Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Yafichuka: Mossad imehusika katika jaibio la mapinduzi nchini Jordan

    Yafichuka: Mossad imehusika katika jaibio la mapinduzi nchini Jordan

    Apr 05, 2021 08:25

    Tovuti ya Axios ya Marekani imefichua kuwa, shirika la ujasusi la Israel, MOSSAD, limehusika katika jaribio la mapinduzi lililofanyika nchini Jordan.

  • Sisitizo la Marekani la kuiunga mkono Saudi Arabia; utendaji wa kindumakuwili wa serikali ya Biden

    Sisitizo la Marekani la kuiunga mkono Saudi Arabia; utendaji wa kindumakuwili wa serikali ya Biden

    Apr 05, 2021 04:58

    John Kirby, msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) alitangaza Jumamosi ya juzi katika mkutano wake na waandishi wa habari kwamba, Washington itaendelea kuiunga mkono na kuihami Saudi Arabia.

  • Kuondolewa vikwazo dhidi ya maafisa wa Mahakama ya ICC vilivyowekwa wakati wa utawala wa Trump

    Kuondolewa vikwazo dhidi ya maafisa wa Mahakama ya ICC vilivyowekwa wakati wa utawala wa Trump

    Apr 04, 2021 07:59

    Serikali ya Rais Joe Biden wa Marekani imetangaza kuondoa vikwazo vilivyokuwa vimewekwa na serikali iliyopita ya Donald Trump dhidi ya maafisa wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC).

  • Jengo la Congress la Marekani lafungwa kutokana na vitisho vya kiusalama

    Jengo la Congress la Marekani lafungwa kutokana na vitisho vya kiusalama

    Apr 03, 2021 02:54

    Vyombo vya habari vimetangaza kuwa, jengo la Congress ya Marekani limefungwa kutokana na vitisho vya kiusalama.

  • Zarif: Hakuna udharura wa kufanyika mkutano kati ya Iran na Marekani

    Zarif: Hakuna udharura wa kufanyika mkutano kati ya Iran na Marekani

    Apr 02, 2021 22:10

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema hakuna mazungumzo yoyote yatakayofanyika baina ya Jamhuri ya Kiislamu na Marekani juu ya kuhuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, na kwamba hakuna udharura wa kufanyika mkutano baina Tehran na Washington.

  • Kuimarishwa uhusiano wa Venezuela na Russia, jibu muafaka kwa uadui wa Marekani

    Kuimarishwa uhusiano wa Venezuela na Russia, jibu muafaka kwa uadui wa Marekani

    Apr 02, 2021 22:04

    Russia na Venezuela zimechukua hatua nyingine ya kuimarisha uhusiano wao kwa kuanzisha kamisheni ya viongozi wa nchi mbili na vile vile kuanzisha kamisheni tano za pamoja za kiufundi.

  • Marekani yarejea kutumia ibara ya

    Marekani yarejea kutumia ibara ya "ardhi zinazokaliwa kwa mabavu" huko Ukingo wa Magharibi

    Apr 01, 2021 22:18

    Serikali mpya ya Marekani katika ripoti yake ya kila mwaka imetumia ibara ya "ardhi zinazokaliwa kwa mabavu" huko Ukingo wa Magharibi mwa Mto Jordan; ambapo serikali za kabla yake ziliacha kutumia jina hilo.

  • Kulipwa Marekani na Sudan fidia ya mashambulio katika balozi zake huko Tanzania na Kenya

    Kulipwa Marekani na Sudan fidia ya mashambulio katika balozi zake huko Tanzania na Kenya

    Apr 01, 2021 21:55

    Serikali ya Sudan ili iondolewe katika orodha ya Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani ya mataifa eti yanayounga mkono ugaidi, imeilipa Washington fidia ya mamilioni ya dola katika tukio la kushambuliwa balozi za Marekani huko Tanzania na Kenya.

  • Mgogoro katika uhusiano wa Russia na Marekani

    Mgogoro katika uhusiano wa Russia na Marekani

    Apr 01, 2021 03:32

    Balozi wa Russia nchini Marekani amesema kuwa licha ya juhudi kubwa zilizofanywa na Moscow kwa ajili ya kuanzishwa mazungumzo na Washington lakini bado uhusiano wa nchi mbili hizo uko katika mgogoro mkubwa.

  • Idadi ya watoto wanaosumbuliwa na njaa yaongezeka kwa 50% Marekani

    Idadi ya watoto wanaosumbuliwa na njaa yaongezeka kwa 50% Marekani

    Apr 01, 2021 02:51

    Takwimu za karibuni kabisa nchini Marekani zinaonyesha kuwa idadi ya watoto wanaosumbuliwa na njaa nchini humo imeongezeka kwa asilimia 50.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS