-
Rais wa Iran: Syria imeibuka na ushindi licha ya vitisho na vikwazo
May 03, 2023 11:40Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, serikali ya Syria pamoja na wananchi wa nchi hiyo wamepitia masaibu na matatizo mengi na hii leo taifa hilo limeweza kuibuka ushindi.
-
Amir Abdollahian: Ziara ya Rais Raisi Syria ni dhihirisho la mafanikio ya diplomasia ya serikali katika ushirikiano wa kikanda
May 03, 2023 07:11Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema safari ya Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Syria mbali na umuhimu wake wa kisiasa, kiusalama na kiuchumi ni dhihirisho la ushindi wa irada ya kisiasa ya muqawama na kufanikiwa diplomasia ya serikali katika kukamilisha mchakato wa utangamano wa kikanda.
-
Hamas: Maonyo ya Sayyid Nasrullah ndiyo sababu kuu ya woga wa utawala wa Kizayuni
Apr 27, 2023 05:37Kiongozi mmoja wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, maonyo yanayotolewa na Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah ndiyo sababu kuu inayozuia mashambulio ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Kata'ib Hizbullah: Ikilazimu, tutakabiliana moja kwa moja na Marekani
Mar 27, 2023 02:11Harakati ya kupambana na ugaidi ya Kata'ib Hizbullah ya Iraq imeonya kuwa, iwapo makundi ya muqawama katika nchi hiyo ya Kiarabu yatashambuliwa na vikosi vya Marekani kama vilivyofanya Syria, basi harakati hiyo haitakuwa na budi kuingia katika makabiliano ya moja kwa moja na vikosi hivyo vamizi.
-
Jumuiya ya Maulamaa wa Muqawama yasisitiza kuondolewa haraka vikwazo dhidi ya Syria
Feb 13, 2023 11:49Jumuiya ya Maulamaa wa Muqawama imetoa taarifa ikisisitiza udharura wa kuondolewa haraka iwezekanavyo vikwazo dhidi ya Syria katika kipindi hiki ambacho nchi hiyo inahitajia misaada kutokana na kukumbwa na janga la tetemeko la ardhi.
-
Kiongozi Muadhamu: Kazi kubwa ya shahidi Soleimani ilikuwa ni kuimarisha kambi ya muqawama
Jan 01, 2023 12:06Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, miongoni mwa kazi kubwa zilizofanywa na Luteni Jenerali shahid Qassem Soleimani, aliyekuwa Mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH, ni kuhuisha na kutia nguvu kambi ya muqawama.
-
Hamas: Maneva ya al Rakan al Shadid 3 ni dhihirisho la nguvu ya muqawama
Dec 29, 2022 08:09Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesema kuwa maneva ya al Rakan al Shadid 3 yanayonesha nguvu ya muqawama.
-
Kuongezeka operesheni za muqawama za Wapalestina Ukingo wa Magharibi na kukanganyikiwa Wazayuni
Dec 08, 2022 02:22Utawala haramu wa Kizayuni wa Israel umesema, umetiwa wasiwasi na kuongezeka operesheni za muqawama za Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na hasa juu ya kudumu na kuendelea kwa operesheni hizo.
-
Jen. Safavi: Sera ya muqawama inazidi kuimarika na kupata nguvu
Sep 28, 2022 08:17Mshauri Mkuu wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, stratejia ya muqawama katika eneo hili la Asia Magharibi na miongoni mwa mataifa yanayopenda haki duniani inazidi kuimarika na kupata nguvu, na bila shaka nguvu hizo zitafelisha njama za kambi ya ubeberu.
-
Iran: Tuko tayari kuzipa nchi nyingine uzoefu wetu wa kupambana na vikwazo kwa miongo minne
Aug 29, 2022 07:29Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran katika masuala ya kisiasa amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu iko tayari kuzipa nchi nyingine rafiki, uzoefu wake wa kukabiliana na vikwazo kwa zaidi ya miaka 40 na kuvigeuza vikwazo hivyo kuwa fursa ya maendeleo na kujitegemea kila upande.