Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mgogoro wa Syria

  • Mustakbali uliogubikwa na kiza wa Syria; wafuasi wa al Julani wazidi kuua raia

    Mustakbali uliogubikwa na kiza wa Syria; wafuasi wa al Julani wazidi kuua raia

    Mar 14, 2025 08:15

    Shirika la kutetea haki za binadamu nchini Syria limeripoti habari ya kuuawa zaidi ya raia 1,383 wasio na hatia katika shambulio lililofanywa na magenge yenye mfungamano na watawala wa hivi sasa wa Syria kwenye maeneo ya Waislamu wa Kishia, magharibi mwa nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Maandamano dhidi ya al Jolani yaanza Syria

    Maandamano dhidi ya al Jolani yaanza Syria

    Dec 22, 2024 07:54

    Duru za habari zimeripoti kuwa kutekwa nyara raia wa Syria katika mkoa wa Halab nchini humo kumezushha cheche za awali za maandamano na malalamiko dhidi ya Muhammad al Jolani kamanda wa kundi la upinzani lenye silaha la Hay'at Tahrir al Sham(HTS).

  • Marekani kupitisha muswada wa kuziadhibu nchi zinazorejesha uhusiano wao na Syria

    Marekani kupitisha muswada wa kuziadhibu nchi zinazorejesha uhusiano wao na Syria

    May 13, 2023 02:45

    Kundi la wabunge wa Marekani kutoka vyama vyote viwili vya Democratic na Republican limewasilisha muswada ambao utaizuia Marekani kurejesha uhusiano wa kidiplomasia na serikali ya Rais Bashar al-Assad wa Syria na kuziwekea vikwazo nchi za kikanda zinazorejesha uhusiano wao na Damascus, huku Washington ikionyesha kukasirishwa na hatua ya kuirejesha tena Syria tena katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu.

  • Morocco yasisitiza kuunga mkono kadhia ya Palestina

    Morocco yasisitiza kuunga mkono kadhia ya Palestina

    Mar 18, 2023 13:30

    Serikali ya Morocco imetangaza kuwa, inaunga mkono na kuipa umuhimu kadhia ya Palestina na kwamba, inalitazama syuala hilo kama moja ya mambo muhimu katika ulimwengu wa Kiislamu.

  • Serikali ya Jordan yaanzisha mpango wa kusaidia kupunguza mgogoro wa Syria

    Serikali ya Jordan yaanzisha mpango wa kusaidia kupunguza mgogoro wa Syria

    Mar 29, 2021 04:24

    Serikali ya Jordan imesema kuwa imeanza kutekeleza mpango wake mwaka huu wa 2021 kwa ajili ya kusaidia kupunguza mgogoro wa Syria wenye thamani ya dola bilioni 2.4.

  • Russia yatahadharisha kuhusu hatua mbaya za Marekani huko Syria

    Russia yatahadharisha kuhusu hatua mbaya za Marekani huko Syria

    Oct 06, 2020 07:26

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Russia ametahadharisha kuhusu maafa ya mienendo ya Marekani na Wakurdi wa Syria na kusisitiza ulazima wa kuzuia hatua yoyote inayotaka kuigawa ardhi ya nchi hiyo.

  • Misri yataka vita dhidi ya magaidi nchini Syria viongezewe kasi

    Misri yataka vita dhidi ya magaidi nchini Syria viongezewe kasi

    Oct 05, 2020 08:10

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri amefanya mazungumzo na mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa na kutilia mkazo udharura wa kupambana vilivyo na kikamilifu na magenge ya kigaidi nchini Syria.

  • Jinai za Daesh zaongezeka katika maeneo yanayodhibitiwa na Marekani na washirika wake, mpaka wa Iraq na Syria

    Jinai za Daesh zaongezeka katika maeneo yanayodhibitiwa na Marekani na washirika wake, mpaka wa Iraq na Syria

    Aug 04, 2020 06:48

    Kituo kinachojiita Wasimamizi wa Haki za Binadamu nchini Syria kimetangaza kuwa kumeshuhudiwa ongezeko la uhalifu na jinai za kundi la Daesh katika maeneo yanayodhibitiwa na muungano wa kijeshi unaoongozwa na Marekani karibu na mpaka wa Syria na Iraq.

  • Tathmini ya utendaji wa jeshi la Syria katika kupambana na ugaidi kwa mnasaba wa kuadhimisha siku ya kuasisiwa kwake

    Tathmini ya utendaji wa jeshi la Syria katika kupambana na ugaidi kwa mnasaba wa kuadhimisha siku ya kuasisiwa kwake

    Aug 02, 2020 06:36

    Kwa mnasaba wa kutimia mwaka wa 75 wa kuasisiwa jeshi la Syria, Rais Bashar al Assad amelisifu na kulipongeza jeshi hilo kwa mchango wake katika vipindi tofauti vya vita dhidi ya ugaidi na kuendelea kwake kuwalinda watu wa nchi hiyo.

  • Uturuki yavamia tena ardhi ya Syria, mara hii msafara wa malori 70 ya kijeshi waingia mkoani Idlib

    Uturuki yavamia tena ardhi ya Syria, mara hii msafara wa malori 70 ya kijeshi waingia mkoani Idlib

    Jul 10, 2020 02:24

    Misafara mitatu ya jeshi la Uturuki ya malori yaliyosheheni zana za kijeshi imevuka mpaka wa mkoa wa Idlib kaskazini magharibi mwa Syria na kuingia ndani ya ardhi ya nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS