• Jumamosi, 20 Mei, 2023

    Jumamosi, 20 Mei, 2023

    May 20, 2023 02:14

    Leo ni Jumamosi tarehe 29 Mfunguo Mosi Shawwal 1444 Hijria mwafaka na tarehe 20 Mei, 2023 Miladiia.

  • AU: Hatua za dharura zichukuliwe kuinusuru Msumbiji

    AU: Hatua za dharura zichukuliwe kuinusuru Msumbiji

    Apr 01, 2021 10:40

    Umoja wa Afrika (AU) umetoa mwito wa kuchukuliwa hatua za dharura katika ngazi za kieneo na kimataifa kufuatia kushtadi harakati na mashambulio ya magenge ya kigaidi kaskazini mwa Msumbiji.

  • Magufuli ahitimisha mkutano wa viongozi wa SADC, Dar

    Magufuli ahitimisha mkutano wa viongozi wa SADC, Dar

    Aug 18, 2019 12:05

    Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) ambaye ni Rais wa Tanzania, John Magufuli leo amefunga Mkutano wa 39 wa Jumuiya hiyo katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam.

  • Jumatatu, Mei 20, 2019

    Jumatatu, Mei 20, 2019

    May 20, 2019 01:18

    Leo ni Jumatatu tarehe 14 Ramadhani mwaka 1440 Hijria, mwafaka na tarehe 20 Mei mwaka 2019 Miladia.

  • Rais wa Ivory Coast ataka haki itendeke kuhusu mauaji ya watu 3,000 nchini humo

    Rais wa Ivory Coast ataka haki itendeke kuhusu mauaji ya watu 3,000 nchini humo

    Feb 11, 2019 13:44

    Rais Alassane Ouattara wa Kodivaa amesema kuwa lazima haki itendeke kuhusu mauaji ya watu 3,000 yaliyotokea nchini humo mwaka 2010 baada ya rais wa wakati huo Laurent Gbagbo kung'ang'ania madaraka na kukataa kuheshimu kura za wananchi.