Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • EU, China zaikosoa US kwa kuondoa misamaha ya vikwazo vya nyuklia dhidi ya Iran

    EU, China zaikosoa US kwa kuondoa misamaha ya vikwazo vya nyuklia dhidi ya Iran

    May 30, 2020 03:41

    Umoja wa Ulaya na China zimekosoa vikali hatua ya Marekani ya kufuta misamaha ya vikwazo inayohusiana na makubaliano ya kimataifa ya nyuklia ya Iran ya JCPOA.

  • Ubaguzi waendelea Marekani, mwanahabari wa CNN akamatwa akiripoti mubashara

    Ubaguzi waendelea Marekani, mwanahabari wa CNN akamatwa akiripoti mubashara

    May 29, 2020 23:16

    Polisi nchini Marekani wameendeleza vitendo vya kuwabagua Wamarekani wenye asilia ya Afrika na mara hii mwanahabari wa Televisheni ya CNN amekamatwa akiwa anarusha ripoti hewani mubashara kuhusu ghasia za kupinga ubaguzi wa rangi huko Minneapolis.

  • Maandamano makubwa kufuatia jinai za polisi wa Marekani dhidi ya Wamarekani weusi

    Maandamano makubwa kufuatia jinai za polisi wa Marekani dhidi ya Wamarekani weusi

    May 29, 2020 22:23

    Ubaguzi wa kijinsia na ubaguzi wa rangi hususan dhidi ya watu weusi daima ni mambo ambayo yamekuwa yakilaaniwa katika jamii ya Marekani.

  • Kongresi ya Marekani yataka kufanyika uchunguzi katika mauaji ya kibaguzi ya polisi wa nchi hiyo

    Kongresi ya Marekani yataka kufanyika uchunguzi katika mauaji ya kibaguzi ya polisi wa nchi hiyo

    May 29, 2020 06:43

    Bunge la Kongresi la Marekani sambamba na kutahadharisha juu ya kupotea imani ya wananchi kuhusu utekelezaji wa sheria usio na ubaguzi, limetaka kufanyika uchunguzi wa mauaji ya kibaguzi ya polisi wa nchi hiyo hususan mauaji ya hivi karibini.

  • Waziri wa Ulinzi wa Marekani: Vita vya mwaka 2003 ndio sababu ya matatizo ya leo ya Iraq

    Waziri wa Ulinzi wa Marekani: Vita vya mwaka 2003 ndio sababu ya matatizo ya leo ya Iraq

    May 29, 2020 06:28

    Waziri wa zamani wa Ulinzi wa Marekani amesema kuwa vita vya mwaka 2003 vya Marekani nchini Iraq ndio chanzo kikuu cha matatizo ya sasa ya nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Waziri wa Ulinzi wa China aitahadharisha Marekani

    Waziri wa Ulinzi wa China aitahadharisha Marekani

    May 28, 2020 21:52

    Waziri wa Ulinzi wa China amesema kuwa ushindani wa nchi hiyo na Marekani umeingia katika nukta nyeti na hatari na kwamba China ni lazima iimarishe zaidi moyo wa kusimama imara.

  • Marekani yaondoa misamaha ya nyuklia ya Iran

    Marekani yaondoa misamaha ya nyuklia ya Iran

    May 28, 2020 21:52

    Baada ya Marekani kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) mnamo Mei 8 2018, ilianza kutekeleza vikwazo vipya dhidi ya Iran. Vikwazo hivyo vya upande mmoja ni ukiukwaji wa wazi wa azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • China: Mgogoro kati yetu na Marekani umeshtadi zaidi, kupenda makubwa kwa Trump ndio sababu

    China: Mgogoro kati yetu na Marekani umeshtadi zaidi, kupenda makubwa kwa Trump ndio sababu

    May 28, 2020 12:51

    Waziri Mkuu wa China ameelezea kushtadi mgogoro kati ya nchi yake na Marekani

  • Mwandamanaji auawa Marekani katika maandamano ya kulalamikia muaji

    Mwandamanaji auawa Marekani katika maandamano ya kulalamikia muaji

    May 28, 2020 05:31

    Mtu mmoja amepigwa raisasi na kuuawa katika maandamano katika mji wa Minneapolis nchini Marekani.

  • Sisitizo la Ujerumani juu ya udharura wa kuwa huru Ulaya katika masuala ya kimataifa

    Sisitizo la Ujerumani juu ya udharura wa kuwa huru Ulaya katika masuala ya kimataifa

    May 28, 2020 04:52

    Umoja wa Ulaya umekumbwa na changamoto nyingi tofauti hususan wakati huu wa mgogoro wa maambukizi ya corona. Hivi sasa bara la Ulaya limekumbwa na mgogoro ambao haujawahi kutokea barani humo. Si hayo tu, lakini mivutano iliyodhihiri zaidi ndani ya Umoja wa Ulaya wakati huu wa corona, ni msiba mwingine uliolikumba bara hilo na kuzidi kuonesha udhaifu wake katika nyuga tofauti hasa za kiafya na kiuchumi na utegemezi wa nchi hizo kwa mataifa mengine kama China.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS