Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Shutuma kali za chama cha Leba cha Uingereza kwa chokochoko za Marekani Ghuba ya Uajemi

    Shutuma kali za chama cha Leba cha Uingereza kwa chokochoko za Marekani Ghuba ya Uajemi

    Jul 21, 2019 21:57

    Matukio ya hivi karibuni katika eneo la Ghuba ya Uajemi kama vile kusimamishwa meli ya mafuta ya Uingereza na Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH baada ya meli hiyo kuvunja sheria za kimataifa za safari za baharini na madai ya uongo ya Marekani ya kwamba eti imetungua droni ya Iran, yamewafanya viongozi mbalimbali wa Uingereza kuonesha hisia zao kuhusu matukio hayo.

  • Muhammad Ali al-Houthi: Marekani chanzo kikuu cha matatizo ya wananchi wa Yemen

    Muhammad Ali al-Houthi: Marekani chanzo kikuu cha matatizo ya wananchi wa Yemen

    Jul 20, 2019 23:53

    Mkuu wa Kamati Kuu ya Mapainduzi ya Yemen amesema kuwa, hatua ya serikali za Saudi Arabia na Imarati ya kutekeleza kibubusa siasa za Marekani zimewaletea wananchi wa Yemen matatizo makubwa.

  • Zarif aionya Marekani 'isiichezee Iran'

    Zarif aionya Marekani 'isiichezee Iran'

    Jul 20, 2019 08:41

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa vikali uwepo kijeshi wa Marekani katika kila pembe ya dunia na kusema kuwa, kuwepo huko kwa Washington ndio sababu ya "kukosekana amani na uthabiti".

  • Mousavi: Pendekezo la mazungumzo la Marekani ni hila ya kukamilisha njama zake dhidi ya Iran

    Mousavi: Pendekezo la mazungumzo la Marekani ni hila ya kukamilisha njama zake dhidi ya Iran

    Jul 20, 2019 04:56

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, pendekezo la Marekani la kutaka kufanya mazungumzo na Iran ni hila tu ya kujaribu kukamilisha njama za Washington dhidi ya Tehran yaani kuliwekea taifa la Iran mashinikizo makubwa kupindukia.

  • Zarif: Marekani haitafika popote kwa kupenda makuu

    Zarif: Marekani haitafika popote kwa kupenda makuu

    Jul 20, 2019 03:05

    Muhammad Javad Zarif, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Marekani haitafika popote kwa kupenda makuu na pia kutokana na tabia yake ya kuendelea kuiwekea mashinikizo Tehran.

  • Jumamosi, 20 Julai, 2019

    Jumamosi, 20 Julai, 2019

    Jul 19, 2019 21:52

    Leo ni Jumamosi tarehe 17 Mfunguo Pili, Dhul-Qaadah 1440 Hijria mwafaka na tarehe 20 Julai 2019.

  • IRGC: Hivi karibuni tutaonyesha picha za meli ya Marekani zilizochukuliwa na ndege zetu ili kufichua uongo wa Trump

    IRGC: Hivi karibuni tutaonyesha picha za meli ya Marekani zilizochukuliwa na ndege zetu ili kufichua uongo wa Trump

    Jul 19, 2019 10:10

    Ofisi Kuu ya Mahusiano ya Umma ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) imetoa radiamali kufuatia madai ya Rais Donald Trump wa Marekani aliyesema kuwa meli ya kivita ya nchi hiyo imetungua ndege isiyo na rubani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Marekani yaiwekea vikwazo harakati ya Hashd al Shaabi ya Iraq

    Marekani yaiwekea vikwazo harakati ya Hashd al Shaabi ya Iraq

    Jul 19, 2019 01:54

    Naibu Rais wa Marekani amesema kuwa nchi hiyo imeamua kuwawekea vikwazo makamanda wanne waandamizi wa harakati ya wananchi ya Hashd al Shaabi ya Iraq.

  • Hatua ya Marekani ya kuvunja rasmi mkataba wake na Uturuki

    Hatua ya Marekani ya kuvunja rasmi mkataba wake na Uturuki

    Jul 19, 2019 01:50

    Hatua ya Uturuki ya kununua mfumo wa ulinzi wa anga wa S-400 kutoka kwa Russia imezusha mgogoro mkubwa katika uhusiano wake na Marekani hasa kwa kuzingatia kuwa kabla ya hapo pia Ankara na Washington zilikuwa tayari zina mzozo baina yao.

  • Hamas yataka kususiwa sarafu dola ya Marekani

    Hamas yataka kususiwa sarafu dola ya Marekani

    Jul 18, 2019 22:03

    Musa Abu Marzouq mjumbe wa ngazi ya juu wa Idara ya Siasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ametoa wito wa kususiwa sarafu ya dola ya Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS