-
Ombi la Misri la kujiunga na BRICS; ishara ya kupunguza uhusiano wake na nchi za Magharibi
Jun 16, 2023 06:33Ikiwa ni katika mwenendo wa nchi za dunia kuvutiwa na miungano pamoja na mashirika yasiyofungamana na Marekani na nchi nyingine za Magharibi, Misri imeomba uanachama katika jumuiya ya BRICS.
-
Misri yatuma maombi ya kujiunga na kundi la BRICS
Jun 15, 2023 02:50Balozi wa Russia nchini Misri amesema kuwa Cairo imetuma maombi rasmi ya kuwa mwanachama katika kundi la BRICS.
-
Al-Ahly ya Misri wafalme wa soka barani Afrika 2023
Jun 12, 2023 08:20Klabu ya Al-Ahly ya Misri imetwaa ubingwa wa Ligi ya Klabu Bingwa Barani Afrika. Mafarao hao wa Misri wametwaa kombe hilo la kibara, licha ya mchuano wa fainali kumalizika kwa sare ya bao 1-1.
-
Al-Ahly ya Misri wafalme wa soka barani Afrika 2023
Jun 12, 2023 08:05Wydad Casablanca ya Morocco na Al Ahly ya Misri siku ya Jumapili waliendeleza vita vyao vya kutafuta mfalme wa klabu za soka barani Afrika, walipokutana katika mkondo wa pili wa fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika ya CAF uliopigwa kwenye Uwanja wa Stade Mohamed V mjini Casablanca.
-
Wanasiasa wa Misri wakaribisha kustawishwa uhusiano wa Tehran na Cairo
May 31, 2023 06:53Wanasiasa na viongozi wa Misri wamekaribisha kwa mikono miwili juhudi za kuhuishwa na kurejeshwa uhusiano wa Iran na Misri.
-
Kiongozi Muadhamu: Iran inakaribisha kuhuishwa uhusiano wake na Misri
May 29, 2023 11:32Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema Iran inakaribisha azma ya kufufuliwa uhusiano wake na Misri.
-
Wanachama 14 wa Ikhwanul-Muslimin ya Misri wahukumiwa kifungo cha maisha jela
May 22, 2023 09:26Mahakama moja nchini Misri, imemhukumu Hamza Zouba, mkuu wa kamati ya habari ya Harakati ya Ikhwanul-Muslimin na wajumbe 13 wa kamati hiyo kifungo cha maisha jela, sambamba na kutoa hukumu ya kifungo cha miaka 15 jela kwa wanachama wengine watatu wa harakati hiyo ya Kiislamu.
-
Kupuuza Misri takwa la Marekani dhidi ya Russia; ishara ya kufifia ushawishi wa Marekani
May 14, 2023 13:58Gazeti la Wall Street Journal limetangaza kuwa, Misri imepuuzilia mbali takwa la Marekani kwa nchi hiyo la kutoruhusu ndege za kijeshi za Russia kupita katika anga yake.
-
Al-Azhar yawataka Waislamu kuulinda Msikiti wa Al-Aqsa
Apr 09, 2023 11:28Taasisi ya Al-Azhar ya Misri imetoa wito kwa Waislamu wote kuulinda na kuutetea Msikiti wa Al-Aqsa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Gazeti la Wall Street: Syria na Misri zinakaribia kurejesha uhusiano wa kidiplomasia
Apr 02, 2023 10:50Duru za kuaminika zimelidokeza gazeti la Wall Street (WSJ) linalochapishwa nchini Marekani kwamba Syria na Misri ziko katika mazungumzo ya ngazi ya juu ya kurejesha uhusiano wa kidiplomasia ambao ulivunjwa baada ya kuzuka mgogoro nchini Syria mnamo mwaka 2011.