Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mashambulizi ya anga

  • Jeshi la Syria laendeleza operesheni za kijeshi dhidi ya magaidi

    Jeshi la Syria laendeleza operesheni za kijeshi dhidi ya magaidi

    Dec 04, 2016 11:32

    Kikosi cha anga cha Syria kimefanya mashambulio makubwa dhidi ya ngome za kundi la kigaidi linalojulikana kama Jaish al-Fat'h katika maeneo ya kaskazini mwa mji wa Hama ulioko magharibi mwa nchi hiyo.

  • Hujuma ya ndege za Marekani yaua makumi ya watu Afghanistan

    Hujuma ya ndege za Marekani yaua makumi ya watu Afghanistan

    Nov 03, 2016 12:52

    Makumi ya watu wameuawa katika shambulio la anga lililofanywa na ndege za Marekani, kaskazini mwa Afghanistan.

  • Wanajeshi wanane wa Nigeria wauawa na wanamgambo wa Boko Haram

    Wanajeshi wanane wa Nigeria wauawa na wanamgambo wa Boko Haram

    Sep 26, 2016 10:50

    Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa, wanajeshi wake wanane wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa kufuatia shambulio la wanamgambo wa Boko Haram kaskazini mashariki mwa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • Mashambulizi ya anga ya Marekani kaskazini mwa Libya yamegonga mwamba

    Mashambulizi ya anga ya Marekani kaskazini mwa Libya yamegonga mwamba

    Aug 17, 2016 03:31

    Mchambuzi mmoja wa masuala ya Libya ameeleza kuwa mashambulizi ya anga yanayofanywa na Marekani katika mji wa Sirte kaskazini mwa Libya kwa kisingizio cha kupambana na kundi la kigaidi la Daesh hayajazaa matunda.

  • Mufti Mkuu wa Saudia ataka watu wafadhili mauaji Yemen

    Mufti Mkuu wa Saudia ataka watu wafadhili mauaji Yemen

    Aug 04, 2016 23:55

    Mufti Mkuu wa Saudi Arabia amewataka waumini na wafanyabiashara wa Kiislamu nchini humo kutoa mchango wa fedha kwa ajili ya kufadhili mashambulizi ya anga ya utawala wa Riyadh nchini Yemen.

  • Ndege za Saudia zaendelea kuua watoto Yemen

    Ndege za Saudia zaendelea kuua watoto Yemen

    Aug 02, 2016 02:52

    Watoto watatu wa familia moja wameuawa katika mashambulizi yaliyofanywa na ndege za kivita za Saudi Arabia katika maeneo ya raia kusini mwa Yemen.

  • Kukiri Marekani kuhusu kuuawa raia na ndege zake zisizo na rubani

    Kukiri Marekani kuhusu kuuawa raia na ndege zake zisizo na rubani

    Jul 02, 2016 03:42

    Hatimaye serikali ya Marekani imekiri wazi kwamba, zaidi ya raia 116 wameuawa wakati wa mashambulio ya ndege zake zisizo na rubani.

  • Mamia wauawa katika mashambulizi  nchini Libya

    Mamia wauawa katika mashambulizi nchini Libya

    Jun 03, 2016 09:43

    Wanajeshi wawili wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya wameuawa na wengine 12 kujeruhiwa katika shambulizi la kujitoa mhanga lililofanywa na wanamgambo wa kundi la ISIS (Daesh) karibu na mji wa Sirte hapo jana.

  • Kiongozi wa Taliban, Mullah Mansour auawa katika hujuma ya drone

    Kiongozi wa Taliban, Mullah Mansour auawa katika hujuma ya drone

    May 22, 2016 11:50

    Kiongozi wa kundi la kigaidi la Taliban, Mullah Akhtar Mohammad Mansour ameuawa katika shambulio la ndege isiyo na rubani ya Marekani katika mkoa wa Baluchistan, mpakani mwa Afghanistan na Pakistan.

  • Pentagon: Hujuma ya US dhidi ya hospitali Afghanistan sio jinai ya kivita

    Pentagon: Hujuma ya US dhidi ya hospitali Afghanistan sio jinai ya kivita

    Apr 30, 2016 03:14

    Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) imetetea mashambulizi ya anga yaliyofanywa na jeshi lake dhidi ya hospitali moja nchini Afghanistan mwishoni mwa mwaka jana 2015.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS