-
UN yaunda timu ya kuchunguza jinai dhidi ya Waislamu wa Rohingya
May 30, 2017 15:29Umoja wa Mataifa umeunda timu ya wataalamu huru kuchunguza mauaji na jinai zinazofanywa na jeshi la Myanmar dhidi ya Waislamu wa kabila la Rohingya katika jimbo la Rakhine.
-
Mfululizo wa vipindi vya 'Ukatili wa Mabudha dhidi ya Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar' na Sauti
May 28, 2017 11:15Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya sita ya makala yanayozungumzia jinai na ukatili wa kutisha unaofanywa na Mabudha wenye kuchupa mipaka dhidi ya Waislamu wa kabila la Rohingya nchini Myanmar.
-
Myanmar yapinga ripoti ya UN kuhusu jinai zake dhidi ya Waislamu wa Rohingya
May 23, 2017 07:45Jeshi la Myanmar limekanusha ripoti ya uchunguzi wa Umoja wa Mataifa iliyosema kuwa viongozi wa serikali wanabeba dhima ya jinai zilizotendwa na jeshi la nchi hiyo dhidi ya Waislamu wa kabila la Rohingya.
-
Mfululizo wa vipindi vya 'Ukatili wa Mabudha dhidi ya Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar' na Sauti
May 23, 2017 06:54Ni matumaini yangu kuwa hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya tano ya makala yanayozungumzia jinai na ukatili wa kutisha unaofanywa na Mabudha wenye kuchupa mipaka dhidi ya Waislamu wa kabila la Rohingya nchini Myanmar.
-
Uungaji mkono wa kamanda wa jeshi la Myanmar kwa ukandamizaji wa askari dhidi ya Waislamu wa nchi hiyo
May 14, 2017 10:11Min Aung Hlaing, Kamanda Mkuu wa Jeshi nchini Myanmar ameunga mkono ukatili na jinai za kutisha zinazofanywa na askari wa nchi hiyo dhidi ya jamii ya wachache wa Rohingya nchini humo.
-
Mfululizo wa vipindi vya 'Ukatili wa Mabudha dhidi ya Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar' na Sauti
May 06, 2017 14:36Ni matumaini yangu kuwa hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya nne ya makala yanayozungumzia jinai na ukatili wa kutisha unaofanywa na Mabudha wenye kuchupa mipaka dhidi ya Waislamu wa kabila la Rohingya nchini Myanmar.
-
Mfululizo wa vipindi vya 'Ukatili wa Mabudha dhidi ya Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar' na Sauti
Apr 30, 2017 13:07Ni matumaini yangu kuwa hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya tatu ya makala yanayozungumzia jinai na ukatili wa kutisha unaofanywa na Mabudha wenye kuchupa mipaka dhidi ya Waislamu wa kabila la Rohingya nchini Myanmar.
-
UN yaitaka Myanmar iwaachie huru watoto wadogo wanaozuiliwa
Apr 09, 2017 14:01Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF umeitaka serikali ya Myanmar kuwaachia huru watoto wadogo wanaozuiliwa na vyombo vya usalama chini ya mazingira magumu katika jimbo la Rakhine.
-
Jeshi la Myanmar Labomoa Msikiti wa Kihistoria
Apr 08, 2017 07:33Jeshi la Myanmar limetumia mabuldoza kuubomoa kikamilifu msikiti wa kihistoria katika mkoa wa Waislamu wa Rakhine nchini humo.
-
Kamanda wa jeshi la Myanmar atetea mauaji dhidi ya Waislamu wa Rohingya
Mar 28, 2017 12:57Kamanda wa jeshi la Myanmar ametetea siasa za ukandamizaji na ukatili unaofanywa na askari wa serikali ya nchi hiyo dhidi ya Waislamu wa kabila la Rohingya katika mkoa wa Rakhine.