-
Mashambulizi ya anga ya Saudia yaua wavuvi 18 wa Yemen
Sep 19, 2018 06:23Wavuvi wasiopungua 18 wameuawa katika mashambulizi ya anga ya ndege za kivita za Saudi Arabia dhidi ya boti za wavuvi hao katika mji wa Pwani wa Khokha, magharibi mwa mkoa wa Hudaydah.
-
Israel yawadondoshea mabomu Wapalestina wa Gaza
Jul 14, 2018 07:54Kwa mara nyingine tena ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel zimewadondoshea mabomu Wapalestina kusini mwa Ukanda wa Gaza.
-
Baada ya Erdoğan kutishia kuishambulia Iraq, jeshi la Uturuki lashambulia ngome za PKK
Mar 22, 2018 04:18Jeshi la Uturuki limefanya mashambuli ya anga katika maeneo yanayodaiwa na Ankara kuwa ni maficho na ngome za wapiganaji wa Kikurdi wa PKK kaskazini mwa nchi jirani ya Iraq.
-
Watu wasiopungua 15 wauawa katika mashambulizi ya anga ya Saudi huko Sana'a na katika miji mingine
Dec 25, 2017 14:47Televisheni ya al Masirah imetangaza kuwa watu wasiopungua 15 wameuawa katika mashambulizi mapya ya anga ya Saudi Arabia katika maeneo mbalimbali huko Yemen, ukiwemo mji mkuu Sana'a.
-
Zaidi ya 50 wauawa katika hujuma za anga za Saudia nchini Yemen
Dec 14, 2017 03:12Watu zaidi ya 50 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa katika mashambulizi yaliyofanywa na ndege za kivita za Saudi Arabia katika mji mkuu, Sana'a na miji mingineya Yemen.
-
Ndege za kivita za Saudia zashambulia uwanja wa ndege wa Sana'a, Yemen
Nov 15, 2017 07:15Ndege za kijeshi za Saudi Arabia zimetekeleza mashambulizi ya anga dhidi ya uwanja wa ndege ulioko katika mji mkuu wa Yemen, Sana'a, na kufanya hali ya mambo katika nchi hiyo kuwa mbaya zaidi.
-
Marekani yaendelea kuua raia wasio na hatia nchini Afghanistan katika hujuma ya anga
Nov 09, 2017 07:53Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Afghanistan UNAMA umesema mashambulizi ya anga ya hivi karibuni yaliyotekelezwa na ndege ya kivita ya Marekani yameua raia wasiopungua 10.
-
HRW: Mashambulizi ya anga ya Saudia dhidi ya Yemen ni jinai za kivita
Sep 12, 2017 14:57Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch sambamba na kulaani mashambulizi ya anga yanayofanywa na Saudi Arabia na waitifaki wake dhidi ya Yemen kinyume cha sheria, limetaja hujuma hizo kuwa ni jinai za kivita.
-
Marekani yaendeleza ukatili wake, yaua raia 30 Afghanistan
Aug 31, 2017 02:52Makumi ya raia wameuawa katika shambulizi la anga lililofanywa na ndege ya kivita ya Marekani katika mkoa wa Logar, mashariki mwa Afghanistan.
-
Wayemen waandamana kulaani ukatili wa Saudia dhidi yao
Aug 27, 2017 07:43Mamia ya maelfu ya wananchi wa Yemen kwa mara nyingine tena wamefanya maandamano katika mji mkuu Sana'a kulaani ukatili na mashambulizi ya kila uchao ya Saudi Arabia dhidi ya nchi hiyo maskini.