Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Uingereza yadokeza kuwa itachukua hatua zaidi dhidi ya Israel kutokana na hali ya 'kikatili' ya Ghaza

    Uingereza yadokeza kuwa itachukua hatua zaidi dhidi ya Israel kutokana na hali ya 'kikatili' ya Ghaza

    Jul 23, 2025 02:41

    Waziri wa mambo ya nje wa Uingereza David Lammy ameonya kuwa ikiwa usitishaji vita katika Ukanda wa Ghaza hautafikiwa hivi karibuni, zinaweza kuchukuliwa hatua zaidi dhidi ya Israel.

  • Mafaili ya siri yanayohusu mauaji ya Martin Luther King Jr yawekwa hadharani

    Mafaili ya siri yanayohusu mauaji ya Martin Luther King Jr yawekwa hadharani

    Jul 23, 2025 00:18

    Serikali ya Rais wa Marekani Donald Trump imeweka hadharani maelfu ya mafaili na nyaraka za serikali zinazohusiana na mauaji ya nyota wa kupigania haki za kiraia Martin Luther King Jr. Siku ya Jumatatu, kurasa zipatazo 240,000 ziliwekwa kwenye tovuti ya Hifadhi ya Taifa, ambayo imeahidi kutoa nyaraka nyingi zaidi.

  • Ripoti: Mienendo ya Netanyahu inaitia wasiwasi White House

    Ripoti: Mienendo ya Netanyahu inaitia wasiwasi White House

    Jul 20, 2025 10:50

    Baadhi ya maafisa wakuu wa Marekani wameliambia shirika la habari la Axios kwamba, hofu inaongezeka ndani ya utawala wa Donald Trump juu ya tabia na mienendo ya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, wakielezea mienendo hiyo kama ya kutojali, kuvuruga uthabiti, na wakati mwingine yenye ukosefu wa ukomavu.

  • Serikali ya Trump kuteketeza tani 500 za chakula, dunia ikisakamwa na njaa

    Serikali ya Trump kuteketeza tani 500 za chakula, dunia ikisakamwa na njaa

    Jul 18, 2025 13:40

    Marekani inajiandaa kuharibu karibu tani 500 za chakula cha msaada wa dharura, ikiwa ni sehemu ya hifadhi kubwa ya tani 60,000 za chakula hicho iliyokwama katika maghala katika sehemu mbalimbali duniani, huku njaa ikiongezeka kote ulimwenguni.

  • Afisa wa zamani wa Pentagon: Huenda US ikaishiwa na makombora

    Afisa wa zamani wa Pentagon: Huenda US ikaishiwa na makombora

    Jul 18, 2025 10:44

    Mshauri wa zamani wa Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon), Douglas Macgregor ameonya kuwa, Marekani inaweza kuishiwa na hifadhi yake ya makombora ndani ya siku nane.

  • Jibu la suali la leo; nini sababu ya waziri wa zamani wa mambo ya nje wa US kukosoa sera ya Trump kuhusiana na Iran?

    Jibu la suali la leo; nini sababu ya waziri wa zamani wa mambo ya nje wa US kukosoa sera ya Trump kuhusiana na Iran?

    Jul 18, 2025 08:53

    Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Anthony Blinken, amekosoa mwelekeo wa rais wa nchi hiyo Donald Trump kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran; na licha ya kuibua madai mengine mapya amesema: Iran bado haijaamua kuunda silaha za nyuklia na imetekeleza ahadi zake katika JCPOA.

  • Rais wa Brazil asema, Trump ni rais wa Marekani, si ‘mtawala mkuu’ wa dunia

    Rais wa Brazil asema, Trump ni rais wa Marekani, si ‘mtawala mkuu’ wa dunia

    Jul 18, 2025 03:27

    Rais wa Brazil Luiz Inacio Lula da Silva amepinga tangazo la Rais wa Marekani Donald Trump la kuongeza ushuru wa asilimia 50 kwa bidhaa zinazoingizwa Marekani kutokana nchini humo, na kuapa kuwa "atajibu mapigo" dhidi ya hatua hiyo na kutetea maslahi ya watu wake.

  • Eswatini kuwatimua wahamiaji 'sugu' kutoka US baada ya malalamiko

    Eswatini kuwatimua wahamiaji 'sugu' kutoka US baada ya malalamiko

    Jul 17, 2025 01:29

    Serikali ya Eswatini ilisema jana Jumatano kwamba, inawashikilia raia watano wa nchi ya tatu waliofukuzwa kutoka Marekani katika magereza yaliyotengwa, chini ya makubaliano na utawala wa Rais Donald Trump, lakini inapania kuwarejesha katika nchi zao.

  • Nini lengo la Umoja wa Ulaya katika kuzidisha vikwazo dhidi ya Iran?

    Nini lengo la Umoja wa Ulaya katika kuzidisha vikwazo dhidi ya Iran?

    Jul 16, 2025 23:05

    Umoja wa Ulaya, ukifuata nyayo za Marekani, umeendeleza siasa za kuzidisha mashinikizo dhidi ya Iran katika nyanja mbalimbali katika muhula wa pili wa uongozi wa Donald Trump kwa shabaha ya kuilazimisha Tehran isalimu amri mbele ya matakwa ya kupindukia mipaka ya nchi za Magharibi.

  • US yaweka rekodi mpya ya kuogofya, yatimua maelfu ya watoto

    US yaweka rekodi mpya ya kuogofya, yatimua maelfu ya watoto

    Jul 15, 2025 01:13

    Zaidi ya watoto 8,300 wahamiaji wasio na vibali, wenye chini ya umri wa miaka 11 walipewa maagizo ya kufukuzwa nchini Marekani mwezi Aprili, hiyo ikiwa ni idadi ya juu zaidi ya kila mwezi kuwahi kurekodiwa nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS