Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mashambulizi ya anga

  • Mashambulizi ya anga ya Saudia yaua wavuvi 18 wa Yemen

    Mashambulizi ya anga ya Saudia yaua wavuvi 18 wa Yemen

    Sep 19, 2018 06:23

    Wavuvi wasiopungua 18 wameuawa katika mashambulizi ya anga ya ndege za kivita za Saudi Arabia dhidi ya boti za wavuvi hao katika mji wa Pwani wa Khokha, magharibi mwa mkoa wa Hudaydah.

  • Israel yawadondoshea mabomu Wapalestina wa Gaza

    Israel yawadondoshea mabomu Wapalestina wa Gaza

    Jul 14, 2018 07:54

    Kwa mara nyingine tena ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel zimewadondoshea mabomu Wapalestina kusini mwa Ukanda wa Gaza.

  • Baada ya Erdoğan kutishia kuishambulia Iraq, jeshi la Uturuki lashambulia ngome za PKK

    Baada ya Erdoğan kutishia kuishambulia Iraq, jeshi la Uturuki lashambulia ngome za PKK

    Mar 22, 2018 04:18

    Jeshi la Uturuki limefanya mashambuli ya anga katika maeneo yanayodaiwa na Ankara kuwa ni maficho na ngome za wapiganaji wa Kikurdi wa PKK kaskazini mwa nchi jirani ya Iraq.

  • Watu wasiopungua 15 wauawa katika mashambulizi ya anga ya Saudi huko Sana'a na katika miji mingine

    Watu wasiopungua 15 wauawa katika mashambulizi ya anga ya Saudi huko Sana'a na katika miji mingine

    Dec 25, 2017 14:47

    Televisheni ya al Masirah imetangaza kuwa watu wasiopungua 15 wameuawa katika mashambulizi mapya ya anga ya Saudi Arabia katika maeneo mbalimbali huko Yemen, ukiwemo mji mkuu Sana'a.

  • Zaidi ya 50 wauawa katika hujuma za anga za Saudia nchini Yemen

    Zaidi ya 50 wauawa katika hujuma za anga za Saudia nchini Yemen

    Dec 14, 2017 03:12

    Watu zaidi ya 50 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa katika mashambulizi yaliyofanywa na ndege za kivita za Saudi Arabia katika mji mkuu, Sana'a na miji mingineya Yemen.

  • Ndege za kivita za Saudia zashambulia uwanja wa ndege wa Sana'a, Yemen

    Ndege za kivita za Saudia zashambulia uwanja wa ndege wa Sana'a, Yemen

    Nov 15, 2017 07:15

    Ndege za kijeshi za Saudi Arabia zimetekeleza mashambulizi ya anga dhidi ya uwanja wa ndege ulioko katika mji mkuu wa Yemen, Sana'a, na kufanya hali ya mambo katika nchi hiyo kuwa mbaya zaidi.

  • Marekani yaendelea kuua raia wasio na hatia nchini Afghanistan katika hujuma ya anga

    Marekani yaendelea kuua raia wasio na hatia nchini Afghanistan katika hujuma ya anga

    Nov 09, 2017 07:53

    Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Afghanistan UNAMA umesema mashambulizi ya anga ya hivi karibuni yaliyotekelezwa na ndege ya kivita ya Marekani yameua raia wasiopungua 10.

  • HRW: Mashambulizi ya anga ya Saudia dhidi ya Yemen ni jinai za kivita

    HRW: Mashambulizi ya anga ya Saudia dhidi ya Yemen ni jinai za kivita

    Sep 12, 2017 14:57

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch sambamba na kulaani mashambulizi ya anga yanayofanywa na Saudi Arabia na waitifaki wake dhidi ya Yemen kinyume cha sheria, limetaja hujuma hizo kuwa ni jinai za kivita.

  • Marekani yaendeleza ukatili wake, yaua raia 30 Afghanistan

    Marekani yaendeleza ukatili wake, yaua raia 30 Afghanistan

    Aug 31, 2017 02:52

    Makumi ya raia wameuawa katika shambulizi la anga lililofanywa na ndege ya kivita ya Marekani katika mkoa wa Logar, mashariki mwa Afghanistan.

  • Wayemen waandamana kulaani ukatili wa Saudia dhidi yao

    Wayemen waandamana kulaani ukatili wa Saudia dhidi yao

    Aug 27, 2017 07:43

    Mamia ya maelfu ya wananchi wa Yemen kwa mara nyingine tena wamefanya maandamano katika mji mkuu Sana'a kulaani ukatili na mashambulizi ya kila uchao ya Saudi Arabia dhidi ya nchi hiyo maskini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS