Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Utafiti: Idadi ya vijana wanaojiua nchini Marekani yaongezeka

    Utafiti: Idadi ya vijana wanaojiua nchini Marekani yaongezeka

    Feb 18, 2023 04:08

    Imeelezwa kuwa, idadi ya vijana wanaojiua nchinii Marekani imeongezeka mno katika katika kipindi cha janga la virusi vya Corona.

  • Kiwewe cha Marekani kwa kuweko uhusiano wa karibu wa Russia, China na Iran

    Kiwewe cha Marekani kwa kuweko uhusiano wa karibu wa Russia, China na Iran

    Feb 17, 2023 23:07

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani imetangaza kuwa, matamshi ya viongozi wa China kuhusiana na kuwa na urafiki usio na mipaka na Russia yamepelekea kuibuka wasiwasi nchini Marekani.

  • Iran na US katika 'mazungumzo' ya kubadilishana wafungwa

    Iran na US katika 'mazungumzo' ya kubadilishana wafungwa

    Feb 16, 2023 23:21

    Marekani na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran zipo katika mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja juu ya suala la kubadilishana wafungwa, huku Qatar na Uingereza zikiwa wapatanishi kwenye mazungumzo hayo.

  • Jimbo la US lasajili ongezeko la 900% la watoto wanaozaliwa na kaswende

    Jimbo la US lasajili ongezeko la 900% la watoto wanaozaliwa na kaswende

    Feb 14, 2023 04:26

    Idadi ya watoto wanaozaliwa wakiwa wameambukizwa ugonjwa wa zinaa wa kaswende katika jimbo la Mississippi nchini Marekani imeongezeka kwa kiwango cha kuogofya.

  • Indhari ya kuenea tishio la Daesh pasi na kutajwa waungaji mkono wake

    Indhari ya kuenea tishio la Daesh pasi na kutajwa waungaji mkono wake

    Feb 13, 2023 22:56

    Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameonya katika ripoti yake ya kiduru kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwamba, licha ya hasara na pigo kubwa lililopita kundi la kigaidi la Daesh katika miaka ya hivi karibuni lakini tishio la la kundi hilo la kigaidi lingali linaongezeka kwa ulimwengu.

  • Radiamali ya Iran kwa kuungwa mkono kundi la kigaidi la MKO katika Kongresi ya Marekani

    Radiamali ya Iran kwa kuungwa mkono kundi la kigaidi la MKO katika Kongresi ya Marekani

    Feb 13, 2023 09:44

    Hussein Amir-Abdollahia, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiiislamu ya Iran Jumamosi ya juzi tarehe 11 Februari alitoa radiamali kuhusiana na azimio la Kongresi ya Marekani linaloliunga mkono kundi la kigaidi la Munafiqin (MKO).

  • HAMAS: Njama za Marekani za kuisambaratisha Intifadha zitafeli

    HAMAS: Njama za Marekani za kuisambaratisha Intifadha zitafeli

    Feb 12, 2023 23:05

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu HAMAS amesema njama za Marekani za kutaka kuisambaratisha Intifadha ya Tatu ya Wapalestina dhidi utawala wa Kizayuni wa Israel zitagonga mwamba.

  • Juhudi tasa za miongo minne za Marekani za kuuangusha mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Juhudi tasa za miongo minne za Marekani za kuuangusha mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Feb 12, 2023 08:39

    Mamilioni ya Wairani jana Jumamosi walishiriki katika maandamano ya maadhimisho ya tarehe 22 Bahman (Februari 11) na kuadhimisha kwa hamasa kubwa miaka 44 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.

  • Visa vya kujitoa uhai vyakithiri kwa kiwango cha kutisha Marekani

    Visa vya kujitoa uhai vyakithiri kwa kiwango cha kutisha Marekani

    Feb 11, 2023 23:07

    Matokeo ya utafiti uliofanya huko Marekani yanaonyesha kuwa, idadi ya Wamarekani wanaojitoa uhai imeongezeka kwa kiwango cha kutisha, huku vijana wa Kimarekani wenye asili ya Afrika wakiongoza kwenye orodha hiyo.

  • Onyo la Putin kuhusu kukithiri kwa vitisho vya kigaidi nchini Afghanistan

    Onyo la Putin kuhusu kukithiri kwa vitisho vya kigaidi nchini Afghanistan

    Feb 11, 2023 23:04

    Rais wa Russia, Vladimir Putin amesema kwamba: "Tishio la ugaidi limeongezeka baada ya Marekani kuondoka Afghanistan."

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS