-
Zarif: Iran haitasitisha mpango wake wa kurusha roketi anga za mbali, licha ya makelele ya Marekani
Jan 09, 2019 23:19Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Tehran itaendelea na mpango wake wa kurusha roketi katika anga za mbali licha ya onyo, vikwazo na pingamizi la Marekani.
-
Kiongozi Muadhamu: Taifa la Iran litapata ushindi wa kihistoria usiowahi kushuhudiwa dhidi ya vikwazo vya Marekani
Jan 09, 2019 13:34Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: Marekani inasema kwa furaha kwamba vikwazo vya sasa dhidi ya taifa la Iran havijawahi kushuhudiwa katika historia; lakini taifa la Iran litapata ushindi dhidi yake katika suala hilo ambao pia haujawahi kushuhudiwa katika historia.
-
Mwaka 2019 na kujiondoka Marekani na Israel katika shirika la UNESCO
Jan 09, 2019 05:18Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel tarehe Mosi mwezi huu wa Januari 2019 zilijiondoa rasmi katika Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) zikilalamikia kile kilichotajwa ni mwelekeo wa jumuiya hiyo dhidi ya Israel.
-
Mbunge wa Marekani alalamikia uungaji mkono wa Ikulu ya White House kwa Saudi Arabia
Jan 08, 2019 21:31Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi nchini Marekani, Ro Khanna amesema kuwa uungaji mkono wa ikulu ya White House kwa muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia katika vita dhidi ya Yemen, ni kitendo kisicho cha kibinaadamu.
-
Marais wa zamani wa Marekani hawaungi mkono shinikizo la Trump la kujengwa ukuta
Jan 08, 2019 21:30Marais wanne wa zamani wa Marekani wamekanusha madai ya Rais Donald Trump kwamba wanaunga mkono azma ya kujengwa ukuta katika mpaka wa nchi hiyo na Mexico.
-
Mwakilishi Mwislamu nchini Marekani apinga hoja yenye kuwaunga mkono Wazayuni
Jan 08, 2019 11:01Mwakilishi Mwislamu wa Baraza la Wawakilishi nchini Marekani, amepinga hoja iliyowasilishwa na Seneta mmoja wa nchi hiyo ya kuwaunga mkono Wazayuni.
-
Admeri Shamkhani: Hakuna nchi yenye uthubutu wa kuishambulia kijeshi Iran
Jan 07, 2019 23:03Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezungumzia uwezo wa kiulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu na kusema kuwa, taifa hili lina nguvu na uwezo kiasi kwamba, hakuna nchi inayoweza kuthubutu kuishambulia kijeshi.
-
Malalamiko ya Syria kutokana na kuendelea jinai za muungano vamizi wa Marekani
Jan 07, 2019 04:50Kwa mara nyingine Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imewatumia barua mbili tofauti Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Rais wa Baraza la Usalama la umoja huo, ikilalamikia jinai zinazofanywa na muungano vamizi unaojiita eti dhidi ya Daesh (ISIS) unaoongozwa na Marekani huko katika jimbo la Deir ez-Zor nchini humo.
-
Magaidi Syria wakutwa na silaha za Marekani na utawala haramu wa Israel
Jan 07, 2019 00:56Wanajeshi wa serikali ya Syria wamenasa silaha zilizotegenezwa Marekani na katika utawala haramu wa Israel ambazo zilikuwa zinatumiwa na magaidi wakufurishaji katika mkoa wa Dara'a kusini maghairbi mwa nchi hiyo.
-
Trump atishia kutangaza hali ya hatari kushinikiza ujenzi wa ukuta
Jan 06, 2019 03:47Huku shughuli za serikali zikiendelea kufungwa kwa wiki ya tatu sasa nchini Marekani, Rais Donald Trump ametishia kuwa ikilazimu atatangaza hali ya hatari ili kushinikiza ujenzi wa ukuta katika mpaka wa nchi hiyo na Mexico.