Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Muungano wa al Faf'h Iraq: Trump na Biden ni pande mbili za sarafu moja

    Muungano wa al Faf'h Iraq: Trump na Biden ni pande mbili za sarafu moja

    Nov 04, 2020 04:15

    Muungano wa al Fat'h katika Bunge la Iraq umetangaza kuwa Donald Trump na Joe Biden ni pande mbili za sarafu moja na kwamba, yeyote atakayeshinda uchaguzi wa rais wa Marekani baina ya wawili hao atahudumia maslahi ya harakati za Wazayuni za kutaka kujipanua zaidi katika eneo hili la magharibi mwa Asia.

  • Kurefusha Marekani vikwazo dhidi ya Sudan; zawadi ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel

    Kurefusha Marekani vikwazo dhidi ya Sudan; zawadi ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel

    Nov 03, 2020 10:11

    Serikali ya Trump ikiwa na lengo la kuuridhisha utawala wa haramu wa Israel imechukua hatua tofauti ikiwemo ya kuandaa uwanja wa kutambuliwa rasmi utawala huo na mataifa ya Kiarabu na Kiislamu ambapo hatua yake ya karibuni kabisa na kuanzishwa uhusiano wa kawaida kati ya Sudan na utawala huo ghasibu.

  • Trump arefusha vikwazo dhidi ya Sudan licha ya Khartoum kukubali kuanzisha uhusiano na Israel

    Trump arefusha vikwazo dhidi ya Sudan licha ya Khartoum kukubali kuanzisha uhusiano na Israel

    Nov 03, 2020 05:47

    Rais Donald Trump wa Marekani amerufusha hali ya hatari na vikwazo vva nchi hiyo dhidi ya Sudan licha ya kutoa ahadi ya kuiondoa nchi hiyo katika orodha ya Washington ya nchi eti zinazofadhili ugaidi baada ya Khartoum kukubali kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia na utawala haramu wa Israel.

  • Kushadidi migawanyiko ya kisiasa na kijamii Marekani

    Kushadidi migawanyiko ya kisiasa na kijamii Marekani

    Nov 02, 2020 08:08

    Kampeni za uchaguzi wa rais wa Marekani zimefika ukingoni. Ikiwa imesalia masaa machache kabla ya uchaguzi mkuu, kumeshuhudiwa majibizano makali baina ya wagombea urais na wafuasi wao na hata katika baadhi ya maeneo kumeripotiwa kuongezeka mapigano ya mitaani baina ya wafuasi wa kambi mbili hasimu za kisiasa.

  • Marekani sasa inaishinikiza Somalia kuanzisha uhusiano na Israel

    Marekani sasa inaishinikiza Somalia kuanzisha uhusiano na Israel

    Nov 02, 2020 04:04

    Vyombo vya habari nchini Somalia vimeripoti kuwa, Marekani inaishinikiza nchi hiyo ianzishe uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Wasiwasi wa kuibuka ghasia huku siku ya uchaguzi ikikaribia Marekani

    Wasiwasi wa kuibuka ghasia huku siku ya uchaguzi ikikaribia Marekani

    Nov 01, 2020 08:26

    Kuna wasiwasi mkubwa kuwa kutaibuka machafuko na ghasia nchini Marekani baada ya upigaji kura siku ya Jumanne.

  • Kufichuliwa hatua za upendeleo za Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa wa Marekani kwa maslahi ya kampeni za uchaguzi za Trump

    Kufichuliwa hatua za upendeleo za Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa wa Marekani kwa maslahi ya kampeni za uchaguzi za Trump

    Oct 30, 2020 09:09

    Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa wa Marekani John Ratcliffe amezungumzia tuhuma za Iran kuingilia uchaguzi wa mwaka huu wa Marekani ambazo sasa imebainika kuwa zimetolewa ili kuimarisha kampeni za uchaguzi za Donald Trump.

  • Trump akiri: Hakuna uhuru wa vyombo vya habari nchini Marekani

    Trump akiri: Hakuna uhuru wa vyombo vya habari nchini Marekani

    Oct 29, 2020 23:16

    Tangu aliposhika madaraka ya nchi Januari mwaka 2017, Rais Donald Trump wa Marekani daima amekuwa akihujumu vikali vyombo vya habari vinavyomkosoa yeye na utendaji wa serikali yake.

  • Wamarekani magaidi waendelea kuiba mafuta ya Syria

    Wamarekani magaidi waendelea kuiba mafuta ya Syria

    Oct 28, 2020 08:54

    Duru mbalimbali za Syria zimetangaza habari ya kuendelea wizi wa mafuta ya nchi hiyo unaofanywa na wanajeshi magaidi wa Marekani.

  • Iran: Njama mpya za Marekani na Israel dhidi yetu zitafeli

    Iran: Njama mpya za Marekani na Israel dhidi yetu zitafeli

    Oct 28, 2020 04:15

    Katibu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema njama mpya za Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel za kutaka kutoa pigo kwa Iran kupitia uanzishwaji wa uhusiano wa kawaida na Tel Aviv, zitagonga mwamba.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS