-
ICJ: Marekani ilikiuka sheria ya kimataifa kuzuia mali za Iran, iilipe fidia
Mar 30, 2023 23:18Majaji wa Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ) yenye makao yake mjini The Hague wamehukumu kuwa Marekani ilikiuka sheria za kimataifa kwa kuziruhusu mahakama za nchi hiyo kutaifisha mali zenye thamani ya takribani dola bilioni mbili kutoka kwa makampuni ya Iran, na kuiamuru Washington ilipe fidia, kiwango ambacho kitafahamika hapo baadaye.
-
Waafrika wamwambia Makamu wa Rais wa Marekani: Hatutaki ushoga
Mar 30, 2023 08:41Ziara inayofanywa na Makamu wa Rais wa Marekani katika nchi tatu za Afrika imeambatana na malalamiko na wasiwasi mkubwa baina ya raia wa nchi za Afrika ambao wanamini kuwa moja ya malengo muhimu ya kiongozi huyo wa ngazi za juu wa Marekani barani Afrika ni kupigia debe ushoga na usagaji.
-
Ripoti ya China kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu Marekani
Mar 30, 2023 06:18China imetoa ripoti yake kuhusu hali ya ukiukwaji wa haki za binadamu nchini Marekani katika mwaka uliopita wa 2022.
-
China yaonya, tutatoa jibu Rais wa Taiwan akikutana na Spika wa US
Mar 29, 2023 22:45China imeionya vikali Washington na kusisitiza kuwa itachukua 'hatua ya kujibu mapigo' iwapo Rais wa Taiwan, Tsai Ing-wen atakutana na Spika wa Kongresi ya Marekani, Kevin McCarthy katika safari yake inayotazamiwa kufanyika karibuni.
-
Ripoti ya China: Hali ya haki za binadamu Marekani 2022 ilizidi kuwa mbaya
Mar 29, 2023 03:40China imetoa ripoti yake kuhusu hali ya ukiukaji wa haki za binadamu nchini Marekani katika mwaka uliopita wa 2022.
-
Biden na Netanyahu wajibizana kuhusu 'mageuzi ya mahakama' ya utawala wa Kizayuni wa Israel
Mar 29, 2023 03:39Rais Joe Biden wa Marekani ametoa msimamo kuhusiana na machafuko na maandamano makubwa yaliyoenea katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni yaliyopewa jina la Israel, kwa kueleza kwamba: hali hiyo haiwezi kuendelea.
-
Watu 6, wakiwemo watoto 3 wauawa kwa kupigwa risasi shuleni Marekani
Mar 28, 2023 03:47Watu sita wakiwemo wanafunzi watatu wameuawa kwa kupigwa risasi wakiwa shuleni katika mji wa Nashville, jimbo la Tennessee kusini mwa Marekani.
-
Kukiri kamanda wa Marekani wa AFRICOM juu ya kutoa mafunzo kwa vinara wa mapinduzi barani Afrika
Mar 27, 2023 22:41Jenerali wa jeshi la Marekani amekiri kuwa "maadili ya msingi" ya Pentagon yanayofundishwa kwa makumi ya maelfu ya maafisa wa kijeshi wa Kiafrika yanaendana na mapinduzi ya kijeshi.
-
Makamu wa Rais wa Marekani aahidi uwekezaji mkubwa zaidi Afrika baada ya kutua Ghana
Mar 26, 2023 23:22Kamala Harris Makamu wa Rais wa Marekani alisema jana kuwa, Marekani itazidisha uwekezaji wake barani Afrika na kusaidia kuchochea ukuaji wa uchumi alipoanza ziara ya wiki moja barani humo kwanza kwa kuitembelea Ghana; kwa lengo la kukabiliana na ushawishi wa nchi hasimu China.
-
Kata'ib Hizbullah: Ikilazimu, tutakabiliana moja kwa moja na Marekani
Mar 26, 2023 22:41Harakati ya kupambana na ugaidi ya Kata'ib Hizbullah ya Iraq imeonya kuwa, iwapo makundi ya muqawama katika nchi hiyo ya Kiarabu yatashambuliwa na vikosi vya Marekani kama vilivyofanya Syria, basi harakati hiyo haitakuwa na budi kuingia katika makabiliano ya moja kwa moja na vikosi hivyo vamizi.