehe 6 Septemba, 2017
Sep 06, 2017 03:35Leo ni Jumatano tarehe 15 Dhilhija 1438 Hijria sawa na 6 Septemba 2017.
-
Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran katika Mtazamo wa Wanafikra wa Kimagharibi-3
Feb 15, 2017 06:12Moja kati ya matukio makubwa ya dunia ya sasa hususan katika karne moja iliyopita ni Mapinduzi ya Kiislamu ya wananchi wa Iran.
-
Rais Rouhani: Jibu la wananchi wa Iran kwa vitisho vya adui litakuwa kali
Feb 10, 2017 15:56Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, wananchi wa Iran kamwe hawajaondoka katika njia na harakati ya kuyaunga mkono Mapinduzi ya Kiislamu na kutimiza malengo ya Imam Ruhullah Khomeini na Kiongozi wa sasa wa Mapinduzi, Ayatullah Ali Khamenei.
-
Mamilioni washiriki maandamano ya kuadhimisha ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu hapa Iran
Feb 10, 2017 08:18Mamilioni ya wananchi wa matabaka mbali mbali wa Iran wanashiriki maandamano ya amani katika kila pembe ya nchi, kuadhimisha sherehe za miaka 38 ya Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchi hapa.
-
Ijumaa, Februari 10, 2017
Feb 10, 2017 02:43Leo ni Ijumaa tarehe 12 Jamadil Awawal 1438 Hijria sawa na tarehe 10 Februari, 2017
-
Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran katika Mtazamo wa Wanafikra wa Kimagharibi-1
Feb 09, 2017 10:01Makala hii maalumu inayokujieni kwa mnasaba wa siku hizi za maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran, inatupia jicho mitazamo ya wanafikra wa Kimagharibi kuhusu Mapinduzi ya Kiislamu.
-
Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran katika Mtazamo wa Wanafikra wa Kimagharibi-2
Feb 09, 2017 08:42Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ambayo yalikuwa tukio la aina yake la kisiasa na kijamii na mapinduzi makubwa ya mwisho ya karne ya 20, yakuwa na taathira kubwa katika siasa za kimataifa na matukio ya kipindi hicho, jambo ambalo liliwashangaza wachambuzi wengi wa mambo.
-
Nafasi muhimu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Asia Magharibi (Mashariki ya Kati)
Feb 03, 2017 18:26Karibuni katika mfululizo wa makala hizi ambazo wiki hii zinaangazia ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran miaka 38 iliyopita. Makala yetu ya leo itaangazia nafasi na ushawishi wa Iran eneo la Asia Magharibi, yaani Mashariki ya Kati. Karibuni.