-
Viongozi wa Marekani wakosoa vikali uamuzi wa Trump wa kutumia jeshi kukabiliana na waandamanaji
Jun 07, 2020 00:05Viongozi wa Marekani wamekosoa vikali uamuzi wa Rais Donald Trump wa kutuma wanajeshi kwa lengo la kukabiliana na waandamanaji.
-
Wakazi wa New York waendeleza maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi nchini Marekani
Jun 06, 2020 12:46Wakazi wa New York nchini Marekani wameendeleza maandamano ya kupinga ubaguzi na ukatili wa polisi ya nchi hiyo dhidi ya watu weusi.
-
Mauaji ya George Floyd yaporomosha vibaya umaarufu wa Trump nchini Marekani
Jun 06, 2020 06:59Wimbi la maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi na unyanyasaji watu wasio wazungu linaendelea nchini Marekani huku kiwango cha umaarufu wa rais wa nchi hiyo, Donald Trump kikiporomoka vibaya na kufikia asilimia 44.
-
Spika wa Bunge la Iran amjibu Trump kwa aya ya Qurani Tukufu
Jun 06, 2020 03:41Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) ameashiria ujumbe wa Twitter wa Rais Donald Trump wa Marekani ambaye ametoa pendekezo la kufanyika duru mpya ya mazungumzo ya nyuklia na Tehran na kusisitiza kuwa, muqawama ndio njia pekee ya kumshinda adui.
-
Polisi wa Marekani waendeleza jinai zao, mara hii wamuua Mmarekani mwenye asili ya Latini asiye na silaha
Jun 05, 2020 22:27Katika jinai mpya zinazochochewa na mitazamo ya kibaguzi, polisi wa Marekani, wamemuua raia wa nchi hiyo mwenye asili ya Amerika ya Latini ambaye hakuwa na silaha wala ulinzi wowote.
-
Jitihada mpya za Marekani kwa ajili ya kurefusha vikwazo vya silaha dhidi ya Iran
Jun 05, 2020 22:23Moja kati ya vipengee muhimu vya mapatano ya nyuklia ya maarufu kwa kifupi ka jina la JCPOA ni azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ambalo lina kipengee kuhusu kufutwa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran miaka mitano baada ya kuanza kutekelezwa mapatano hayo.
-
Pelosi naye aiponda Israel na Muamala wa Karne wa Donad Trump
Jun 05, 2020 07:29Spika wa Kongresi ya Marekani ametahadharisha kwamba, mpango wa Israel wa kutaka kutwaa ardhi nyingine ya Palestina ya Ukingo wa Magharibi (West Bank) utadhoofisha sera za vyama viwili vikuu vya Marekani, Democratic na Republican, za kuiunga mkono Tel Aviv.
-
Malalamiko ya UN dhidi ya ubaguzi wa rangi wa kitaasisi nchini Marekani
Jun 05, 2020 01:27Ubaguzi wa rangi na kizazi na ukandamizaji uliochupa mipaka dhidi ya watu wasio wazungu hasa wenye asili ya Afrika huko Marekani una historia ndefu na ulianza tangu ilipoasisiwa nchi hiyo karne tatu zilizopita. Ubaguzi huo daima umekuwa ni sifa inayochukiza ya jamii ya Marekani. Licha ya Wamarekani wenye asili ya Afrika kuendesha mapambano makali ya kupigania haki zao, lakini hadi leo hii wanaendelea kuwa wahanga wa ubaguzi, ukatili na ukandamizaji usio na kifani.
-
Waziri wa Ulinzi China: Uhasama wa Marekani na China umeingia kipindi hatari
Jun 04, 2020 21:55Waziri wa Ulinzi wa China amesema uhasama wa kistratijia wa nchi yake na Marekani umeingia kipindi hatari baada ya Washington kukithirisha sera zake za 'kuikandamiza na kukabiliana' na China baada ya janga la COVID-19 kuikumba dunia.
-
Obama ataka mageuzi Marekani, Pelosi ajiunga na waandamanaji dhidi ya ubaguzi wa rangi
Jun 04, 2020 08:16Rais wa zamani wa Marekani Barack Obama ametoa wito wa kufanyika marekebisho katika mfumo wa jeshi la polisi la nchi hiyo na kusisitiza kuwa, waandamanaji wanaopinga ubaguzi wa rangi wanapaswa kuwanyima utulivu wanaoshikilia madaraka.