Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Visingizio vinavyotumiwa na Marekani kuzuia misaada kwa nchi maskini duniani

    Visingizio vinavyotumiwa na Marekani kuzuia misaada kwa nchi maskini duniani

    Jun 12, 2021 22:50

    Wakati maambukizi ya virusi vya corona na ugonjwa wa COVID-19 vikiendelea kusababisha mgogoro wa kiuchumi na umaskini katika nchi mbalimbali duniani na kuzifanya nchi hizo zihitajie misaada zaidi ya nchi tajiri, maafisa wa serikali ya Marekani wanafanya mikakati ya kuzuia misaada kwa nchi hizo kwa kutumia visingizio vya aina mbalimbali.

  • Waandishi habari wa Marekani wataka kuakisiwa jinai za Israel katika vyombo vya habari vya nchi hiyo

    Waandishi habari wa Marekani wataka kuakisiwa jinai za Israel katika vyombo vya habari vya nchi hiyo

    Jun 12, 2021 22:20

    Zaidi ya Waandishi wa habari 500 wa Marekani wamesaini barua ya pamoja wakitaka kuakisiwa na kutangazwa habari zinazohusiana na dhulma na siasa za kibaguzi za Israel huko Palestina.

  • Iran: Marekani inalia machozi ya mamba, haijaachana na sera za Trump

    Iran: Marekani inalia machozi ya mamba, haijaachana na sera za Trump

    Jun 12, 2021 08:36

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Anayehusika na Masuala ya Kisiasa amesema ni kinaya kuiona Marekani inalia machozi ya mamba katika hali ambayo Washington inaendeleza jitihada zake za kuwataabisha na kuwahangaisha kwa njaa na umaskini Wairani milioni 82.

  • Mangoush: Libya haitaruhusu ardhi yake itumiwe dhidi ya nchi nyingine

    Mangoush: Libya haitaruhusu ardhi yake itumiwe dhidi ya nchi nyingine

    Jun 11, 2021 22:21

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa nchini Libya amesema kuwa nchi yake haitakubali kutumiwa kama kituo cha kuvuruga amani na utulivu katika kanda hiyo ya Afrika au kutumiwa ardhi na anga yake dhidi ya upande wowote mwingine.

  • Hatua mpya za vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran

    Hatua mpya za vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran

    Jun 11, 2021 08:25

    Wizara ya Biashara ya Marekani Alkhamisi ya jana iliwaweka watu na mashirika kadhaa katika orodha yake ya vikwazo kwa kisingizio cha nafasi yao katika kudhamini fedha kwa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (Sepah) na harakati ya wapiganaji wa kujitolea ya Ansarullah nchini Yemen.

  • Russia yaanza mazoezi ya kijeshi eneo ambako Marekani pia inapanga mazoezi ya kivita

    Russia yaanza mazoezi ya kijeshi eneo ambako Marekani pia inapanga mazoezi ya kivita

    Jun 11, 2021 07:53

    Jeshi la Majini la Russia limeanza mazoezi makubwa ya kijeshi katika eneo la kati mwa Bahari ya Pasifiki punde baada ya Marekani kusema itafanya mazoezi makubwa zaidi ya kivita katika eneo hilo hilo katika msimu wa joto mwaka huu.

  • Ansarullah: Marekani inafadhilisha vita Yemen, haitaki amani

    Ansarullah: Marekani inafadhilisha vita Yemen, haitaki amani

    Jun 11, 2021 03:25

    Mwenyekiti wa Kamati Kuu ya Mapinduzi ya Yemen amelaani hatua ya Marekani ya kuliwekea vikwazo vipya taifa hilo la Kiarabu na kusisitiza kuwa, Washington inafadhilisha vita nchini Yemen, na wala haitaki amani kama inavyodai.

  • Pentagon yaingiwa na kiwewe baada ya manowari za Iran kuwasili Atlantic

    Pentagon yaingiwa na kiwewe baada ya manowari za Iran kuwasili Atlantic

    Jun 10, 2021 22:22

    Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) imeingiwa na kiwewe na wahaka mkubwa baada ya msafara wa meli za kijeshi za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwasili katika Bahari ya Atlantic pasi na kupitia katika bandari za nchi nyingine kwa mara ya kwanza katika historia.

  • Russia: Wanajeshi wa Marekani nchini Syria ni wavamizi, waondoke

    Russia: Wanajeshi wa Marekani nchini Syria ni wavamizi, waondoke

    Jun 09, 2021 07:08

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa, wanajeshi wa Marekani ni wavamizi nchini Syria na wako huko kinyume cha sheria, hivyo wanapaswa waondoke.

  • Eritrea yailaumu Marekani kwa kuchochea mapigano Tigray, Ethiopia

    Eritrea yailaumu Marekani kwa kuchochea mapigano Tigray, Ethiopia

    Jun 08, 2021 03:42

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Eritrea amezilaumu tawala za Marekani kwa kuchochea mapigano na vita katika eneo la Tigray, la kaskazini mwa Ethiopia kwa zaidi ya miongo miwili sasa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS