-
Kuendelea mauaji ya Waislamu nchini Myanmar
Mar 14, 2017 07:55Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) limeituhumu serikali na jeshi la Myanmar kwa kuhusika katika jinai dhidi ya Waislamu wa kabila la Rohingya nchini humo.
-
UN: Viongozi wa Myanmar wanabeba dhima ya mauaji yanayofanywa dhidi ya Waislamu wa nchi hiyo
Mar 11, 2017 02:33Mwakilishi maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Myanmar ametoa ripoti kuhusu jinai zilizotendwa na jeshi la nchi hiyo dhidi ya Waislamu wa kabila la Rohingya na kusema kuwa, viongozi wa serikali wanabeba dhima ya jinai zilizotendwa na askari dhidi ya Waislamu hao.
-
Ukandamizaji wa jeshi la Myanmar dhidi ya Waislamu wa Rohingya
Mar 01, 2017 03:54Yanghee Lee, mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa ambaye hivi karibuni alizitembelea kambi za Waislamu wa Rohingya huko nchini Bangladesh ametoa taarifa inayoeleza kuwa, jeshi la Myanmar limefanya ukandamizaji na vitendo vya kinyama dhidi ya Waislamu hao.
-
UN yaitaka Myanmar ikomeshe jinai zake dhidi ya Waislamu wa Rohingya
Feb 28, 2017 04:32Umoja wa Mataifa umesema ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya wa Myanmar umefikia kiwango cha kutia wasi wasi na ni mkubwa zaidi ya ilivyodhaniwa.
-
Polisi wa Myanmar waunda kamati ya kuchunguza kuteswa Waislamu
Feb 14, 2017 03:15Baada ya kuongezeka mashinikizo makubwa ya kimataifa, hatimaye jeshi la polisi la Myanmar limetangaza nia yake ya kuwasaili na kuwachunguza maafisa wa polisi wanaodaiwa kuwanyanyasa na kuwatendea vitendo viovu Waislamu wa Rohingya.
-
UN: Zaidi ya Waislamu 1000 wameuawa katika operesheni za jeshi la Myanmar
Feb 09, 2017 16:10Maafisa wawili wa ngazi ya juu wa Umoja wa Mataifa wamesema kuwa, zaidi ya Waislamu 1000 wa kabila la Rohingya wameuawa katika operesheni za jeshi la Myanmar kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Sisitizo la Human Rights Watch la Myanmar kuzingatia ripoti za jinai dhidi ya Waislamu wa Rohingya
Feb 08, 2017 03:35Shirika la Haki za Binadamu la Human Rights Watch limeitaka serikali ya Myanmar itoe radiamali ya haraka kuhusiana na ripoti zinazoeleza juu ya kufanyika jinai dhidi ya Waislamu wa nchi hiyo wa jamii ya Rohingya.
-
Jeshi na polisi ya Myanmar zatenda jinai dhidi ya wanawake wa Kiislamu
Feb 07, 2017 07:37Shirika la Kutetea Haki za Binadamu limeripoti kuwa jeshi na polisi ya Myanmar zinaratibu jinai dhidi ya wanawake wa Kiislamu nchini humo.
-
UN: Vikosi vya usalama vya Myanmar vimekiuka pakubwa haki za Waislamu wa Rohingya
Feb 04, 2017 16:11Umoja wa Mataifa umesema kuwa, vikosi vya usalama vya Myanmar vimefanya ukiukaji mkubwa wa haki dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya wa nchi hiyo.
-
UN yataka Myanmar ikomeshe mauaji dhidi ya Waislamu
Feb 03, 2017 14:58Ripoti ya Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa imesema, mamia ya Waislamu wa kabila la Rohingya wameuawa nchini Myanmar katika ukandamizaji wa miezi ya hivi karibuni kwa kile kinachoonekana ni mauaji ya kimbari.