-
Umoja wa Mataifa waonya kuhusu kuendelea mauaji ya umati dhidi ya Waislamu wa Rohingya
Oct 25, 2018 14:00Mkuu wa Wachunguzi Maalumu na Timu ya Kutafuta Ukweli ya Umoja wa Mataifa nchini Myanmar ameonya juu ya kuendelea mauaji ya umati dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini humo.
-
Australia yawewekea vikwazo makamanda wa jeshi la Myanmar
Oct 24, 2018 02:51Serikali ya Australia imetangaza kuwawekea vikwazo makamanda watano wa jeshi la Myanmar wanaotuhumiwa kuongoza mauaji na jinai dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya.
-
Kuanza upya chokochoko za chinjachinja wa Myanmar dhidi ya Waislamu Warohingya
Oct 16, 2018 03:26Kiongozi wa Mabudha wa Myanmar wenye misimamo ya kufurutu mpaka maarufu kama chinjachinja wa Waislamu wa jamii ya Rohingya ameitisha maandamano katika mji wa Yangon ambapo mbali na kuunga mkono jinai zinazofanywa na jeshi la nchi hiyo dhidi ya Waislamu Warohingya, ameikosoa vikali pia jamii ya kimataifa kwa kuwafuatilia kisheria makamanda wa jeshi hilo.
-
Warohingya: Bora tuuliwe India kuliko kurejeshwa Myanmar
Oct 15, 2018 13:46Wakimbizi Waislamu wa jamii ya Rohingya wanaoishi kambini nchini India wamesema afadhali wauawe wakiwa ndani ya nchi hiyo badala ya kurejeshwa nchini kwao Myanmar.
-
Umoja wa Mataifa: Myanmar si mahali salama kwa Waislamu Warohingya
Oct 08, 2018 08:10Umoja wa Mataifa umeeleza katika ripoti yake mpya kuhusu Myanmar kuwa serikali ya nchi hiyo haijatayarisha mazingira yoyote kuwawezesha Waislamu Warohingya kurejea kwenye maisha yao ya kawaida.
-
Hofu ya UN juu ya kufukuzwa India wakimbizi wa Rohingya
Oct 06, 2018 03:48Umoja wa Mataifa umeonesha kutiwa wasiwasi mkubwa na hatua ya India ya kuwafukuza wakimbizi Waislamu wa Rohingya na kuwarejesha nchini Myanmar.
-
Baada ya kimya cha muda mrefu Marekani yakiri, kumefanyika jina kubwa dhidi ya Waislamu, Myanmar
Sep 26, 2018 04:07Baada ya kunyamaza kimya kwa muda mrefu mbele ya jinai na mauaji ya kimbari yanayofanywa dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini Myanmar, hatimaye Marekani imetoa ripoti ikisisitiza kuuwa jeshi la nchi hiyo ya Kusini Mashariki mwa Asia limefanya jinai na uhalifu wa kupanga na ulioratibiwa dhidi ya jamii hiyo.
-
Pingamizi la Myanmar kwa uchunguzi wa Umoja wa Mataifa kuhusu mauaji ya kizazi ya Waislamu Warohingya
Sep 26, 2018 04:05Mkuu wa majeshi ya Myanmar ametangaza kuwa, Umoja wa Mataifa hauna haki ya kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo kupitia uchunguzi kuhusiana na wakazi wa jimbo la Rakhine la magharibi mwa nchi hiyo.
-
ICC yaanza kuchunguza jinai za Myanmar dhidi ya Waislamu Warohingya
Sep 19, 2018 06:43Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imeanza kuchunguza jinai dhidi ya binaadamu zinazofanywa na serikali ya Myanmar dhidi ya Waislamu wa Rohingya.
-
Ujumbe wa bunge la Ujerumani: Maafa ya Myanmar ni maangamizi ya kizazi
Sep 12, 2018 03:42Ujumbe wa wabunge wa Ujerumani walioitembelea Myanmar wameeleza kuwa jinai zililizofanywa dhidi ya Waislamu wa kabila la Rohingya nchini humo si chini ya maangamizi ya kizazi.