Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • ICJ: Marekani ilikiuka sheria ya kimataifa kuzuia mali za Iran, iilipe fidia

    ICJ: Marekani ilikiuka sheria ya kimataifa kuzuia mali za Iran, iilipe fidia

    Mar 30, 2023 23:18

    Majaji wa Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ) yenye makao yake mjini The Hague wamehukumu kuwa Marekani ilikiuka sheria za kimataifa kwa kuziruhusu mahakama za nchi hiyo kutaifisha mali zenye thamani ya takribani dola bilioni mbili kutoka kwa makampuni ya Iran, na kuiamuru Washington ilipe fidia, kiwango ambacho kitafahamika hapo baadaye.

  • Waafrika wamwambia Makamu wa Rais wa Marekani: Hatutaki ushoga

    Waafrika wamwambia Makamu wa Rais wa Marekani: Hatutaki ushoga

    Mar 30, 2023 08:41

    Ziara inayofanywa na Makamu wa Rais wa Marekani katika nchi tatu za Afrika imeambatana na malalamiko na wasiwasi mkubwa baina ya raia wa nchi za Afrika ambao wanamini kuwa moja ya malengo muhimu ya kiongozi huyo wa ngazi za juu wa Marekani barani Afrika ni kupigia debe ushoga na usagaji.

  • Ripoti ya China kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu Marekani

    Ripoti ya China kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu Marekani

    Mar 30, 2023 06:18

    China imetoa ripoti yake kuhusu hali ya ukiukwaji wa haki za binadamu nchini Marekani katika mwaka uliopita wa 2022.

  • China yaonya, tutatoa jibu Rais wa Taiwan akikutana na Spika wa US

    China yaonya, tutatoa jibu Rais wa Taiwan akikutana na Spika wa US

    Mar 29, 2023 22:45

    China imeionya vikali Washington na kusisitiza kuwa itachukua 'hatua ya kujibu mapigo' iwapo Rais wa Taiwan, Tsai Ing-wen atakutana na Spika wa Kongresi ya Marekani, Kevin McCarthy katika safari yake inayotazamiwa kufanyika karibuni.

  • Ripoti ya China: Hali ya haki za binadamu Marekani 2022 ilizidi kuwa mbaya

    Ripoti ya China: Hali ya haki za binadamu Marekani 2022 ilizidi kuwa mbaya

    Mar 29, 2023 03:40

    China imetoa ripoti yake kuhusu hali ya ukiukaji wa haki za binadamu nchini Marekani katika mwaka uliopita wa 2022.

  • Biden na Netanyahu wajibizana kuhusu 'mageuzi ya mahakama' ya utawala wa Kizayuni wa Israel

    Biden na Netanyahu wajibizana kuhusu 'mageuzi ya mahakama' ya utawala wa Kizayuni wa Israel

    Mar 29, 2023 03:39

    Rais Joe Biden wa Marekani ametoa msimamo kuhusiana na machafuko na maandamano makubwa yaliyoenea katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni yaliyopewa jina la Israel, kwa kueleza kwamba: hali hiyo haiwezi kuendelea.

  • Watu 6, wakiwemo watoto 3 wauawa kwa kupigwa risasi shuleni Marekani

    Watu 6, wakiwemo watoto 3 wauawa kwa kupigwa risasi shuleni Marekani

    Mar 28, 2023 03:47

    Watu sita wakiwemo wanafunzi watatu wameuawa kwa kupigwa risasi wakiwa shuleni katika mji wa Nashville, jimbo la Tennessee kusini mwa Marekani.

  • Kukiri kamanda wa Marekani wa AFRICOM juu ya kutoa mafunzo kwa vinara wa mapinduzi barani Afrika

    Kukiri kamanda wa Marekani wa AFRICOM juu ya kutoa mafunzo kwa vinara wa mapinduzi barani Afrika

    Mar 27, 2023 22:41

    Jenerali wa jeshi la Marekani amekiri kuwa "maadili ya msingi" ya Pentagon yanayofundishwa kwa makumi ya maelfu ya maafisa wa kijeshi wa Kiafrika yanaendana na mapinduzi ya kijeshi.

  • Makamu wa Rais wa Marekani aahidi uwekezaji mkubwa zaidi Afrika baada ya kutua Ghana

    Makamu wa Rais wa Marekani aahidi uwekezaji mkubwa zaidi Afrika baada ya kutua Ghana

    Mar 26, 2023 23:22

    Kamala Harris Makamu wa Rais wa Marekani alisema jana kuwa, Marekani itazidisha uwekezaji wake barani Afrika na kusaidia kuchochea ukuaji wa uchumi alipoanza ziara ya wiki moja barani humo kwanza kwa kuitembelea Ghana; kwa lengo la kukabiliana na ushawishi wa nchi hasimu China.

  • Kata'ib Hizbullah: Ikilazimu, tutakabiliana moja kwa moja na Marekani

    Kata'ib Hizbullah: Ikilazimu, tutakabiliana moja kwa moja na Marekani

    Mar 26, 2023 22:41

    Harakati ya kupambana na ugaidi ya Kata'ib Hizbullah ya Iraq imeonya kuwa, iwapo makundi ya muqawama katika nchi hiyo ya Kiarabu yatashambuliwa na vikosi vya Marekani kama vilivyofanya Syria, basi harakati hiyo haitakuwa na budi kuingia katika makabiliano ya moja kwa moja na vikosi hivyo vamizi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS