Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mashambulizi ya anga

  • UN: Hujuma za Saudi zimesababisha nusu ya vifo vya watoto Yemen

    UN: Hujuma za Saudi zimesababisha nusu ya vifo vya watoto Yemen

    Aug 18, 2017 08:08

    Umoja wa Mataifa umesema asilimia 51 ya vifo na majeraha ya watoto wadogo nchini Yemen mwaka uliopita, yamesababishwa na mashambulio ya anga yanayofanywa na ndege za muungano wa kijeshi unaoongozwa na utawala vamizi wa Saudi Arabia dhidi ya nchi hiyo maskini jirani yake.

  • Marekani yaendeleza ukatili, yaua raia 38 katika hujuma za anga Syria

    Marekani yaendeleza ukatili, yaua raia 38 katika hujuma za anga Syria

    Aug 17, 2017 06:48

    Ndege za kivita za muungano wa kijeshi unaoongozwa na Marekani zimeendeleza hujuma zake za kikatili, na mara hii zimeua raia 38 katika mji wa Raqqah kaskazini mwa Syria, ndani ya masaa 48 yaliyopita.

  • Ndege za Israel zashambulia Wapalestina wa Ukanda wa Gaza

    Ndege za Israel zashambulia Wapalestina wa Ukanda wa Gaza

    Aug 09, 2017 07:20

    Ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel zimeshambulia makazi ya Wapalestina wa Gaza usiku wa kuamkia leo na kujeruhi watu kadhaa.

  • Ndege za kivita za Marekani zaendelea kuua raia Syria

    Ndege za kivita za Marekani zaendelea kuua raia Syria

    Jul 31, 2017 04:27

    Raia sita wameuawa na wengine zaidi ya kumi kujeruhiwa mashariki mwa Syria, katika mashambulizi ya ndege za kivita za muungano eti wa kupambana na Daesh (ISIS) unaoongozwa na Marekani.

  • Marekani yakiri kuua mamia ya raia katika hujuma zake za anga Iraq, Syria

    Marekani yakiri kuua mamia ya raia katika hujuma zake za anga Iraq, Syria

    Jun 03, 2017 07:57

    Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) imekiri kuwa raia zaidi ya 484 wa Iraq na Syria wameuawa katika mashambulizi yake ya anga tokea katikati ya mwaka 2014 hadi sasa.

  • Mashambulizi ya anga ya Marekani yaua raia 117 mashariki mwa Syria

    Mashambulizi ya anga ya Marekani yaua raia 117 mashariki mwa Syria

    May 26, 2017 14:17

    Mashambulizi ya anga ya Marekani na waitifaki wake yameuawa raia wasiopungua 117 akthari yao wakiwa wawanake na watoto wadogo katika mkoa wa Dayr al-Zawr, mashariki mwa Syria.

  • Marekani yakiri kuhusika na shambulizi dhidi ya msikiti nchini Syria

    Marekani yakiri kuhusika na shambulizi dhidi ya msikiti nchini Syria

    May 05, 2017 13:37

    Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) hatimaye imekiri kuwa ndege za kijeshi za US zilitekeleza shambulizi a anga dhidi ya msikiti mmoja nchini Syria ambapo makumi ya watu waliuawa.

  • Wazayuni washambulia kwa makombora uwanja wa ndege Damascus, Syria

    Wazayuni washambulia kwa makombora uwanja wa ndege Damascus, Syria

    Apr 27, 2017 08:18

    Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel umefanya shambulizi la anga dhidi ya uwanja wa ndege wa Damascus nchini Syria, wiki tatu baada ya Marekani kutekeleza hujuma kama hiyo ya kichokozi.

  • HRW yalaani shambulizi la Marekani dhidi ya msikiti nchini Syria

    HRW yalaani shambulizi la Marekani dhidi ya msikiti nchini Syria

    Apr 18, 2017 15:33

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limelaani shambulizi la anga la Marekani dhidi ya msikiti mmoja nchini Syria mwezi uliopita, ambapo makumi ya watu waliuawa.

  • Jeshi la Libya lashambulia maeneo ya al Qaida

    Jeshi la Libya lashambulia maeneo ya al Qaida

    Mar 13, 2017 07:07

    Jeshi la Libya limefanya mashambulizi ya anga dhidi ya maeneo ya kundi la kigaidi la al Qaida katika eneo lenye mafuta mengi linalojulikana kwa jina la "Hilali ya Mafuta" kaskazini mwa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS