-
UN yataka kushughulikiwa jinai za serikali ya Myanmar dhidi ya Waislamu wa Rohingya
Sep 10, 2018 14:42Kamishna Mkuu mpya wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kuanzishwa chombo cha kufuatilia jinai zinazofanywa na serikali ya Myanmar dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini humo.
-
Kamisheni ya Haki za Binadamu ya UN yamtaka Aung San Suu Kyi ajiuzulu
Aug 30, 2018 16:30Kamisheni ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa imekemea jinai zinazofanywa na jeshi la Myanmar dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini humo na uungaji mkono wa kiongozi wa chama tawala Aung Saun Suu Kyi na imemtaka ajiuzulu.
-
Takwa la Kamati ya Kutafuta Ukweli ya Umoja wa Mataifa la kushtakiwa Mkuu wa Jeshi la Myanmar
Aug 28, 2018 13:05Kamati ya Kutafuta Ukweli ya Umoja wa Mataifa imezungumzia jinai za wanajeshi wa Myanmar dhidi ya Waislamu Warohingya na kutoa wito wa kushtakiwa mkuu wa jeshi la nchi hiyo Jenerali Min Aung Hlaing.
-
Ripoti mpya ya jinai za jeshi la Myanmar dhidi ya Waislamu, watu elfu 24 wauawa na 17 elfu wanajisiwa
Aug 20, 2018 04:12Ripoti mpya imetolewa na taasisi moja ya kimataifa kuhusiana na ukubwa wa jinai za jeshi la serikali dhidi ya Waislamu nchini Myanmar.
-
Waislamu Warohingya wanauawa kwa umati na kubakwa Myanmar
Jul 21, 2018 07:27Shirika moja la kimataifa la madaktari wataalamu limesema limekusanya ushahidi unaoonyesha wazi kuwa Waislamu Warohingya wanauawa kwa umati na kubakwa nchini Myanmar.
-
UN: Myanmar ingali inawatendea jinai Waislamu wa Rohingya
Jul 19, 2018 15:37Wachunguzi wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa wamesema Waislamu wa jamii ya Rohingya wangali wanafanyiwa jinai za kuogofya na wanajeshi wa Myanmar wakishirikiana na Mabudha wenye misimamo ya kufurutu ada.
-
IHRC: Wahusika wa mauaji ya kimbari ya Waislamu wa Myanmar wapandishwe kizimbani
Jul 12, 2018 04:10Tume ya Kiislamu ya Haki za Binadamu (IHRC) inataka wakuu wa kijeshi na kiserikali nchini Myanmar wafikishwe katika mahakama ya kimataifa kujibu mashtaka ya kutenda jinai dhidi ya jamii ya Waislamu Warohingya.
-
Kupatikana na hatia waandishi habari wa Reuters waliofichua jinai dhidi ya Waislamu Myanmar
Jul 09, 2018 14:01Mahakama ya mji wa Yangon nchini Myanmar, imewapata na hatia ya kufichua nyaraka muhimu za serikali waandishi wawili wa habari wa shirika la habari la Reuters ambao walifichua jinai za serikali ya Myanmar dhidi ya Waislamu wa Rohingya.
-
Madaktari wathibitisha Waislamu Myanmar wametendewa jinai za kuogofya
Jul 06, 2018 13:33Jumuiya ya Madaktari Watetezi wa Haki za Binadamu (PHR) imethibitisha ripoti za jinai za kuogofya wanazotendewa Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini Myanmar.
-
Waislamu Warohingya 11,432 wamekimbia ukandamizaji Myanmar mwaka 2018
Jul 05, 2018 03:39Waislamu Warohingya wasiopungua 11,432 wamekimbia ukandamizaji wanaotendewa nchini Myanmar na kupata hifadhi katika nchi jirani ya Bangladesh.