-
Mchambuzi wa Kimarekani: Marekani inakaribia kuingia kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe
Jan 23, 2022 04:25Mchambuzi na mtaalamu wa taaluma ya siasa na masuala ya vita vya ndani nchini Marekani amesema, nchi hiyo inakaribia zaidi kuingia kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe kuliko inavyodhaniwa.
-
China yasema Marekani ni tishio kubwa zaidi kwa usalama wa dunia
Jan 22, 2022 23:10China imetahadharisha kuwa Marekani ni tishio kubwa zaidi kwa usalama wa dunia kutokana na maghala yake makubwa ya silaha angamizi za nyuklia.
-
Rekodi ya utendaji kazi ya Joe Biden, mwaka mmoja wa kuwa madarakani
Jan 21, 2022 23:09Rais Joe Biden wa chama cha Democrat aliingia madarakani mwaka mmoja uliopita mnamo Januari 20, 2021, huku akitoa ahadi nyingi, hasa za kubadilisha hatua zilizochukuliwa na mtangulizi wake, Donald Trump, Rais wa zamani wa Marekani wa chama cha Republican.
-
Mwakilishi wa Iran UN asifu maendeleo 'muhimu' ya kuwawezesha wanawake nchini licha ya vikwazo vya Marekani
Jan 19, 2022 07:16Iran imepongeza mafanikio makubwa yaliyopatikana hapa nchini katika kuwawezesha wanawake na wasichana, licha ya vikwazo vya Marekani vilivyo kinyume cha sheria na vya kinyama vinavyolenga nchi hiyo.
-
Wall Street Journal: Iran inataka dhamana ya kisheria ili Marekani isijitoe tena katika JCPOA
Jan 18, 2022 03:52Jarida la Wall Street Journal limeripoti kuwa, Iran inataka ipatiwe dhamana ya kisheria ili Marekani isiweze kujitoa kwa mara nyingine tena ndani ya mapatano ya JCPOA.
-
Khatibzadeh: Mambo muhimu bado yamebakia katika suala la kuondolewa vikwazo Iran
Jan 17, 2022 11:37Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, masuala muhimu na ya kimsingi katika mazungumzo ya nyuklia ya Vienna Austria bado yamebakia ambapo panahitajika maamuzi maalumu ya kisiasa hususan kutoka upande wa Marekani.
-
Hizbullah: Marekani, Saudia wahusika wakuu wa vita vya kiuchumi dhidi ya Lebanon
Jan 15, 2022 23:14Naibu Mkuu wa Baraza la Utendaji la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbuullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, Marekani na Saudi Arabia zimeanzisha vita vya kiuchumi dhidi ya Lebanon.
-
Kukosolewa vikali rekodi ya haki za binadamu ya serikali ya Biden
Jan 15, 2022 23:13Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limekosoa rekodi ya haki za binadamu ya serikali ya Rais Joe Biden wa Marekani na kuitaja kuwa inatia wasiwasi. Human Rights Watch imebainisha hayo katika ripoti yake ya hali ya haki za binadamu duniani katika kipindi hiki cha mwanzoni mwa mwaka mpya wa 2021.
-
Kambi ya jeshi la US nchini Iraq yashambuliwa kwa droni
Jan 15, 2022 08:43Uwanja wa ndege za kijeshi wa Marekani wa Balad ulioko kaskazini mwa mji mkuu wa Iraq, Baghdad umeshambuliwa kwa ndege zisizo na rubani.
-
Taliban yaitaka US iheshimu wito wa UN wa kuachia fedha za Afghanistan
Jan 14, 2022 21:16Serikali ya Taliban imeitaka Washington itekeleze mwito uliotolewa hivi karibuni na Umoja wa Mataifa, wa kuachia fedha za Afghanistan zilizozuiwa nchini Marekani.