Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mashambulizi ya anga

  • Hujuma za Marekani nchini Yemen zaua watu zaidi ya 50

    Hujuma za Marekani nchini Yemen zaua watu zaidi ya 50

    Jan 29, 2017 14:13

    Makumi ya watu wameuawa katika wimbi jipya la hujuma za ardhini na angani za makomandoo wa Marekani katika mkoa wa Bayda nchini Yemen.

  • Marekani yakiri kuuliwa raia katika mashambulizi huko Syria

    Marekani yakiri kuuliwa raia katika mashambulizi huko Syria

    Jan 03, 2017 07:16

    jeshi la Marekani limekiri kuwa makumi ya raia wameuawa katika mashambulizi ya anga ya ndege za kivita za nchi hiyo huko Syria.

  • Ndege za kivita za Uturuki zauwa raia kaskazini mwa Syria

    Ndege za kivita za Uturuki zauwa raia kaskazini mwa Syria

    Dec 23, 2016 06:48

    Makumi ya raia wameuliwa katika mashambulizi ya ndege za kivita za Uturuki kaskazini mwa Syria.

  • Makumi ya mamluki wa Saudia waangamizwa katika shambulizi Yemen

    Makumi ya mamluki wa Saudia waangamizwa katika shambulizi Yemen

    Dec 18, 2016 15:09

    Makumi ya mamluki wa Saudi Arabia wanaomuunga mkono rais mtoro wa Yemen Abdu Rab Mansur Hadi wameuawa katika shambulizi la bomu lililofanywa na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh, katika mji bandari wa Aden, kusini mwa nchi.

  • Jeshi la Syria laendeleza operesheni za kijeshi dhidi ya magaidi

    Jeshi la Syria laendeleza operesheni za kijeshi dhidi ya magaidi

    Dec 04, 2016 15:02

    Kikosi cha anga cha Syria kimefanya mashambulio makubwa dhidi ya ngome za kundi la kigaidi linalojulikana kama Jaish al-Fat'h katika maeneo ya kaskazini mwa mji wa Hama ulioko magharibi mwa nchi hiyo.

  • Hujuma ya ndege za Marekani yaua makumi ya watu Afghanistan

    Hujuma ya ndege za Marekani yaua makumi ya watu Afghanistan

    Nov 03, 2016 16:22

    Makumi ya watu wameuawa katika shambulio la anga lililofanywa na ndege za Marekani, kaskazini mwa Afghanistan.

  • Wanajeshi wanane wa Nigeria wauawa na wanamgambo wa Boko Haram

    Wanajeshi wanane wa Nigeria wauawa na wanamgambo wa Boko Haram

    Sep 26, 2016 14:20

    Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa, wanajeshi wake wanane wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa kufuatia shambulio la wanamgambo wa Boko Haram kaskazini mashariki mwa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • Mashambulizi ya anga ya Marekani kaskazini mwa Libya yamegonga mwamba

    Mashambulizi ya anga ya Marekani kaskazini mwa Libya yamegonga mwamba

    Aug 17, 2016 08:01

    Mchambuzi mmoja wa masuala ya Libya ameeleza kuwa mashambulizi ya anga yanayofanywa na Marekani katika mji wa Sirte kaskazini mwa Libya kwa kisingizio cha kupambana na kundi la kigaidi la Daesh hayajazaa matunda.

  • Mufti Mkuu wa Saudia ataka watu wafadhili mauaji Yemen

    Mufti Mkuu wa Saudia ataka watu wafadhili mauaji Yemen

    Aug 05, 2016 04:25

    Mufti Mkuu wa Saudi Arabia amewataka waumini na wafanyabiashara wa Kiislamu nchini humo kutoa mchango wa fedha kwa ajili ya kufadhili mashambulizi ya anga ya utawala wa Riyadh nchini Yemen.

  • Ndege za Saudia zaendelea kuua watoto Yemen

    Ndege za Saudia zaendelea kuua watoto Yemen

    Aug 02, 2016 07:22

    Watoto watatu wa familia moja wameuawa katika mashambulizi yaliyofanywa na ndege za kivita za Saudi Arabia katika maeneo ya raia kusini mwa Yemen.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS