Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Watu 10 wauawa kwa kupigwa risasi kwa umati California, Marekani

    Watu 10 wauawa kwa kupigwa risasi kwa umati California, Marekani

    Jan 23, 2023 01:29

    Zaidi ya watu kumi wameuawa kwa kupigwa risasi kwa umati huko Monterey Park, California nchini Marekani wakati sherehe za Mwaka Mpya wa Kichina.

  • Kuendelea uingiliaji hasi wa Marekani katika masuala ya ndani ya Iraq

    Kuendelea uingiliaji hasi wa Marekani katika masuala ya ndani ya Iraq

    Jan 23, 2023 00:17

    Marekani ingali inaendelea kuingilia masuala ya ndani ya Iraq kwa namna hasi, kwa kuzingatia nyenzo za mashinikizo ilizonazo mikononi mwake.

  • Uungaji mkono wa Marekani kwa mashambulizi ya Ukraine dhidi ya Crimea; jitihada za kujaribu kuchochea vita

    Uungaji mkono wa Marekani kwa mashambulizi ya Ukraine dhidi ya Crimea; jitihada za kujaribu kuchochea vita

    Jan 21, 2023 22:54

    Sabrina Singh, Naibu Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) ameeleza kuwa, eti Marekani inakitambua kisiwa cha Crimea kuwa sehemu ya ardhi ya Ukraine na kwamba inaunga mkono oparesheni za Kyiv za kukikomboa kisiwa hicho.

  • Kambi ya jeshi ya Marekani yashambuliwa kwa droni nchini Syria

    Kambi ya jeshi ya Marekani yashambuliwa kwa droni nchini Syria

    Jan 21, 2023 06:52

    Kamandi Kuu ya Jeshi la Marekani (CENTCOM) imekiri kuwa, moja ya kambi za kistratejia za nchi hiyo huko kusini mwa Syria imeshambuliwa kwa ndege zisizo na rubani (droni).

  • Google ya Marekani kuwapiga kalamu nyekundu wafanyakazi 12,000

    Google ya Marekani kuwapiga kalamu nyekundu wafanyakazi 12,000

    Jan 21, 2023 06:40

    Alphabet, ambalo ni shirika mama la kampuni ya intaneti ya Kimarekani ya Google limetangaza kuwa litawafuta kazi wafanyakazi zaidi ya 12,000.

  • Lavrov: NATO iko vitani na Russia kupitia Ukraine

    Lavrov: NATO iko vitani na Russia kupitia Ukraine

    Jan 20, 2023 09:01

    Sergey Lavrov, Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa muungano wa kijeshi wa NATO uko vitani na nchi hiyo kupitia Ukraine. Ameongeza kuwa: "Kinachotokea Ukraine ni matokeo ya maandalizi ya Marekani ya vita vya mseto dhidi ya Russia." Ameisitiza kuwa Umoja wa Ulaya umepoteza uhuru wake na sasa uko chini ya satwa ya Marekani moja kwa moja.

  • Balozi: Marekani inashajiisha vitendo vya kigaidi dhidi ya Russia

    Balozi: Marekani inashajiisha vitendo vya kigaidi dhidi ya Russia

    Jan 19, 2023 07:01

    Balozi wa Russia nchini Marekani ameonya vikali dhidi ya mashambulizi tarajiwa ya Ukraine katika Peninsula ya Crimea na kusisitiza kuwa, Moscow itajibu mapigo baada ya Washington kudokeza kuwa huenda Kiev ikatumia silaha za Magharibi kulishambulia eneo hilo.

  • Afrika Kusini yasema BRICS inatafakari kutupilia mbali sarafu ya dola ya Marekani

    Afrika Kusini yasema BRICS inatafakari kutupilia mbali sarafu ya dola ya Marekani

    Jan 18, 2023 07:27

    Nchi za Jumuiya ya BRICS ya mataifa yanayoibukia kiuchumi inataka kutupilia mbali sarafu ya dola ya Marekani na badala yake kuunda mfumo bora wa malipo ambao hautapendelea nchi tajiri.

  • Syria yalaani vikwazo vya kikatili vya US dhidi ya sekta ya afya ya nchi hiyo

    Syria yalaani vikwazo vya kikatili vya US dhidi ya sekta ya afya ya nchi hiyo

    Jan 17, 2023 09:37

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imeilaani vikali Marekani kwa kulenga sekta ya afya ya nchi hiyo ya Kiarabu kwa vikwazo vya upande mmoja.

  • Afisa wa Ufaransa atahadharisha kuhusu hatari ya ujasusi wa Marekani barani Ulaya

    Afisa wa Ufaransa atahadharisha kuhusu hatari ya ujasusi wa Marekani barani Ulaya

    Jan 15, 2023 23:40

    Mkuu wa Kamandi ya Ulinzi wa Kimtandao wa Ufaransa ametahadharisha kuhusu hatari ya ujasusi wa Marekani kwa bara Ulaya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS