Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mauaji

  • Nukta muhimu katika mahojiano ya Sayyid Hassan Nasrallah na Televisheni ya Al Mayadeen

    Nukta muhimu katika mahojiano ya Sayyid Hassan Nasrallah na Televisheni ya Al Mayadeen

    Dec 28, 2020 23:29

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrallah Jumapili 27 Disemba alifanya mahojiano muhimu na Televisheni ya Al Mayadeen ya Lebanon. Katika mahojiano hayo aliwakumbuka na kuwawenzi Shahidi Luteni Jenerali Hajj Qassem Soleimani na Abu Mahdi al Muhandis.

  • Jalali: Iran ina haki ya kulipiza kisasi kiistratijia; mauaji ya kigaidi ya shahid Fakhrizadeh

    Jalali: Iran ina haki ya kulipiza kisasi kiistratijia; mauaji ya kigaidi ya shahid Fakhrizadeh

    Dec 08, 2020 03:56

    Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Russia amesema kuwa, Tehran ina haki ya kulipiza kisasi mauaji ya kigaidi aliyofanyiwa mtaalamu wake wa nyuklia na masuala ya ulinzi, shahid Mohsen Fakhrizadeh.

  • Mauaji ya kiuoga ya mwanasayansi wa Iran na wajibu wa taasisi za kimataifa

    Mauaji ya kiuoga ya mwanasayansi wa Iran na wajibu wa taasisi za kimataifa

    Nov 30, 2020 01:05

    Ikiwa ni katika kudumisha hatua zake za kijinai na kigaidi dhidi ya taifa la Iran, Ijumaa tarehe 27 Novemba utawala wa Kizayuni wa Israel ulitekeleza mauaji mengine ya kigaidi dhidi ya Mohsen Fakhrizadeh, mwanasayansi bora na mashuhuri wa Iran, katika mji wa Abesard, mkoani Tehran.

  • Ripota maalum wa UN: Mauaji ya mwanasayansi wa Iran ni ukiukaji wa Hati ya Umoja wa Mataifa

    Ripota maalum wa UN: Mauaji ya mwanasayansi wa Iran ni ukiukaji wa Hati ya Umoja wa Mataifa

    Nov 28, 2020 04:16

    Ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa ameyaelezea mauaji ya mwanasayansi wa Iran Shahidi Mohsen Fakhrizadeh kama "mauaji ya nje ya mipaka yaliyofanywa kwa lengo maalum" na akasisitiza kuwa, kumkosesha mtu haki ya kuishi katika kipindi cha amani ni ukiukaji wa Hati ya Umoja wa Mataifa.

  • Trump athibitisha kuhusika Mossad katika mauaji ya shahidi Fakhrizadeh

    Trump athibitisha kuhusika Mossad katika mauaji ya shahidi Fakhrizadeh

    Nov 28, 2020 04:16

    Hatua ya rais wa Marekani ya kuusambaza ujumbe ulioandikwa na mwandishi mmoja wa habari wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel imethibitisha kwa njia isiyo ya moja kwa moja kuhusika utawala huo katika mauaji ya mwanasayansi wa nyuklia wa Iran.

  • Raisi: Iran imeazimia kuwafuatilia walioamuru na waliotekeleza mauaji ya kigaidi ya Kamanda Soleimani

    Raisi: Iran imeazimia kuwafuatilia walioamuru na waliotekeleza mauaji ya kigaidi ya Kamanda Soleimani

    Nov 09, 2020 08:42

    Mkuu wa Vyombo vya Mahakama vya Iran amesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imedhamiria kwa dhati kutekeleza kwa uadilifu kwa wale wote walioamuru na waliotekeleza jinai ya kumuuwa kigaidi Kamanda Qassem Soleimani.

  • Makumi wauawa katika shambulio la wabeba silaha Ethiopia

    Makumi wauawa katika shambulio la wabeba silaha Ethiopia

    Nov 03, 2020 03:39

    Makumi ya watu wameuawa katika shambulizi la wanamgambo waliobeba silaha magharibi mwa Ethiopia.

  • Mauaji ya kigaidi ya viongozi; mbinu ya Kizayuni inayotumiwa na Saudi Arabia nchini Yemen

    Mauaji ya kigaidi ya viongozi; mbinu ya Kizayuni inayotumiwa na Saudi Arabia nchini Yemen

    Oct 30, 2020 03:57

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Yemen imetangaza kupitia taarifa kwamba mashirika ya ujasusi ya nchi zinazounda muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia ndiyo yaliyopanga mauaji ya kigaidi ya Hassan Muhammad Zaid, Waziri wa Michezo na Vijana wa serikali ya uokovu wa kitaifa ya Yemen.

  • Wauaji wa Waziri wa Michezo wa Yemen wajulikana, Ansarullah yailaumu Marekani na Saudia

    Wauaji wa Waziri wa Michezo wa Yemen wajulikana, Ansarullah yailaumu Marekani na Saudia

    Oct 28, 2020 23:23

    Vyombo vya usalama na upelelezi vya Serikali ya Uokovu wa Kitaifa nchini Yemen vimebaini utambulisho wa watu waliofanya mauaji ya aliyekuwa Waziri wa Michezo na Vijana wa nchi hiyo, Hassan Zaid.

  • Umoja wa Afrika walaani mauaji ya raia nchini Nigeria

    Umoja wa Afrika walaani mauaji ya raia nchini Nigeria

    Oct 22, 2020 10:18

    Nchi ya Nigeria inaendelea kukumbwa na hali ya machafuko baada ya askari usalama kuwatawanya kikatili vijana walioandamana dhidi ya ghasia za polisi, na kuua watu kadhaa. hayo yametangaza na shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS