Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Iran: Marekani haina azma ya kufunga jela ya Guantanamo

    Iran: Marekani haina azma ya kufunga jela ya Guantanamo

    Jan 13, 2022 23:23

    Mkuu wa Masuala ya Kimataifa wa Idara ya Mahakama ya Iran ameukosoa vikali utawala wa Rais Joe Biden wa Marekani kwa kufeli kutekeleza ahadi yake ya kufunga jela ya kutisha ya Guantanamo Bay iliyoko nchini Cuba.

  • Brigedia Jenerali Shekarchi: Marekani ni mfadhili mkuu wa ugaidi, chanzo cha ukosefu wa usalama duniani kote

    Brigedia Jenerali Shekarchi: Marekani ni mfadhili mkuu wa ugaidi, chanzo cha ukosefu wa usalama duniani kote

    Jan 11, 2022 10:46

    Msemaji wa Jeshi la Iran ameitaja Marekani kuwa nchi inayoongoza kwa kufadhili ugaidi duniani na kusema Washington ndiyo chanzo cha ukosefu wa usalama kote duniani.

  • Uchunguzi: Wabunge 1,700 wa Kongresi ya US wamewahi kumiliki watumwa

    Uchunguzi: Wabunge 1,700 wa Kongresi ya US wamewahi kumiliki watumwa

    Jan 11, 2022 04:22

    Uchunguzi mpya umefichua kuwa, zaidi ya watu 1,700 waliowahi kuhudumu katika Kongresi ya Marekani wamewahi kuwamiliki wanadamu kama bidhaa, hali inayoonesha biashara ya utumwa ilivyokuwa imekita mizizi nchini humo.

  • Waliohukumiwa kifo Marekani wafadhilisha 'risasi' badala ya sindano ya sumu

    Waliohukumiwa kifo Marekani wafadhilisha 'risasi' badala ya sindano ya sumu

    Jan 11, 2022 04:20

    Wafungwa wawili waliohukumiwa kifo katika jimbo la Oklahoma nchini Marekani wameenda mahakamani kutaka kuangaliwa upya namna ya utekelezaji wa hukumu ya kifo nchini humo.

  • Wataalamu wa UN waitaka Marekani ifunge gereza la Guantamano

    Wataalamu wa UN waitaka Marekani ifunge gereza la Guantamano

    Jan 11, 2022 04:19

    Wataalamu wa Umoja wa Mataifa wameutaka utawala wa Rais Joe Biden wa Marekani utekeleze ahadi yake ya kufunga jela ya kutisha ya Guantanamo Bay iliyoko nchini Cuba.

  • Wanajeshi magaidi wa Marekani waiba makumi ya malori ya mafuta ya Syria

    Wanajeshi magaidi wa Marekani waiba makumi ya malori ya mafuta ya Syria

    Jan 10, 2022 08:33

    Duru za kiusalama za Syria zimetangaza kuwa, muungano vamizi unaoongozwa na wanajeshi magaidi wa Marekani umeiba malori mengine 79 ya mafuta ya Syria na kuyaingiza nchini Iraq.

  • Iran yaikosoa Marekani kwa kuingiza udikteta kwenye michezo

    Iran yaikosoa Marekani kwa kuingiza udikteta kwenye michezo

    Jan 09, 2022 23:19

    Rais wa Kamati ya Taifa ya Olimpiki ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeikashifu na kuikosoa vikali Marekani kwa hatua yake ya kususia Michezo ya Olimpiki ya Msimu wa Baridi Kali itakayofanyika huko Beijing, China.

  • Instagram yafuta jumbe zinazozungumzia Jenerali Soleimani

    Instagram yafuta jumbe zinazozungumzia Jenerali Soleimani

    Jan 08, 2022 09:02

    Wananchi wa Iran wameanzisha kampeni ya kulalamikia hatua ya mtandao wa kijamii wa Instagram ya kuendelea kufuta jumbe zinazohusiana na Luteni Jenerali Qasem Soleimani, aliyekuwa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu.

  • Sisitizo la China la kuitaka Marekani iiondolee vikwazo Iran

    Sisitizo la China la kuitaka Marekani iiondolee vikwazo Iran

    Jan 07, 2022 04:02

    Kabla ya kuanza duru ya nane ya mazungumzo ya Vienna kuhusu JCPOA, China imeitaja Marekani kuwa mhusika katika uvurugaji mapatano ya JCPOA na hivyo imeitaka isitishe utekelezaji wa sera zake za vikwazo na mashinikizo ya juu zaidi dhidi ya Iran. Zhao Lijian Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China amesema ni wazi kuwa, kwa mtazamo wa kisheria na kimaadili, vikwazo vyote vya Marekani dhidi ya Iran vinapaswa kuondolewa.

  • Zaidi ya Watu laki saba wengine wagunduliwa kukumbwa na corona siku moja nchini Marekani

    Zaidi ya Watu laki saba wengine wagunduliwa kukumbwa na corona siku moja nchini Marekani

    Jan 06, 2022 09:04

    Data mpya zilizotolewa na serikali ya Marekani kuhusu wagonjwa wa UVIKO-19 au corona nchini humo zinaonesha kuwa, nchi hiyo ya Magharibi inaendelea kuvunja rekodi za mataifa mengine duniani kwa idadi kubwa ya wagonjwa wa corona. Zaidi ya watu laki saba wengine wamepatikana wana ugonjwa huo nchni humo katika kipindi cha siku moja.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS