Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Myanmar

  • UN yaitaka dunia isitishe uhusiano wa kifedha na jeshi la Myanmar

    UN yaitaka dunia isitishe uhusiano wa kifedha na jeshi la Myanmar

    May 14, 2019 11:42

    Timu ya uchunguzi ya Umoja wa Mataifa imezitaka nchi za dunia kusitisha miamala ya kifedha na jeshi la Myanmar linaloendelea kuua Waislamu wa jamii ya Rohingya katika mkoa wa Rakhine.

  • Ripoti: Saudia inawatesa Waislamu wa Myanmar inaowazuilia

    Ripoti: Saudia inawatesa Waislamu wa Myanmar inaowazuilia

    Apr 18, 2019 13:21

    Ripoti mpya imefichua kuwa Saudi Arabia inawatesa na kuwadhalilisha Waislamu wa Kirohingya wanaozuiliwa katika jela ya utawala huo wa kifalme.

  • ICC: Waliohusika katika jinai dhidi ya Waislamu Warohingya kuchukuliwa hatua

    ICC: Waliohusika katika jinai dhidi ya Waislamu Warohingya kuchukuliwa hatua

    Mar 12, 2019 07:52

    Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imesema watu waliohusika katika jinai za kutisha dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini Myanmar watakabiliwa na mkono wa sheria na kubebeshwa dhima ya jinai hizo.

  • Rais wa Iran: Wakimbizi Waislamu Warohingya werejeshwe haraka nchini Myanmar

    Rais wa Iran: Wakimbizi Waislamu Warohingya werejeshwe haraka nchini Myanmar

    Mar 10, 2019 01:18

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza udharura wa kuwepo utulivu na amani nchini Myanmar na kusema kuwa wakimbizi Waislamu wa jamii ya Rohingya wanapaswa kurejeshwa haraka na kwa amani katika makazi yao nchini Myanmar.

  • Sisitizo la Umoja wa Mataifa la kusaidiwa kifedha Waislamu wa jamii ya Rohingya

    Sisitizo la Umoja wa Mataifa la kusaidiwa kifedha Waislamu wa jamii ya Rohingya

    Feb 20, 2019 02:39

    Umoja wa Mataifa umetoa wito wa kutolewa misaada ya kifedha kwa ajili ya Waislamu wa jamii ya Rohingya walioko nchini Bangladesh.

  • Israel yaendelea kuiuzia silaha serikali ya Myanmar licha ya mauaji dhidi ya Waislamu

    Israel yaendelea kuiuzia silaha serikali ya Myanmar licha ya mauaji dhidi ya Waislamu

    Feb 09, 2019 03:46

    Gazeti la Kizayuni la Haaretz limeandika kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel unaendelea kuiuzia silaha serikali ya Myanmar.

  • Mkuu wa jeshi la Myanmar akabiliwa na mashitaka ya mauaji ya kimbari

    Mkuu wa jeshi la Myanmar akabiliwa na mashitaka ya mauaji ya kimbari

    Jan 26, 2019 08:06

    Mjumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Myanmar amesema kuna udharura wa kumfungulia mashitaka ya jinai mkuu wa jeshi la Myanmar kwa kuongoza wimbi la mauaji dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya magharibi mwa nchi hiyo sambamba na kubakwa wanawake Waislamu wa jamii hiyo inayokandamizwa.

  • Kutangazwa muda wa kikao cha pili kati ya Rais Donald Trump na Kim Jong-un

    Kutangazwa muda wa kikao cha pili kati ya Rais Donald Trump na Kim Jong-un

    Jan 20, 2019 13:17

    Jana Jumamosi Shirika la Habari la Korea Kusini, Yonhap lilitangaza kwamba kikao cha pili kati ya Rais Donald Trump wa Marekani na Kim Jong-un, Kiongozi wa Korea Kaskazini kitafanyika mwishoni mwa mwezi ujao wa Februari na katika eneo ambalo litatangazwa baadaye.

  • Myanmar yazuia safari ya viongozi wa Umoja wa Mataifa katika mkoa wa Rakhine magharibi mwa nchi

    Myanmar yazuia safari ya viongozi wa Umoja wa Mataifa katika mkoa wa Rakhine magharibi mwa nchi

    Jan 16, 2019 13:19

    Afisa mmoja wa Umoja wa Mataifa ameeleza kuwa serikali ya Myanmar imeahirisha safari ya ujumbe wa umoja huo mkoani Rakhine magharibi mwa nchi hiyo.

  • Umoja wa Mataifa: Tuna wasiwasi na  wimbi jipya la ukandamizaji dhidi ya Waislamu nchini Myanmar

    Umoja wa Mataifa: Tuna wasiwasi na wimbi jipya la ukandamizaji dhidi ya Waislamu nchini Myanmar

    Jan 11, 2019 08:08

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, una wasiwasi mkubwa na wimbi jipya la ukandamizaji dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini Myanmar.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS