Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Ombi la Misri la kujiunga na BRICS; ishara ya kupunguza uhusiano wake na nchi za Magharibi

    Ombi la Misri la kujiunga na BRICS; ishara ya kupunguza uhusiano wake na nchi za Magharibi

    Jun 16, 2023 06:33

    Ikiwa ni katika mwenendo wa nchi za dunia kuvutiwa na miungano pamoja na mashirika yasiyofungamana na Marekani na nchi nyingine za Magharibi, Misri imeomba uanachama katika jumuiya ya BRICS.

  • Misri yatuma maombi ya kujiunga na kundi la BRICS

    Misri yatuma maombi ya kujiunga na kundi la BRICS

    Jun 15, 2023 02:50

    Balozi wa Russia nchini Misri amesema kuwa Cairo imetuma maombi rasmi ya kuwa mwanachama katika kundi la BRICS.

  • Al-Ahly ya Misri wafalme wa soka barani Afrika 2023

    Al-Ahly ya Misri wafalme wa soka barani Afrika 2023

    Jun 12, 2023 08:20

    Klabu ya Al-Ahly ya Misri imetwaa ubingwa wa Ligi ya Klabu Bingwa Barani Afrika. Mafarao hao wa Misri wametwaa kombe hilo la kibara, licha ya mchuano wa fainali kumalizika kwa sare ya bao 1-1.

  • Al-Ahly ya Misri wafalme wa soka barani Afrika 2023

    Al-Ahly ya Misri wafalme wa soka barani Afrika 2023

    Jun 12, 2023 08:05

    Wydad Casablanca ya Morocco na Al Ahly ya Misri siku ya Jumapili waliendeleza vita vyao vya kutafuta mfalme wa klabu za soka barani Afrika, walipokutana katika mkondo wa pili wa fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika ya CAF uliopigwa kwenye Uwanja wa Stade Mohamed V mjini Casablanca.

  • Wanasiasa wa Misri wakaribisha kustawishwa uhusiano wa Tehran na Cairo

    Wanasiasa wa Misri wakaribisha kustawishwa uhusiano wa Tehran na Cairo

    May 31, 2023 06:53

    Wanasiasa na viongozi wa Misri wamekaribisha kwa mikono miwili juhudi za kuhuishwa na kurejeshwa uhusiano wa Iran na Misri.

  • Kiongozi Muadhamu: Iran inakaribisha kuhuishwa uhusiano wake na Misri

    Kiongozi Muadhamu: Iran inakaribisha kuhuishwa uhusiano wake na Misri

    May 29, 2023 11:32

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema Iran inakaribisha azma ya kufufuliwa uhusiano wake na Misri.

  • Wanachama 14 wa Ikhwanul-Muslimin ya Misri wahukumiwa kifungo cha maisha jela

    Wanachama 14 wa Ikhwanul-Muslimin ya Misri wahukumiwa kifungo cha maisha jela

    May 22, 2023 09:26

    Mahakama moja nchini Misri, imemhukumu Hamza Zouba, mkuu wa kamati ya habari ya Harakati ya Ikhwanul-Muslimin na wajumbe 13 wa kamati hiyo kifungo cha maisha jela, sambamba na kutoa hukumu ya kifungo cha miaka 15 jela kwa wanachama wengine watatu wa harakati hiyo ya Kiislamu.

  • Kupuuza Misri takwa la Marekani dhidi ya Russia; ishara ya kufifia ushawishi wa Marekani

    Kupuuza Misri takwa la Marekani dhidi ya Russia; ishara ya kufifia ushawishi wa Marekani

    May 14, 2023 13:58

    Gazeti la Wall Street Journal limetangaza kuwa, Misri imepuuzilia mbali takwa la Marekani kwa nchi hiyo la kutoruhusu ndege za kijeshi za Russia kupita katika anga yake.

  • Al-Azhar yawataka Waislamu kuulinda Msikiti wa Al-Aqsa

    Al-Azhar yawataka Waislamu kuulinda Msikiti wa Al-Aqsa

    Apr 09, 2023 11:28

    Taasisi ya Al-Azhar ya Misri imetoa wito kwa Waislamu wote kuulinda na kuutetea Msikiti wa Al-Aqsa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Gazeti la Wall Street: Syria na Misri zinakaribia kurejesha uhusiano wa kidiplomasia

    Gazeti la Wall Street: Syria na Misri zinakaribia kurejesha uhusiano wa kidiplomasia

    Apr 02, 2023 10:50

    Duru za kuaminika zimelidokeza gazeti la Wall Street (WSJ) linalochapishwa nchini Marekani kwamba Syria na Misri ziko katika mazungumzo ya ngazi ya juu ya kurejesha uhusiano wa kidiplomasia ambao ulivunjwa baada ya kuzuka mgogoro nchini Syria mnamo mwaka 2011.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS