Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Maandamano dhidi ya Wazayuni yashtadi, Israel yafunga balozi zake Rabat, Cairo

    Maandamano dhidi ya Wazayuni yashtadi, Israel yafunga balozi zake Rabat, Cairo

    Oct 20, 2023 02:58

    Maandamano yanayoendelea kushuhudiwa katika nchi mbalimbali duniani kulaani jinai za Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza, yameilazimisha Tel Aviv kuwahimisha wafanyakazi wa balozi zake katika nchi za Misri na Morocco.

  • Al Azhar yawataka Waislamu kukabiliana na adui Mzayuni

    Al Azhar yawataka Waislamu kukabiliana na adui Mzayuni

    Oct 18, 2023 06:16

    Chuo Kikuu cha Al Azhar cha nchini MIsri kimewataka Waislamu duniani kote kukabiliana kwa uwezo na nguvu zote na jinai za utawala wa Kizayuni.

  • Watalii kadhaa wa utawala wa Kizayuni wauawa Misri

    Watalii kadhaa wa utawala wa Kizayuni wauawa Misri

    Oct 08, 2023 12:53

    Watalii kadhaa wa utawala wa Kizayuni wameuliwa kwa kupigwa risasi huko Misri. Kwa mujibu wa Al Jazeera, duru moja ya usalama ya Misri imetangaza kuwa askari polisi wa nchi hiyo amewauwa kwa kuwapiga risasi watalii wawili wa Israel nchini humo. Polisi huyo wa Misri alitumia silaha yake binafsi kutekeleza mauaji hayo

  • Misri na Russia zasisitiza kusitishwa mara moja mashambulizi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Ukanda wa Ghaza.

    Misri na Russia zasisitiza kusitishwa mara moja mashambulizi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Ukanda wa Ghaza.

    Oct 08, 2023 06:38

    Katika mazungumzo ya simu, Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Misri na Russia wamesisitiza juu ya ulazima wa kusitishwa mara moja mashambulizi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Ukanda wa Ghaza.

  • Mchango wa Maulamaa wa Kishia Katika Uislamu (82)

    Mchango wa Maulamaa wa Kishia Katika Uislamu (82)

    Oct 03, 2023 17:36

    Ni matumaini yangu kuwa, hamjambo wapenzi wasikilizaji popote pale mlipo na karibuni katika sehemu nyingine ya kipindi hiki cha Mchango wa Maulamaa wa Kishia Katika Uislamu.

  • Misri yatangaza tarehe ya uchaguzi wa rais, wagombea 7 kuchuana

    Misri yatangaza tarehe ya uchaguzi wa rais, wagombea 7 kuchuana

    Sep 26, 2023 13:52

    Mamlaka ya Kitaifa ya Uchaguzi ya Misri imetengaza kuwa uchaguzi wa rais nchini humo utafanyika mwezi Disemba mwaka huu.

  • Ethiopia: Tumeanza duru mpya ya mazungumzo na Misri na Sudan kuhusu Bwawa Kuu la Renaissance

    Ethiopia: Tumeanza duru mpya ya mazungumzo na Misri na Sudan kuhusu Bwawa Kuu la Renaissance

    Sep 23, 2023 14:08

    Ethiopia imesema imeanza duru ya pili ya mazungumzo na Misri na Sudan kuhusu bwawa lenye utata lililojengwa na nchi hiyo kwenye mto Nile na kuwa chanzo cha mvutano wa muda mrefu kati ya mataifa hayo matatu.

  • Al Burhan akutana na al Sisi mjini Cairo katika safari ya kwanza nje ya nchi baada ya kuanza vita Sudan

    Al Burhan akutana na al Sisi mjini Cairo katika safari ya kwanza nje ya nchi baada ya kuanza vita Sudan

    Aug 29, 2023 11:51

    Mkuu wa Baraza la Utawala wa Sudan, Abdel Fattah Al-Burhan, leo Jumanne amewasili nchini Misri, katika ziara yake ya kwanza ya kigeni tangu kuanza mapigano ya ndani nchini Sudan yapata miezi 5 iliyopita, huku mapigano yakiendelea kati ya Jeshi la Sudan na Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) katika mji wa Khartoum na maeneo mengine.

  • Misri yamkamata mwandishi habari aliyefichua utambulisho wa maafisa waliokuwa kwenye ndege iliyokamatwa Zambia

    Misri yamkamata mwandishi habari aliyefichua utambulisho wa maafisa waliokuwa kwenye ndege iliyokamatwa Zambia

    Aug 21, 2023 10:17

    Mtandao wa Middle East Eye umeripoti kuwa askari usalama wa Misri wamemkamata mwandishi wa habari Karim Al-Asaad, kwa sababu ya kuchapisha makala kwenye vyombo vya habari kuhusu maafisa wa serikali ya Cairo waliokuwa kwenye ndege ya kibinafsi, ambayo ilikamatwa na mamlaka ya Zambia katika wiki iliyopita.

  • Kukataa Misri ombi la Marekani la kuipa silaha Ukraine

    Kukataa Misri ombi la Marekani la kuipa silaha Ukraine

    Aug 13, 2023 10:31

    Misri imekataa ombi la Marekani la kuipa silaha Ukraine ikiwa ni katika sehemu ya mkakati wa Cairo ya kutopendelea upande wowote kwenye vita vya Ukraine na Russia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS