Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Myanmar

  • Saudia yawafukuza Waislamu wa Rohingya waliokimbia mauaji Myanmar

    Saudia yawafukuza Waislamu wa Rohingya waliokimbia mauaji Myanmar

    Jan 08, 2019 15:16

    Saudi Arabia imewasafirishwa kwa nguvu hadi nchini Bangladesh makumi ya wakimbizi Waislamu wa jamii ya Rohingya waliotorokea nchini humo baada ya kushadidi mauaji na mashambulizi dhidi yao katika nchi yao ya Myanmar.

  • Maseneta wa Marekani waitaka serikali yao itambue hujuma dhidi ya Waislamu Warohingya kuwa ni mauaji ya kimbari

    Maseneta wa Marekani waitaka serikali yao itambue hujuma dhidi ya Waislamu Warohingya kuwa ni mauaji ya kimbari

    Dec 20, 2018 08:00

    Kundi la Maseneta nchini Marekani limemtaka Mike Pompeo, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa nchi hiyo atambue hujuma zinazofanywa nchini Myanmar dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya kuwa ni mauaji ya kimbari.

  • Umoja wa Mataifa: Waislamu 15,000 Warohingya wamekimbia Myanmar hivi karibuni

    Umoja wa Mataifa: Waislamu 15,000 Warohingya wamekimbia Myanmar hivi karibuni

    Dec 19, 2018 15:13

    Nyaraka zilizotolewa na Umoja wa Mataifa zinaonyesha kuwa, Waislamu 15,000 wa jamii ya Rohingya wamekimbia kutoka Myanmar katika siku za hivi karibuni.

  • Kuongezwa vikwazo vya Baraza la Umoja wa Ulaya dhidi ya serikali ya Myanmar

    Kuongezwa vikwazo vya Baraza la Umoja wa Ulaya dhidi ya serikali ya Myanmar

    Dec 12, 2018 06:55

    Baraza la Umoja wa Ulaya limetoa taarifa ya kuiwekea vikwazo zaidi serikali ya Myanmar kutokana na kuendelea kushuhudiwa vitendo vya utumiaji mabavu dhidi ya Waislamu Warohingya.

  • EU yaongeza vikwazo vyake dhidi ya serikali ya Myanmar

    EU yaongeza vikwazo vyake dhidi ya serikali ya Myanmar

    Dec 11, 2018 02:36

    Baraza la Umoja wa Ulaya limetoa taarifa na kusema kuwa limeamua kuiwekea vikwazo zaidi serikali ya Myanamar kutokana na ukatili na ukandamizaji iliowafanyia Waislamu wa jamii ya Rohingya.

  • Ufaransa kumpokonya uraia wa fahari, San Suu Kyi kutokana na mauaji dhidi ya Waislamu Myanmar

    Ufaransa kumpokonya uraia wa fahari, San Suu Kyi kutokana na mauaji dhidi ya Waislamu Myanmar

    Dec 01, 2018 15:06

    Jiji la Paris nchini Ufaransa limechukua uamuzi wa kumnyang'anya uraia wa fahari kiongozi wa chama tawala nchini Myanman, Aung San Suu Kyi kutokana na mauaji yanayoendelea kufanywa na jeshi la nchi hiyo dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya.

  • Upinzani wa mabudha wenye misimamo mikali wa kurejea Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar

    Upinzani wa mabudha wenye misimamo mikali wa kurejea Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar

    Nov 27, 2018 12:28

    Watawa wa kibudha nchini Myanmar wamefanya maandamano wakipinga mpango wa kurejea nchini humo Waislamu wa jamii ya Rohingya.

  • Mynamar yawakamata Warohingya 106 wakielekea Malaysia

    Mynamar yawakamata Warohingya 106 wakielekea Malaysia

    Nov 16, 2018 16:41

    Maafisa wa Idara ya Uhamiaji wa Myanmar wamewatia nguvuni Waislamu 106 wa Rohingya ambao walikuwa safarini kuelekea Malaysia.

  • Bangladesh yatumia askari kuwafukuza kwa nguvu wakimbizi Warohingya

    Bangladesh yatumia askari kuwafukuza kwa nguvu wakimbizi Warohingya

    Nov 14, 2018 14:21

    Serikali ya Bangladesh imetuma maafisa usalama wakiwemo wanajeshi na askari polisi katika kambi za wakimbizi Waislamu wa Rohingya katika eneo la Cox wilayani Bazar, kusini mashariki mwa nchi kwa lengo la kuwafukuza kwa nguvu wakimbizi hao na kuwarejesha Myanmar.

  • UN: Waislamu wa Rohingya wanakabiliwa na hatari kubwa wakirejeshwa Myanmar

    UN: Waislamu wa Rohingya wanakabiliwa na hatari kubwa wakirejeshwa Myanmar

    Nov 14, 2018 02:39

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameitaka serikali ya Bangladesh kusimamisha mpango wake wa kuwarejesha kwa nguvu nchini Myanmar maelfu ya wakimbizi Waislamu wa Rohingya akisisitiza kuwa maisha yao yatakuwa hatarini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS