Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Uturuki: Uamuzi wa Marekani unakinzana na moyo wa umoja na ushirikiano

    Uturuki: Uamuzi wa Marekani unakinzana na moyo wa umoja na ushirikiano

    Jul 18, 2019 08:44

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki ametoa radiamali kuhusiana na uamuzi wa Marekani wa kuiondoa serikali ya Ankara kwenye mpango wa kununua ndege za kivita za F 35 na kusema kuwa, uamuzi huo wa Washington unakinzana na moyo wa umoja na ushirikiano baina yao.

  • Bunge la Marekani lazuia mauzo ya silaha kwa Saudia, Trump kutumia veto

    Bunge la Marekani lazuia mauzo ya silaha kwa Saudia, Trump kutumia veto

    Jul 18, 2019 06:55

    Bunge la Wawakilishi la Marekani limepiga kura kuunga mkono maazimio ya kupinga mauzo ya silaha zenye thamani ya mabilioni ya dola kwa Saudi Arabia.

  • Ugaidi wa kiuchumi wa Marekani; Iran haitasalimu amri

    Ugaidi wa kiuchumi wa Marekani; Iran haitasalimu amri

    Jul 18, 2019 03:01

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema, sera za vikwazo za serikali ya Marekani dhidi ya wananchi wa Iran ni ugaidi; na akasisitiza kwamba: Iran haitafanya mazungumzo na magaidi.

  • Dakta Javad Zarif: Iran haitafanya mazungumzo na magaidi

    Dakta Javad Zarif: Iran haitafanya mazungumzo na magaidi

    Jul 18, 2019 02:48

    Dakta Muhammad Javad Zarif, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, sera za Marekani za kuliwekea vikwazo taifa la Iran ni ugaidi na kwamba, Iran haitafanya mazungumzo na magaidi.

  • Njama za Imarati na Marekani za kuibambikizia kesi Ikhwanul Muslimin zafichuliwa

    Njama za Imarati na Marekani za kuibambikizia kesi Ikhwanul Muslimin zafichuliwa

    Jul 17, 2019 08:27

    Naibu Mkuu wa harakati ya Ikhwanul Muslimin ya Misri amefichua kile kilichojadiliwa katika mazungumzo yake na maafisa kadhaa wa nchi za nje katika jela muda mfupi baada ya mapinduzi ya kijeshi ya mwezi Julai 2013 nchini Misri.

  • Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa lalaani vikwazo vya Marekani dhidi ya nchi mbalimbali

    Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa lalaani vikwazo vya Marekani dhidi ya nchi mbalimbali

    Jul 16, 2019 03:37

    Marekani imekuwa ikitumia fimbo vya vikwazo dhidi ya nchi mbalimbali duniani kwa ajili ya kufikia malengo yake ya kijuba na kimabavu.

  • UN yakosoa vizingiti vya utawala wa Trump dhidi ya Zarif

    UN yakosoa vizingiti vya utawala wa Trump dhidi ya Zarif

    Jul 16, 2019 03:19

    Umoja wa Mataifa umekosoa vikali hatua ya utawala wa Rais Donald Trump wa Marekani ya kumwekea vizingiti Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mohammad Javad Zarif.

  • Dunia yamlaani Trump kwa kuwatukana wabunge wanawake wa Marekani

    Dunia yamlaani Trump kwa kuwatukana wabunge wanawake wa Marekani

    Jul 16, 2019 02:54

    Viongozi na wanasiasa kote duniani wameendelea kumlaani Rais Donald Trump wa Marekani kwa kuwadhalilisha na kuwatukana matusi ya kibaguzi wabunge wanawake wa chama cha Democrat katika Kongresi ya Marekani.

  • Wabunge wa Iraq: Ubalozi wa Marekani mjini Baghdad ni kituo cha Mossad na Daesh

    Wabunge wa Iraq: Ubalozi wa Marekani mjini Baghdad ni kituo cha Mossad na Daesh

    Jul 15, 2019 07:21

    Mbunge mwenye ushawishi mkubwa wa Iraq amefichua kwamba, ubalozi wa Marekani mjini Baghdad unajihusisha na harakati zinazotia wasiwasi na kwamba maajenti wa shirika la ujasusi la Israel, Mossad, na kundi la kigaidi la Daesh wamekuwa wakionekana wakiingia na kutoka katika jengo la ubalozi huo.

  • Rouhani: Bodi ya IAEA imepuuza njama za Marekani dhidi ya Iran

    Rouhani: Bodi ya IAEA imepuuza njama za Marekani dhidi ya Iran

    Jul 14, 2019 03:05

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria hatua ya kuendelea kutengwa Marekani katika uga wa kimataifa na kusema kuwa, mbali na nchi moja au mbili, nchi zote wanachama wa Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia (IAEA) katika kikao chao cha hivi karibuni zilipuuza njama za Marekani dhidi ya Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS