Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Kugombea kwa

    Kugombea kwa "Joe Biden" katika uchaguzi wa 2024 na changamoto zinazomkabili

    Apr 27, 2023 06:22

    Hatimaye baada ya tetesi za muda mrefu, Rais wa Marekani, Joe Biden ametangaza rasmi kuwa atagombea katika uchaguzi wa rais wa 2024, na iwapo atashinda, atabaki katika Ikulu ya White House kwa miaka mingine minne.

  • Russia Today: Ulaya imekuwa koloni la Marekani katika kadhia ya Ukraine

    Russia Today: Ulaya imekuwa koloni la Marekani katika kadhia ya Ukraine

    Apr 25, 2023 22:32

    Chaneli ya televisheni ya Russia Today imeeleza katika ripoti yake ya uchambuzi kuhusu maandamano ya kupinga vita yaliyofanywa na watu kote barani Ulaya kwamba, Ulaya imekuwa koloni la Marekani katika kadhia ya Ukraine

  • Kanaani ajibu matamshi ya kijuba ya waziri wa mambo ya nje wa Marekani dhidi ya Iran

    Kanaani ajibu matamshi ya kijuba ya waziri wa mambo ya nje wa Marekani dhidi ya Iran

    Apr 23, 2023 03:32

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema matamshi ya uchochezi yaliyotolewa na waziri wa mambo ya nje wa Marekani kuhusiana na mpango wa kijeshi wa Iran yanalenga kuendeleza utafutaji soko la silaha za Marekani.

  • Mgombea urais wa Marekani: Robo ya Wamarekani wanalala na njaa

    Mgombea urais wa Marekani: Robo ya Wamarekani wanalala na njaa

    Apr 23, 2023 02:34

    Robert F. Kennedy Jr anayewania kuwa mgombea rais wa Marekani amesema hali ya kiuchumi na kijamii katika nchi hiyo ni mbaya.

  • Mgombea urais wa chama tawala cha Democratic akiri: Marekani ndiyo iliyounda kundi la kigaidi la Daesh

    Mgombea urais wa chama tawala cha Democratic akiri: Marekani ndiyo iliyounda kundi la kigaidi la Daesh

    Apr 22, 2023 22:03

    Robert F. Kennedy Jr ambaye ametangaza nia yake ya kugombea katika uchaguzi wa urais mwaka ujao nchini Marekani, amekiri kwamba nchi hiyo ndiyo iliyounda kundi la kigaidi la Daesh (ISIS).

  • Russia: Udhibiti wa mashindano ya uundaji silaha duniani umetoweka

    Russia: Udhibiti wa mashindano ya uundaji silaha duniani umetoweka

    Apr 22, 2023 08:15

    Balozi wa Russia mjini Washington amesema, udhibiti wa mashindano ya uundaji silaha duniani umetoweka.

  • Sheikh Kazem Seddiqi: Marekani imeshindwa kuupatia ufumbuzi mgogoro wa ndani wa Israel

    Sheikh Kazem Seddiqi: Marekani imeshindwa kuupatia ufumbuzi mgogoro wa ndani wa Israel

    Apr 21, 2023 08:13

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, licha ya Marekani kuwa na mfungamano wote na utawala haramu wa Israel lakini imeshindwa kuupatia ufumbuzi mgogoro wa ndani wa utawala huo, na hilo ni ishara ya kutokuwa na uwezo.

  • Mwanasiasa mwingine akiri: Marekani iliunda kundi la kigaidi la ISIS (Daesh)

    Mwanasiasa mwingine akiri: Marekani iliunda kundi la kigaidi la ISIS (Daesh)

    Apr 21, 2023 03:52

    Mwanasiasa wa Marekani ambaye ametangaza nia yake ya kugombea katika uchaguzi wa urais mwaka ujao, amekiri kwamba nchi hiyo ndiyo iliyounda kundi la kigaidi la Daesh (ISIS).

  • Taasisi ya Utafiti ya Marekani: Wamarekani ndio tishio kubwa zaidi la usalama kwa nchi yao

    Taasisi ya Utafiti ya Marekani: Wamarekani ndio tishio kubwa zaidi la usalama kwa nchi yao

    Apr 21, 2023 03:51

    Matokeo ya uchunguzi wa Taasisi ya Utafiti wa Sera ya Marekani kuhusu vitisho muhimu zaidi dhidi ya nchi hiyo yameonyesha kwamba Wamarekani wenyewe wanatambuliwa kuwa tishio kubwa zaidi kwa usalama wa nchi yao.

  • Elon Musk akiri: Serikali ya Marekani inadhibiti maudhui za mtandao wa Twitter

    Elon Musk akiri: Serikali ya Marekani inadhibiti maudhui za mtandao wa Twitter

    Apr 19, 2023 21:56

    Mkurugenzi Mtendaji wa mtandao wa kijamii wa Twitter, Elon Musk, amekiri katika mahojiano yake na vyombo vya habari kwamba serikali ya Marekani inafika kamilifu" kwenye jumbe binafsi za moja kwa moja za watumiaji wa mtandao huo. Nukta ya kuvutia hapa ni kwamba awali Musk mwenyewe hakujua jambo hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS