Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Msafara wa wanajeshi vamizi wa Marekani washambuliwa kusini mwa Iraq

    Msafara wa wanajeshi vamizi wa Marekani washambuliwa kusini mwa Iraq

    Apr 13, 2021 22:06

    Duru za habari za Iraq zimetangaza kuwa, msafara wa magari yaliyokuwa yamepakia vifaa mbalimbali na zana za kijeshi kwa ajili ya wanajeshi vamizi wa Marekani umeshambuliwa kusini mwa nchi hiyo.

  • Marekani yasimamisha chanjo ya corona ya Johnson & Johnson kwa hofu ya kuganda damu

    Marekani yasimamisha chanjo ya corona ya Johnson & Johnson kwa hofu ya kuganda damu

    Apr 13, 2021 22:05

    Marekani imesitisha matumizi ya chanjo ya virusi vya corona iliyotengenezwa na kampuni ya dawa ya nchi hiyo, Johnson and Johnson, ambayo kuna madai kuwa inasababisha kuziba kwa mishipa kama matokeo ya tatizo la kuganda kwa damu kwa watu waliopewa chanjo hiyo.

  • Kukiri Biden juu ya kuudhiwa na kubughudhiwa Waislamu nchini Marekani

    Kukiri Biden juu ya kuudhiwa na kubughudhiwa Waislamu nchini Marekani

    Apr 13, 2021 21:52

    Rais Joe Biden wa Marekani amekiri katika ujumbe wake kwa mnasaba wa kuwadia mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani juu ya kuudhiwa na kubughudhiwa Waislamu katika jamii ya Marekani.

  • Marekani yasisitiza Israel ni mshirika wake wa kistratejia katika eneo

    Marekani yasisitiza Israel ni mshirika wake wa kistratejia katika eneo

    Apr 11, 2021 08:13

    Waziri wa Ulinzi wa Marekani amesema, utawala wa Kizayuni wa Israel ni mshirika wa kistratejia wa nchi hiyo katika eneo la Asia Magharibi.

  • Mgogoro wa mauaji ya kiholela Marekani na kilio cha Joe Biden, rais wa nchi hiyo

    Mgogoro wa mauaji ya kiholela Marekani na kilio cha Joe Biden, rais wa nchi hiyo

    Apr 09, 2021 22:01

    Rais Joe Biden wa Marekani amelalamikia vikali mashambulizi ya silaha moto na mauaji ya kiholela nchini humo na ametaka uhalifu huo ukomeshwe mara moja. Amesema, mashambulizi ya silaha moto Marekani ni sawa na ugonjwa wa kuambukiza na ni aibu kwa nchi hiyo kimataifa.

  • Walensky : Ubaguzi wa rangi ni tishio kwa mfumo wa afya wa Marekani

    Walensky : Ubaguzi wa rangi ni tishio kwa mfumo wa afya wa Marekani

    Apr 09, 2021 09:36

    Mkurugenzi wa Kituo cha Kudhibiti Magonjwa nchini Marekani amesema kuwa, ubaguzi wa rangi ni tishio kubwa kwa mfumo wa afya ya umma nchini humo.

  • Ushahidi mpya unaothibitisha uhusiano wa karibu wa Marekani na magaidi wa ISIS

    Ushahidi mpya unaothibitisha uhusiano wa karibu wa Marekani na magaidi wa ISIS

    Apr 09, 2021 06:36

    Marekani ina nafasi kubwa ya kuzuka na kupata nguvu magenge ya kigaidi hususan genge la kigaidi la Daesh (ISIS) hasa katika nchi za Kiislamu za Iraq na Syria. Sasa hivi ushahidi mpya umetolewa unaozidi kufichua uhusiano wa karibu sana baina ya Marekani na magaidi hao makatili.

  • Kikao cha pamoja cha JCPOA; matarajio ya kundi la 4+1 na matumaini ya Iran

    Kikao cha pamoja cha JCPOA; matarajio ya kundi la 4+1 na matumaini ya Iran

    Apr 08, 2021 03:37

    Kikao cha 18 cha Kamisheni ya Pamoja ya JCPOA kilifanyika juzi Jumanne huko Vienna mji mkuu wa Austria kwa kuhudhuriwa na wawakilishi wa kundi la 4+1 na pia Iran. Nchi wanachama wa mapatano ya JCPOA baada ya majadiliano na kuchunguza mapatano hayo zimekubaliana kuendeleza mashauriano katika ngazi ya kitaalamu ili kuiondolea Iran vikwazo.

  • Tathmini ya kikao cha tatu cha Baghdad na washington

    Tathmini ya kikao cha tatu cha Baghdad na washington

    Apr 07, 2021 22:07

    Duru mpya ya mazungumzo ya kistratijia baina ya Baghdad na Washington ilianza jana Jumatano kwa njia ya video. Taarifa iliyotolewa huko nyuma na Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani ilisema kuwa mazungumzo hayo yatahusu usalama, namna ya kupambana na ugaidi, nishati na masuala ya kisiasa.

  • Araqchi: Mkutano wa Kamisheni ya Pamoja ya JCPOA Vienna ni chanya

    Araqchi: Mkutano wa Kamisheni ya Pamoja ya JCPOA Vienna ni chanya

    Apr 07, 2021 03:17

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya kisiasa ameashiria kuhusu mkutano wa jana Jumanne mjini Vienna wa Kamisheni ya Pamoja ya makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kusisitiza kuwa, muelekeo wa kikao hicho ni chanya na wenye kutia matumaini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS