Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Vitisho vikubwa vya Trump kwa China; upayukaji au kampeni za uchaguzi?

    Vitisho vikubwa vya Trump kwa China; upayukaji au kampeni za uchaguzi?

    May 16, 2020 02:05

    Tangu alipoingia madarkani Donald Trump huko Marekani, rais huyo mwenye majigambo mengi amekuwa akifuata siasa maalumu dhidi ya China na kuishinikiza Beijing katika pande mbalimbali.

  • Marekani ya Trump; nembo na mshirika wa ugaidi wa kiserikali ulimwenguni

    Marekani ya Trump; nembo na mshirika wa ugaidi wa kiserikali ulimwenguni

    May 15, 2020 21:58

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Marekani ni nembo ya ugaidi wa kiserikali na kueleza kwamba, historia ya nchi hiyo katika kuunga mkono ugaidi iko wazi kabisa.

  • Trump: Sitaki kuzungumza na Rais Xi, huenda tutakata uhusiano wetu na China

    Trump: Sitaki kuzungumza na Rais Xi, huenda tutakata uhusiano wetu na China

    May 15, 2020 08:00

    Rais Donald Trump wa Marekani amesema haoni umuhimu wowote wa kufanya mazungumzo na mwenzake wa China, Xi Jinping, kauli ambayo inaweka bayana kuzidi kuharibika uhusiano wa Washington na Beijing wakati huu wa janga la kimataifa la corona.

  • Wapalestina wakusanyika Nablus, Ufukwe wa Magharibi kupinga safari ya Pompeo

    Wapalestina wakusanyika Nablus, Ufukwe wa Magharibi kupinga safari ya Pompeo

    May 15, 2020 03:40

    Wananchi wa Palestina wamekusanyika katika mji wa Nablus ulioko kaskazini mwa Ufukwe wa Magharibu wa Mto Jordan kupinga safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Mike Pompeo katika ardhi zao zinazokaliwa kwa mabavu zilizopewa jina la 'Israel'.

  • Amnesty yaikosoa Marekani kwa kuungo mkono uporaji wa ardhi za Wapalestina

    Amnesty yaikosoa Marekani kwa kuungo mkono uporaji wa ardhi za Wapalestina

    May 14, 2020 19:58

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limekosoa vikali hatua ya Marekani ya kuunga mkono uamuzi wa utawala wa Kizayuni wa kulinyakua eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na kuliunganisha na ardhi zingine unazozikalia kwa mabavu za Palestina (Israel).

  • Corona; dhihirisho la tabia ya kigaidi ya Marekani dhidi ya taifa la Iran

    Corona; dhihirisho la tabia ya kigaidi ya Marekani dhidi ya taifa la Iran

    May 14, 2020 19:54

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, licha ya kuwa siku zote Marekani inajulikana kuwa ni nchi ya kigaidi, lakini si kwa kiwango hiki cha hata kuzuia bidhaa za afya na tiba zikiwemo dawa kuwafikia watu wa Iran.

  • Rais Rouhani: Utawala mbaya zaidi na muovu zaidi Marekani ndio ulioko madarakani

    Rais Rouhani: Utawala mbaya zaidi na muovu zaidi Marekani ndio ulioko madarakani

    May 13, 2020 09:11

    Rais Hassan Rouhani amesema, utawala mbaya zaidi na muovu zaidi Marekani ndio ulioko madarakani na akaongeza kuwa, serikali ya Marekani siku zote ni ya kigaidi lakini kiwango hiki hakijawahi kushuhudiwa.

  • Russia: Hatuitaruhusu Marekani irefushe vikwazo vya silaha dhidi ya Iran

    Russia: Hatuitaruhusu Marekani irefushe vikwazo vya silaha dhidi ya Iran

    May 13, 2020 03:48

    Russia imesema itapinga jitihada zozote za Marekani za kutaka muda wa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran uongezwe utakapomalizika mwezi Oktoba mwaka huu.

  • Maelfu ya Wamarekani wakana uraia wao ndani ya miezi 3 ya 2020

    Maelfu ya Wamarekani wakana uraia wao ndani ya miezi 3 ya 2020

    May 13, 2020 03:43

    Maelfu ya raia wa Marekani wanaoshi nje ya nchi hiyo wametangaza kukana uraia wao mwaka huu kutokana na sababu mbalimbali.

  • Indhari ya Russia kuhusu kibarua kigumu katika mchakato wa kuongezwa muda wa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran

    Indhari ya Russia kuhusu kibarua kigumu katika mchakato wa kuongezwa muda wa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran

    May 12, 2020 21:51

    Marekani imekuwa iking’ang’ania kutekeleza siasa za "mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa" na kuendeleza vikwazo dhidi ya Iran iwe ni vikwazo vya upande mmoja au vikwazo vinavyohusiana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA hususan vikwazo vya silaha.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS