Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Mitandao ya kijamii

  • Seyyed Abbas Araghchi: Iran inalaani jaribio lolote la kudhuru umoja wa Waislamu

    Seyyed Abbas Araghchi: Iran inalaani jaribio lolote la kudhuru umoja wa Waislamu

    May 28, 2025 00:37

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Tehran inalaani vikali jaribio lolote la kushambulia umoja wa Waislamu.

  • "Dunia bila Israeli ni mahali pazuri zaidi kwa watoto"; radiamali ya watumiaji X kwa kilio cha mtoto wa Kipalestina katika shule iliyolipuliwa huko Gaza

    May 28, 2025 00:27

    Msichana wa Kipalestina aliokolewa kimiujiza katika shule moja kwenye Ukanda wa Gaza ambayo ilikuwa ikiteketea kabisa na moto na vilio vya wanawake na watoto vilisikika.

  • Kutoweza Afrika Kusini kuachana na Muqawama na ukombozi wa Palestina

    Kutoweza Afrika Kusini kuachana na Muqawama na ukombozi wa Palestina

    Apr 25, 2025 03:47

    Tarehe 29 Disemba 2023 imerekodiwa katika kumbukumbu za historia ya baada ya mwaka 1994 ya Afrika Kusini kama siku muhimu sana baada ya Pretoria kufungua kesi dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika mahakama ya ICJ, ikiwasilisha hoja za kisheria za kina na zenye mashiko kwamba ukatili wa Israel katika Ukanda wa Ghaza unakanyaga Mkataba wa Kimataifa wa Kuzuia Mauaji ya Kimbari.

  • Kwa mara nyingine Yemen yayatwanga maeneo ya jeshi la Israel huko Jaffa

    Kwa mara nyingine Yemen yayatwanga maeneo ya jeshi la Israel huko Jaffa

    Apr 12, 2025 03:11

    Jeshi la Yemen (YAF) limetangaza habari ya kufanya operesheni nyingine ya ndege zisizo na rubani na kutwanga maeneo mawili ya jeshi la Israel katika eneo Jaffa karibu na Tel Aviv na kusema kuwa hayo ni majibu ya moja kwa moja ya mauaji ya kimbari yanayoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina huko Ghaza.

  • Wanamitandao wa Iran:

    Wanamitandao wa Iran: "Trump anasema uwongo", "Marekani Shetani hatoki hatiani kwa mazungumzo"

    Apr 08, 2025 07:16

    Watumiaji wa mtandao wa kijamii wa X wametuma jumbe mbalimbali za kukosoa sera za Rais wa Marekani dhidi ya Iran na ushirikiano wake na viongozi wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika kufanya jinai za kivita huko Ghaza.

  • Siku mbaya zaidi: Israeli yaua karibu watu 80 wa Ghaza katika shambulio kwenye zahanati ya UN

    Siku mbaya zaidi: Israeli yaua karibu watu 80 wa Ghaza katika shambulio kwenye zahanati ya UN

    Apr 03, 2025 10:56

    Wimbi jipya la mashambulizi ya anga ya Israel kwenye Ukanda wa Gaza yamesababisha takriban watu 77 kuuawa shahidi, ikiwa ni siku mbaya zaidi kwa Wapalestina tangu utawala katili wa Israel uanze tena mauaji yake ya kijinai na ya umati kwenye ukanda huo uliozingiwa kila upande.

  • Iran: Tumefanya mazungumzo mazuri na IAEA kuhusu nyuklia

    Iran: Tumefanya mazungumzo mazuri na IAEA kuhusu nyuklia

    Mar 17, 2025 22:43

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya Sheria na ya Kimataifa amesema kuwa, mazungumzo yake na Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA, Rafael Mariano Grossi, yalikuwa ya wazi na ya maana.

  • Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu: Bila shaka yoyote taifa la Yemen litaibuka mshindi

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu: Bila shaka yoyote taifa la Yemen litaibuka mshindi

    Mar 17, 2025 02:46

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amelipongeza taifa la Yemen kwa Muqawama wake wa kukabiliana na jinai za kinyama za utawala wa Marekani dhidi ya nchi hiyo na kusisitiza kuwa hakuna shaka yoyote taifa la Yemen litaibuka mshindi.

  • Iran: Marekani haina haki ya kutupangia tufuate siasa gani

    Iran: Marekani haina haki ya kutupangia tufuate siasa gani

    Mar 16, 2025 02:36

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma ujumbe akisisitiza kuwa, Marekani haina haki ya kutupangia tufuate siasa gani za kigeni.

  • Iran: Kuruka ndege za Israel jijini Beirut wakati wa mazishi ya Shahidi Nasrallah ni

    Iran: Kuruka ndege za Israel jijini Beirut wakati wa mazishi ya Shahidi Nasrallah ni "kitendo cha ugaidi"

    Feb 24, 2025 09:06

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amelaani hatua ya ndege za kivita za utawala haramu wa Israel kuruka juu ya uwanja wa michezo nchini Lebanon, ambako shughuli za mazishi ya viongozi wa Hizbullah waliouawa shahdii zilikuwa zinafanyika, akitaja tukio hilo kama "kitendo cha ugaidi" kilicholenga kuwatisha waombolezaji.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS