-
Msalaba Mwekundu: Myanmar sio salama kurejea wakimbizi wa Rohingya
Jul 02, 2018 07:40Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu imesema sio salama kwa maelfu ya wakimbizi wa Rohingya wanaoshi kambini katika nchi jirani ya Bangladesh kurejea makwao katika mkoa wa Rakhine nchini Myanmar.
-
Matarajio ya Bangladesh kwa China kuhusu wakimbizi Waislamu wa Myanmar
Jul 01, 2018 07:46Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa China ameeleza utayari wa serikali ya Myanmar kwa ajili ya kurejea nchini humo mamia ya wakimbizi Waislamu wa jamii ya Rohingya kutoka Bangladesh.
-
Uamuzi wa Umoja wa Ulaya wa kuwawekea vikwazo viongozi wa Myanmar
Jun 26, 2018 04:21Hatimaye mateso na masaibu wanaykabiliana nayo Waislamu wa kabila la Rohingya wa nchini Myanmar yameupelekea Umoja wa Ulaya kutekeleza vikwazo kwa viongozi wa Myanmar.
-
Jeshi la Myanmar: Waislamu Warohingya watakuwa salama katika maeneo waliyoainishiwa
May 06, 2018 02:35Mkuu wa majeshi ya Myamnar amedai kuwa, wakimbizi Waislamu Warohingya wanaorejea nchini humo watakuwa salama madhali tu watabakia katika kambi na vijiji walivyoainishiwa.
-
UN: Watu 4,000 wamekimbia mapigano mapya Myanmar
Apr 28, 2018 07:43Umoja wa Mataifa umesema watu zaidi ya elfu nne wamekimbia mapigano mapya kati ya wanajeshi wa Myanmar na genge moja la kikabila katika muda wa wiki chache zilizopita, kaskazini mwa nchi.
-
Kuwekwa katika orodha nyeusi na UN jeshi la Myanmar kutokana na jinai zake dhidi ya Waislamu wa Rohingya
Apr 16, 2018 02:52Umoja wa Mataifa umeliweka katika orodha nyeusi jeshi la Myanmar kutokana na jinai na ukatili wake mkubwa wa kijinsia dhidi ya wanawake na wasichana wa kabila la Rohingya.
-
Ripoti ya Antonio Guterres: Jeshi la Myanmar liliwabaka Waislamu Warohingya
Apr 15, 2018 07:55Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa, jeshi la Myanmar lilitumia suala la ubakaji kama wenzo wa kuwafanya Waislamu wa jamii ya Rohingya wayakimbie makazi yao.
-
Jeshi la Myanmar lawekwa katika orodha nyeusi ya UN
Apr 14, 2018 07:06Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa imeliweka jeshi la Myanmar katika orodha nyeusi ya umoja huo, kutokana na jinai za ubakaji zilizofanywa na askari wa nchi hiyo dhidi ya Waislamu wa Rohingya.
-
Kuchunguzwa kadhia ya Waislamu Warohingya wa Myanmar katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC
Apr 12, 2018 07:12Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) amewataka majaji wa mahakama hiyo yenye makao yake The Hague Uholanzi watoe amri ya kimahakama ya kuchunguza kuondoka kwa lazima mamia ya maelfu ya wakimbizi Waislamu wa jamii ya Rohingya katika jimbo la Rakhine na kuelekea Bangladesh.
-
UN: Myanmar haipo tayari kuwapokea wakimbizi Warohingya
Apr 08, 2018 07:27Umoja wa Mataifa umesema Myanmar haipo tayari kuwapokea malaki ya wakimbizi Waislamu wa Rohingya wanaoishi kambini katika nchi jirani ya Bangladesh.