Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Msikiti

  • Waislamu Austria walaani azma ya serikali ya kutaka kufunga misikiti nchini

    Waislamu Austria walaani azma ya serikali ya kutaka kufunga misikiti nchini

    Jun 11, 2018 07:16

    Waislamu nchini Austria wamekosoa vikali mpango wa serikali wa kufunga misikiti saba na kuwatimua makumi ya Maimamu na familia zao kutokana na kile inachodai ni mkakati wa kuzuia 'Uislamu wa kisiasa' katika nchi hiyo ya Ulaya.

  • Msikiti washambuliwa kwa moto na magaidi wenye chuki ya Uislamu nchini Uingereza

    Msikiti washambuliwa kwa moto na magaidi wenye chuki ya Uislamu nchini Uingereza

    Jun 09, 2018 01:22

    Katika hatua ya chuki dhidi ya Uislamu, msikiti mmoja wa eneo la Beeston mjini Leeds nchini Uingereza umeshambuliwa kwa moto na watu wasiojulikana.

  • Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi 36 na sauti

    Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi 36 na sauti

    Jun 03, 2018 15:11

    Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya 36 ya makala haya yanayozungumzia chuki na matukio ya kibaguzi dhidi ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla katika nchi za Magharibi.

  • Iran yalaani shambulizi dhidi ya Waislamu msikitini Afrika Kusini

    Iran yalaani shambulizi dhidi ya Waislamu msikitini Afrika Kusini

    May 12, 2018 07:35

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali shambulizi la hivi karibuni dhidi ya msikiti mmoja karibu na mji wa Durban nchini Afrika Kusini.

  • Mashambulizi pacha ya mabomu yaua kadhaa msikitini Nigeria

    Mashambulizi pacha ya mabomu yaua kadhaa msikitini Nigeria

    Apr 22, 2018 14:01

    Mashambulizi pacha ya mabomu yameua waumini watatu wa Kiislamu msikitini katika mji wa Bama jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Mzozo wa uongozi wapelekea msikiti kufungwa na kuzingirwa Uganda

    Mzozo wa uongozi wapelekea msikiti kufungwa na kuzingirwa Uganda

    Mar 23, 2018 07:22

    Wanajeshi na maafisa wa polisi wameufunga na kuuzingira Msikiti wa Basajjabalaba katika Manispaa ya Bushenyi-Ishaka magharibi mwa Uganda kutokana na mzozo miongoni mwa Waislamu katika eneo hilo.

  • Msikiti mwingine washambuliwa kwa bomu nchini Ujerumani

    Msikiti mwingine washambuliwa kwa bomu nchini Ujerumani

    Mar 20, 2018 15:53

    Msikiti mmoja katika mji wa Ulm, kusini mwa Ujerumani umeshambuliwa kwa bomu na watu wasiojulikana, chini ya wiki mbili baada ya msikiti mwingine kuteketezwa kwa moto katika mji mkuu wa nchi hiyo ya Ulaya, Berlin.

  • Maadui watangaza

    Maadui watangaza "Siku ya Kumwadhibu Muislamu" nchini Uingereza

    Mar 12, 2018 02:30

    Taharuki imetanda miongoni mwa Waislamu nchini Uingereza baada ya kundi lenye chuki dhidi ya Uislamu kusambaza barua za kutaka kushambuliwa Waislamu na misikiti nchini humo.

  • Wenye chuki dhidi ya Uislamu wachoma moto msikiti nchini Ujerumani

    Wenye chuki dhidi ya Uislamu wachoma moto msikiti nchini Ujerumani

    Mar 11, 2018 16:28

    Katika kile kinachoonekana ni muendelezo wa matukio ya chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu barani Ulaya, wavamizi wasiojulikana wameuteketeza moto msikiti mmoja katika mji mkuu wa Ujerumani, Berlin.

  • Saudia yahujumu na kuvunja misikiti katika mashambulio yake mapya nchini Yemen

    Saudia yahujumu na kuvunja misikiti katika mashambulio yake mapya nchini Yemen

    Feb 25, 2018 15:36

    Ndege za kivita za utawala wa Aal-Saud zimelenga misikiti na vituo vingine vya Kiislamu katika hujuma zake mpya za anga nchini Yemen.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS