-
Kupelekwa Waislamu wa Myanmar katika kisiwa cha Bangladesh
Feb 01, 2017 08:04Serikali ya Bangladesh imesisitiza kutekeleza mpango wa kuwapatia makazi wakimbizi wa Kiislamu wa jamii ya Rohingya katika kisiwa cha Tangarchar katika Ghuba ya Bengal.
-
Kuongezeka wasiwasi wa kushadidi mgogoro wa wakimbizi Waislamu wa Myanmar
Jan 30, 2017 08:02Hivi sasa ni jambo lililo wazi kwa kila asasi na jumuiya yoyote ya kimataifa kwamba, kuyapatia ufumbuzi matatizo ya Waislamu wa Myanmar si jambo la ndani bali ni kadhia ya kimataifa.
-
Viongozi wa Myanmar wazuia uchunguzi kuhusu jinai dhidi ya Waislamu
Jan 29, 2017 03:52Viongozi wa serikali ya Myanmar wamewazuia waandishi wa habari na waangalizi wa asasi kadhaa za kimataifa kufanya safari katika mkoa wa Rakhine ambao kwa miezi kadhaa umeshuhudia machafuko na ukatili mkubwa dhidi ya jamii ya Waislamu wa nchi hiyo.
-
Ombi la kutaka uchunguzi huru wa kimataifa kuhusu mauaji ya Waislamu nchini Myanmar
Jan 24, 2017 08:19Makundi 41 ya kiraia nchini Myanmar na Mashariki mwa Asia yametoa taarifa na kutaka uchunguzi huru wa kimataifa ufanyike kuhusu mauaji na ukiukwaji wa haki za binadamu za Waislamu wa kabila la Rohingya nchini Myanmar ambao wanakandamizwa na serikali pamoja na mabudha wenye misimamo mikali nchini humo.
-
Myanmar yakaidi mwito wa OIC wa kukomesha jinai dhidi ya Waislamu
Jan 22, 2017 08:12Serikali ya Myanmar imepuuza mwito uliotolewa na Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) mjini Kuala Lumpur, nchini Malaysia hivi karibuni, wa kutaka ikomeshe mauaji, ukandamizaji na jinai za kutisha dhidi ya Waislamu wa Rohingya. Wizara ya Mambo ya Nje ya Myanmar jana Jumamosi ilitoa taarifa ya kuikashifu vikali serikali ya Malaysia kwa kuwa mwenyeji wa kikao cha dharura cha OIC cha kujadili hali ya Waislamu wa Myanmar.
-
Malaysia: Serikali ya Myanmar ikomeshe jinai dhidi ya Waislamu
Jan 19, 2017 13:59Waziri Mkuu wa Mayalsia, Najib Razak sambamba na kuituhumu serikali ya Myanmar kwa kuhusika na ukiukaji mkubwa wa haki za binaadamu, amebainisha wasi wasi wake mkubwa juu ya mgogoro wa kibinaadamu unaowakabili Waislamu wa mkoa wa Rakhine wa nchi hiyo ya kusini mashariki mwa Asia.
-
Waislamu wa Myanmar wanatarajia mabadiliko chanya nchini
Jan 18, 2017 08:11Ziara ya siku tatu iliyofanywa huko Myanmar na Yanghee Lee Mjumbe wa Umoja wa Mataifa kwa ajili ya kuchunguza hali ya Waislamu katika jimbo la Rakhine nchini humo imewapa matumaini Waislamu kuwa huenda hali yao ikaboreka.
-
Amnesty International: Tuna wasiwasi na hatima ya mamia ya Waislamu magharibi mwa Myanmar
Jan 15, 2017 14:36Shirika la Msamaha Duniani, Amnesty International limetangaza kuwa, lina wasiwasi juu ya hatima ya mamia ya Waislamu wa jamii ya Rohingya katika jimbo la Rakhine la magharibi mwa Myanmar.
-
OIC kujadili mauaji na ukaandamizaji dhidi ya Waislamu wa Rohingya
Jan 12, 2017 03:47Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) inatazamiwa kufanya mkutano wa kujadili mauaji na ukandamizaji wanaofanyiwa Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar.
-
Mabudha wa Myanmar wavamia na kuvunja hafla ya Maulidi ya Mtume SAW
Jan 09, 2017 07:08Mabudha wenye misimamo ya kufurutu mpaka wamevamia na kuvunja hafla ya kidini ya Waislamu katika mji mkuu wa kibiashara wa Myanmar, Yangon katika muendelezo wa kampeni ya hujuma na mashambulio ya umwagaji damu dhidi ya Waislamu Warohingya wa jimbo la magharibi la Rakhine.