-
Hujuma za Marekani nchini Yemen zaua watu zaidi ya 50
Jan 29, 2017 10:43Makumi ya watu wameuawa katika wimbi jipya la hujuma za ardhini na angani za makomandoo wa Marekani katika mkoa wa Bayda nchini Yemen.
-
Marekani yakiri kuuliwa raia katika mashambulizi huko Syria
Jan 03, 2017 03:46jeshi la Marekani limekiri kuwa makumi ya raia wameuawa katika mashambulizi ya anga ya ndege za kivita za nchi hiyo huko Syria.
-
Ndege za kivita za Uturuki zauwa raia kaskazini mwa Syria
Dec 23, 2016 03:18Makumi ya raia wameuliwa katika mashambulizi ya ndege za kivita za Uturuki kaskazini mwa Syria.
-
Makumi ya mamluki wa Saudia waangamizwa katika shambulizi Yemen
Dec 18, 2016 11:39Makumi ya mamluki wa Saudi Arabia wanaomuunga mkono rais mtoro wa Yemen Abdu Rab Mansur Hadi wameuawa katika shambulizi la bomu lililofanywa na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh, katika mji bandari wa Aden, kusini mwa nchi.
-
Jeshi la Syria laendeleza operesheni za kijeshi dhidi ya magaidi
Dec 04, 2016 11:32Kikosi cha anga cha Syria kimefanya mashambulio makubwa dhidi ya ngome za kundi la kigaidi linalojulikana kama Jaish al-Fat'h katika maeneo ya kaskazini mwa mji wa Hama ulioko magharibi mwa nchi hiyo.
-
Hujuma ya ndege za Marekani yaua makumi ya watu Afghanistan
Nov 03, 2016 12:52Makumi ya watu wameuawa katika shambulio la anga lililofanywa na ndege za Marekani, kaskazini mwa Afghanistan.
-
Wanajeshi wanane wa Nigeria wauawa na wanamgambo wa Boko Haram
Sep 26, 2016 10:50Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa, wanajeshi wake wanane wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa kufuatia shambulio la wanamgambo wa Boko Haram kaskazini mashariki mwa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
-
Mashambulizi ya anga ya Marekani kaskazini mwa Libya yamegonga mwamba
Aug 17, 2016 03:31Mchambuzi mmoja wa masuala ya Libya ameeleza kuwa mashambulizi ya anga yanayofanywa na Marekani katika mji wa Sirte kaskazini mwa Libya kwa kisingizio cha kupambana na kundi la kigaidi la Daesh hayajazaa matunda.
-
Mufti Mkuu wa Saudia ataka watu wafadhili mauaji Yemen
Aug 04, 2016 23:55Mufti Mkuu wa Saudi Arabia amewataka waumini na wafanyabiashara wa Kiislamu nchini humo kutoa mchango wa fedha kwa ajili ya kufadhili mashambulizi ya anga ya utawala wa Riyadh nchini Yemen.
-
Ndege za Saudia zaendelea kuua watoto Yemen
Aug 02, 2016 02:52Watoto watatu wa familia moja wameuawa katika mashambulizi yaliyofanywa na ndege za kivita za Saudi Arabia katika maeneo ya raia kusini mwa Yemen.