Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Theluthi mbili ya Wamarekani wanaunga mkono maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi

    Theluthi mbili ya Wamarekani wanaunga mkono maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi

    Jul 28, 2020 22:01

    Katika kila Wamarekani watatu, wawili kati yao wanaunga mkono maandamano yanayoendelea kufanyika katika kila pembe ya nchi hiyo kulalamikia dhulma na uonevu unaofanywa kwa sababu ya asili na rangi ya ngozi ya mtu.

  • Pompeo adai kampuni ya Huawei ya China inakiuka haki za binadamu

    Pompeo adai kampuni ya Huawei ya China inakiuka haki za binadamu

    Jul 28, 2020 00:13

    Katika kuendelea prppaganda chafu za Washington dhidi ya Beijing, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani amedai kuwa kampuni kubwa ya China ya Huawei inakiuka haki za binadamu.

  • Kupasisha Marekani msaada wa dola bilioni 38 kwa ajili ya utawala haramu wa Israel

    Kupasisha Marekani msaada wa dola bilioni 38 kwa ajili ya utawala haramu wa Israel

    Jul 27, 2020 22:00

    Jumapili ya tarehe 26 Julai, Kongresi ya Marekani ilipasisha msaada wa kifedha kwa utawala haramu wa Israel wa dola bilioni 38 katika kipindi cha miaka kumi.

  • Hamas yapinga misaada ya kifedha ya Marekani kwa utawala haramu wa Israel

    Hamas yapinga misaada ya kifedha ya Marekani kwa utawala haramu wa Israel

    Jul 27, 2020 08:34

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, (HAMAS) imepinga hatua ya Kongresi ya Marekani ya kupasisha bajeti ya msaada wa kifedha kwa ajili ya utawala wa Kizayuni wa Israel na kutangaza kuwa: Hatua hiyo inaimarisha mienendo ya kibabe na ukiukaji wa sheria za kimataifa.

  • Uchunguzi: Familia milioni 26 nchini Marekani zinakabiliwa na njaa

    Uchunguzi: Familia milioni 26 nchini Marekani zinakabiliwa na njaa

    Jul 26, 2020 20:59

    Matokeo ya uchunguzi mpya uliofanywa nchini Marekani yanaonyesha kuwa, familia milioni 26 nchini humo hazina chakula cha kutosha.

  • CNN: Pompeo ndiye waziri mbaya zaidi wa mambo ya nje katika historia ya Marekani

    CNN: Pompeo ndiye waziri mbaya zaidi wa mambo ya nje katika historia ya Marekani

    Jul 26, 2020 01:32

    Televisheni ya CNN ya Marekani imemtaja Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa nchi hiyo, Mike Pompeo kuwa ndiye waziri mbaya zaidi wa mambo ya nje katika historia ya Marekani.

  • Balozi wa Syria Tehran: Uchokozi wa Marekani dhidi ya ndege ya abiria ya Iran ni ugaidi

    Balozi wa Syria Tehran: Uchokozi wa Marekani dhidi ya ndege ya abiria ya Iran ni ugaidi

    Jul 25, 2020 22:11

    Balozi wa Syria mjini Tehran amesema, uchokozi wa ndege za kivita za Marekani dhidi ya ndege ya abiria ya Iran katika anga ya Syria ni nembo na dhihirisho la ugaidi wa Marekani dhidi ya raia wakiwemo wanawake na watoto.

  • Umoja wa Mataifa wakosoa ukandamizaji unaofanywa dhidi ya waandamanaji nchini Marekani

    Umoja wa Mataifa wakosoa ukandamizaji unaofanywa dhidi ya waandamanaji nchini Marekani

    Jul 25, 2020 22:10

    Maandamano makubwa na yasiyo na mfano wake ambayo yamekuwa yakifanyika nchini Marekani tokea kuuawa kinyama kwa Mmarekani mweusi George Floyd katika mji wa Minnesota katika jimbo la Minneapolis tarehe 25 Mei, yangali yanaendelea licha ya ukandamizaji mkubwa unaofanywa na serikali ya Trump dhidi ya waandamanaji.

  • Biden: Trump anaweza kujaribu kwa

    Biden: Trump anaweza kujaribu kwa "njia isiyo ya moja kwa moja kuiba" matokeo ya uchaguzi

    Jul 25, 2020 02:50

    Mgombea urais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Democrat ametahadharisha kuwa rais wa nchi hiyo Donald Trump anaweza akatumia njia isiyo ya moja kwa moja kupora na kupindua matokeo ya uchaguzi wa urais utakaofanyika mwezi Novemba.

  • Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran yakemea vikali hatua ya ndege zakivita za Marekani ya kuhatarisha usalama wa ndege ya abiria ya Iran

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran yakemea vikali hatua ya ndege zakivita za Marekani ya kuhatarisha usalama wa ndege ya abiria ya Iran

    Jul 24, 2020 09:19

    Msemaji wa Wizara Mambo ya Nchi za Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekemea vikali hatua ya ndege mbili za kijeshi za Marekani ya kutishia usalama wa ndege ya abiria ya Iran katika anga ya Syria na kusema: Habari zaidi kuhusu tukio hilo zinafanyiwa uchunguzi na hatua za dharura za kisiasa na kisheria zitachukuliwa baada ya kukamilika uchunguzi huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS