-
UN: Hujuma za Saudi zimesababisha nusu ya vifo vya watoto Yemen
Aug 18, 2017 08:08Umoja wa Mataifa umesema asilimia 51 ya vifo na majeraha ya watoto wadogo nchini Yemen mwaka uliopita, yamesababishwa na mashambulio ya anga yanayofanywa na ndege za muungano wa kijeshi unaoongozwa na utawala vamizi wa Saudi Arabia dhidi ya nchi hiyo maskini jirani yake.
-
Marekani yaendeleza ukatili, yaua raia 38 katika hujuma za anga Syria
Aug 17, 2017 06:48Ndege za kivita za muungano wa kijeshi unaoongozwa na Marekani zimeendeleza hujuma zake za kikatili, na mara hii zimeua raia 38 katika mji wa Raqqah kaskazini mwa Syria, ndani ya masaa 48 yaliyopita.
-
Ndege za Israel zashambulia Wapalestina wa Ukanda wa Gaza
Aug 09, 2017 07:20Ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel zimeshambulia makazi ya Wapalestina wa Gaza usiku wa kuamkia leo na kujeruhi watu kadhaa.
-
Ndege za kivita za Marekani zaendelea kuua raia Syria
Jul 31, 2017 04:27Raia sita wameuawa na wengine zaidi ya kumi kujeruhiwa mashariki mwa Syria, katika mashambulizi ya ndege za kivita za muungano eti wa kupambana na Daesh (ISIS) unaoongozwa na Marekani.
-
Marekani yakiri kuua mamia ya raia katika hujuma zake za anga Iraq, Syria
Jun 03, 2017 07:57Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) imekiri kuwa raia zaidi ya 484 wa Iraq na Syria wameuawa katika mashambulizi yake ya anga tokea katikati ya mwaka 2014 hadi sasa.
-
Mashambulizi ya anga ya Marekani yaua raia 117 mashariki mwa Syria
May 26, 2017 14:17Mashambulizi ya anga ya Marekani na waitifaki wake yameuawa raia wasiopungua 117 akthari yao wakiwa wawanake na watoto wadogo katika mkoa wa Dayr al-Zawr, mashariki mwa Syria.
-
Marekani yakiri kuhusika na shambulizi dhidi ya msikiti nchini Syria
May 05, 2017 13:37Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) hatimaye imekiri kuwa ndege za kijeshi za US zilitekeleza shambulizi a anga dhidi ya msikiti mmoja nchini Syria ambapo makumi ya watu waliuawa.
-
Wazayuni washambulia kwa makombora uwanja wa ndege Damascus, Syria
Apr 27, 2017 08:18Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel umefanya shambulizi la anga dhidi ya uwanja wa ndege wa Damascus nchini Syria, wiki tatu baada ya Marekani kutekeleza hujuma kama hiyo ya kichokozi.
-
HRW yalaani shambulizi la Marekani dhidi ya msikiti nchini Syria
Apr 18, 2017 15:33Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limelaani shambulizi la anga la Marekani dhidi ya msikiti mmoja nchini Syria mwezi uliopita, ambapo makumi ya watu waliuawa.
-
Jeshi la Libya lashambulia maeneo ya al Qaida
Mar 13, 2017 07:07Jeshi la Libya limefanya mashambulizi ya anga dhidi ya maeneo ya kundi la kigaidi la al Qaida katika eneo lenye mafuta mengi linalojulikana kwa jina la "Hilali ya Mafuta" kaskazini mwa nchi hiyo.