-
Yafichuka: Mossad imehusika katika jaibio la mapinduzi nchini Jordan
Apr 05, 2021 08:25Tovuti ya Axios ya Marekani imefichua kuwa, shirika la ujasusi la Israel, MOSSAD, limehusika katika jaribio la mapinduzi lililofanyika nchini Jordan.
-
Sisitizo la Marekani la kuiunga mkono Saudi Arabia; utendaji wa kindumakuwili wa serikali ya Biden
Apr 05, 2021 04:58John Kirby, msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) alitangaza Jumamosi ya juzi katika mkutano wake na waandishi wa habari kwamba, Washington itaendelea kuiunga mkono na kuihami Saudi Arabia.
-
Kuondolewa vikwazo dhidi ya maafisa wa Mahakama ya ICC vilivyowekwa wakati wa utawala wa Trump
Apr 04, 2021 07:59Serikali ya Rais Joe Biden wa Marekani imetangaza kuondoa vikwazo vilivyokuwa vimewekwa na serikali iliyopita ya Donald Trump dhidi ya maafisa wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC).
-
Jengo la Congress la Marekani lafungwa kutokana na vitisho vya kiusalama
Apr 03, 2021 02:54Vyombo vya habari vimetangaza kuwa, jengo la Congress ya Marekani limefungwa kutokana na vitisho vya kiusalama.
-
Zarif: Hakuna udharura wa kufanyika mkutano kati ya Iran na Marekani
Apr 02, 2021 22:10Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema hakuna mazungumzo yoyote yatakayofanyika baina ya Jamhuri ya Kiislamu na Marekani juu ya kuhuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, na kwamba hakuna udharura wa kufanyika mkutano baina Tehran na Washington.
-
Kuimarishwa uhusiano wa Venezuela na Russia, jibu muafaka kwa uadui wa Marekani
Apr 02, 2021 22:04Russia na Venezuela zimechukua hatua nyingine ya kuimarisha uhusiano wao kwa kuanzisha kamisheni ya viongozi wa nchi mbili na vile vile kuanzisha kamisheni tano za pamoja za kiufundi.
-
Marekani yarejea kutumia ibara ya "ardhi zinazokaliwa kwa mabavu" huko Ukingo wa Magharibi
Apr 01, 2021 22:18Serikali mpya ya Marekani katika ripoti yake ya kila mwaka imetumia ibara ya "ardhi zinazokaliwa kwa mabavu" huko Ukingo wa Magharibi mwa Mto Jordan; ambapo serikali za kabla yake ziliacha kutumia jina hilo.
-
Kulipwa Marekani na Sudan fidia ya mashambulio katika balozi zake huko Tanzania na Kenya
Apr 01, 2021 21:55Serikali ya Sudan ili iondolewe katika orodha ya Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani ya mataifa eti yanayounga mkono ugaidi, imeilipa Washington fidia ya mamilioni ya dola katika tukio la kushambuliwa balozi za Marekani huko Tanzania na Kenya.
-
Mgogoro katika uhusiano wa Russia na Marekani
Apr 01, 2021 03:32Balozi wa Russia nchini Marekani amesema kuwa licha ya juhudi kubwa zilizofanywa na Moscow kwa ajili ya kuanzishwa mazungumzo na Washington lakini bado uhusiano wa nchi mbili hizo uko katika mgogoro mkubwa.
-
Idadi ya watoto wanaosumbuliwa na njaa yaongezeka kwa 50% Marekani
Apr 01, 2021 02:51Takwimu za karibuni kabisa nchini Marekani zinaonyesha kuwa idadi ya watoto wanaosumbuliwa na njaa nchini humo imeongezeka kwa asilimia 50.