Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Msikiti

  • Miripuko ya mabomu yaua waumini wasiopungua 62 ndani ya msikiti nchini Afghanistan

    Miripuko ya mabomu yaua waumini wasiopungua 62 ndani ya msikiti nchini Afghanistan

    Oct 18, 2019 16:18

    Watu wasiopungua 62 wameuawa na wengine zaidi ya 100 wamejeruhiwa katika miripuko kadhaa ya mabomu iliyotokea leo ndani ya msikiti katika mkoa wa Nangarhar mashariki mwa Afghanistan.

  • India yazidisha hatua kali za usalama kabla ya kuhitimishwa kesi ya Msikiti wa Babri

    India yazidisha hatua kali za usalama kabla ya kuhitimishwa kesi ya Msikiti wa Babri

    Oct 15, 2019 04:05

    Serikali ya India imezidisha hatua kali za usalama katika mji wa Ayodhya, jimbo la Uttar Pradesh huko kaskazini mwa nchi hiyo kabla ya kutolewa uamuzi muhimu sana wa Mahaka Kuu ya nchi hiyo juu ya mzozo wa eneo la Msikiti wa Babri linalogombaniwa baina ya Waislamu na Wahindu.

  • Vitendo vya ugaidi Tunisia, mada za miripuko zapatikana msikitini kabla ya kuripuka

    Vitendo vya ugaidi Tunisia, mada za miripuko zapatikana msikitini kabla ya kuripuka

    Jul 04, 2019 09:57

    Maafisa usalama wa Tunisia wamegundua mada kadhaa za miripuko katika msikiti mmoja nchini humo na kuzitegua kabla ya kuripuka.

  • Saudi Arabia kubana vikali harakati za watoa mawaidha katika mwezi wa Ramadhani

    Saudi Arabia kubana vikali harakati za watoa mawaidha katika mwezi wa Ramadhani

    May 05, 2019 02:27

    Waziri wa Masuala ya Kiislamu wa Saudi Arabia ametangaza kuwa, makhatibu na watoa mawaidha misikiti katika mwezi mtukufu wa Ramadhani watapaswa kufanya mambo yao kwa mujibu wa siasa za utawala wa Aal Saud; kwani kinyume na hivyo watachukuliwa hatua kali.

  • Misikiti mitano yavamiwa katika mji wa Birmingham nchini Uingereza

    Misikiti mitano yavamiwa katika mji wa Birmingham nchini Uingereza

    Mar 21, 2019 15:04

    Misikiti mitano imeshambuliwa katika mji wa Birmingham nchini Uingereza, wiki moja baada ya kutokea mashambulizi ya kigaidi nchini New Zealand na kuua makumi ya Waislamu na kujeruhi makumi ya wengine.

  • Maandamano makubwa yafanyika London kupinga ubaguzi

    Maandamano makubwa yafanyika London kupinga ubaguzi

    Mar 17, 2019 04:26

    Makumi ya maelfu ya watu walikusanyika kati kati ya mji mkuu wa Uingereza, London jana Jumamosi kulaani na kupinga chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) na ubaguzi wa rangi.

  • CAIR: Trump ndie chanzo cha hujuma za kigaidi misikitini New Zealand

    CAIR: Trump ndie chanzo cha hujuma za kigaidi misikitini New Zealand

    Mar 16, 2019 14:39

    Baraza la Mahusiano ya Kiislamu Marekani (CAIR) limesema sera za Rais Donald Trump zimechangia kuchochea hujuma za kigaidi zilizojiri katika misikiti miwili nchini New Zealand Ijumaa na kupelekea Waislamu 49 kuuawa.

  • Uchunguzi: Akthari ya vijana wa Ujerumani wanaunga mkono ujenzi wa misikiti nchini humo

    Uchunguzi: Akthari ya vijana wa Ujerumani wanaunga mkono ujenzi wa misikiti nchini humo

    Mar 05, 2019 02:44

    Matokeo ya uchunguzi mpya yanaonyesha kwamba akthari ya vijana wa Ujerumani wanaunga mkono kujengwa misikiti nchini humo.

  • Aliyechoma moto msikiti jimbo la Texas, Marekani ahukumiwa kifungo cha miaka 25 jela

    Aliyechoma moto msikiti jimbo la Texas, Marekani ahukumiwa kifungo cha miaka 25 jela

    Oct 18, 2018 08:08

    Mahakama ya Marekani imemuhukumu kifungo cha miaka 25 jela mwanamume mmoja aliyehusika na tukio la kuchoma moto msikiti katika jimbo la Texas nchini humo.

  • Watu wawili wauawa kwa kudungwa visu msikitini nchini Afrika Kusini

    Watu wawili wauawa kwa kudungwa visu msikitini nchini Afrika Kusini

    Jun 14, 2018 08:12

    Kwa akali watu wawili wamethibitishwa kuuawa kwa kudungwa visu wakiwa msikitini, baada ya mtu mmoja kuvamia eneo hilo la ibada nchini Afrika Kusini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS