Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mashambulizi ya anga

  • Zaidi ya 50 wauawa katika hujuma za anga za Saudia nchini Yemen

    Zaidi ya 50 wauawa katika hujuma za anga za Saudia nchini Yemen

    Dec 13, 2017 23:42

    Watu zaidi ya 50 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa katika mashambulizi yaliyofanywa na ndege za kivita za Saudi Arabia katika mji mkuu, Sana'a na miji mingineya Yemen.

  • Ndege za kivita za Saudia zashambulia uwanja wa ndege wa Sana'a, Yemen

    Ndege za kivita za Saudia zashambulia uwanja wa ndege wa Sana'a, Yemen

    Nov 15, 2017 03:45

    Ndege za kijeshi za Saudi Arabia zimetekeleza mashambulizi ya anga dhidi ya uwanja wa ndege ulioko katika mji mkuu wa Yemen, Sana'a, na kufanya hali ya mambo katika nchi hiyo kuwa mbaya zaidi.

  • Marekani yaendelea kuua raia wasio na hatia nchini Afghanistan katika hujuma ya anga

    Marekani yaendelea kuua raia wasio na hatia nchini Afghanistan katika hujuma ya anga

    Nov 09, 2017 04:23

    Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Afghanistan UNAMA umesema mashambulizi ya anga ya hivi karibuni yaliyotekelezwa na ndege ya kivita ya Marekani yameua raia wasiopungua 10.

  • HRW: Mashambulizi ya anga ya Saudia dhidi ya Yemen ni jinai za kivita

    HRW: Mashambulizi ya anga ya Saudia dhidi ya Yemen ni jinai za kivita

    Sep 12, 2017 10:27

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch sambamba na kulaani mashambulizi ya anga yanayofanywa na Saudi Arabia na waitifaki wake dhidi ya Yemen kinyume cha sheria, limetaja hujuma hizo kuwa ni jinai za kivita.

  • Marekani yaendeleza ukatili wake, yaua raia 30 Afghanistan

    Marekani yaendeleza ukatili wake, yaua raia 30 Afghanistan

    Aug 30, 2017 22:22

    Makumi ya raia wameuawa katika shambulizi la anga lililofanywa na ndege ya kivita ya Marekani katika mkoa wa Logar, mashariki mwa Afghanistan.

  • Wayemen waandamana kulaani ukatili wa Saudia dhidi yao

    Wayemen waandamana kulaani ukatili wa Saudia dhidi yao

    Aug 27, 2017 03:13

    Mamia ya maelfu ya wananchi wa Yemen kwa mara nyingine tena wamefanya maandamano katika mji mkuu Sana'a kulaani ukatili na mashambulizi ya kila uchao ya Saudi Arabia dhidi ya nchi hiyo maskini.

  • UN: Hujuma za Saudi zimesababisha nusu ya vifo vya watoto Yemen

    UN: Hujuma za Saudi zimesababisha nusu ya vifo vya watoto Yemen

    Aug 18, 2017 03:38

    Umoja wa Mataifa umesema asilimia 51 ya vifo na majeraha ya watoto wadogo nchini Yemen mwaka uliopita, yamesababishwa na mashambulio ya anga yanayofanywa na ndege za muungano wa kijeshi unaoongozwa na utawala vamizi wa Saudi Arabia dhidi ya nchi hiyo maskini jirani yake.

  • Marekani yaendeleza ukatili, yaua raia 38 katika hujuma za anga Syria

    Marekani yaendeleza ukatili, yaua raia 38 katika hujuma za anga Syria

    Aug 17, 2017 02:18

    Ndege za kivita za muungano wa kijeshi unaoongozwa na Marekani zimeendeleza hujuma zake za kikatili, na mara hii zimeua raia 38 katika mji wa Raqqah kaskazini mwa Syria, ndani ya masaa 48 yaliyopita.

  • Ndege za Israel zashambulia Wapalestina wa Ukanda wa Gaza

    Ndege za Israel zashambulia Wapalestina wa Ukanda wa Gaza

    Aug 09, 2017 02:50

    Ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel zimeshambulia makazi ya Wapalestina wa Gaza usiku wa kuamkia leo na kujeruhi watu kadhaa.

  • Ndege za kivita za Marekani zaendelea kuua raia Syria

    Ndege za kivita za Marekani zaendelea kuua raia Syria

    Jul 30, 2017 23:57

    Raia sita wameuawa na wengine zaidi ya kumi kujeruhiwa mashariki mwa Syria, katika mashambulizi ya ndege za kivita za muungano eti wa kupambana na Daesh (ISIS) unaoongozwa na Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS