Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Netanyahu

  • Ni marufuku wenye paspoti za Israel kuingia Maldives kutokana na jinai za Wazayuni Ghaza

    Ni marufuku wenye paspoti za Israel kuingia Maldives kutokana na jinai za Wazayuni Ghaza

    Apr 16, 2025 02:20

    Maldives haitawaruhusu tena watu wenye pasi za kusafiria za utawala wa Kizayuni wa Israel kuingia nchini humo.

  • Amnesty International: Netanyahu anapaswa kukamatwa na kupelekwa The Hague

    Amnesty International: Netanyahu anapaswa kukamatwa na kupelekwa The Hague

    Apr 02, 2025 03:06

    Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetangaza kuwa, mwaliko wa Hungary kwa Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, kuzuru nchi hiyo ni ukiukaji wa sheria za kimataifa, na Budapest inapaswa kumkamata na kumkabidhi kwa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC).

  • HAMAS: Netanyahu anaongopa akidai vita vitawarejesha mateka wote wakiwa hai

    HAMAS: Netanyahu anaongopa akidai vita vitawarejesha mateka wote wakiwa hai

    Mar 26, 2025 11:11

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imemshutumu Waziri Mkuu wa Israel, Benjami Netanyahu kwa "kudanganya familia za [mateka], anapodai kuwa chaguo la kijeshi lina uwezo wa kuwarejesha (mateka wote) wakiwa hai."

  • Mawakili 77 wa Ujerumani waitaka serikali iheshimu hukumu ya ICC ya kumkamata Netanyahu

    Mawakili 77 wa Ujerumani waitaka serikali iheshimu hukumu ya ICC ya kumkamata Netanyahu

    Mar 24, 2025 02:31

    Mawakili 77 mashuhuri wa Ujerumani wametoa tamko la kuunga mkono uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC wa kuagiza waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu akamatwe na kuitaka serikali ya shirikisho ya Ujerumani iheshimu uamuzi huo.

  • Katibu Mkuu wa UN asema ameshtushwa na mashambulio mapya ya Israel Ghaza

    Katibu Mkuu wa UN asema ameshtushwa na mashambulio mapya ya Israel Ghaza

    Mar 19, 2025 04:16

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema, ameshtushwa na mashambulizi ya hivi karibuni ya anga yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Ghaza yaliyoua shahidi mamia ya Wapalestina wakiwemo watoto na wanawake.

  • Hamas yaukosoa utawala wa Kizayuni kwa kukwamisha utekelezaji wa makubaliano ya kusimamisha mapigano

    Hamas yaukosoa utawala wa Kizayuni kwa kukwamisha utekelezaji wa makubaliano ya kusimamisha mapigano

    Feb 04, 2025 07:31

    Kiongozi wa ngazi ya juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kuwa Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni anaendelea kukwamisha utekelezaji wa makubaliano ya kusimamisha mapigano na kubadilishana kwa uhuru wafungwa na mateka.

  • Waziri Mkuu wa Iraq: Jenerali Soleimani alikuwa bega kwa bega na Iraq katika nyakati ngumu kabisa

    Waziri Mkuu wa Iraq: Jenerali Soleimani alikuwa bega kwa bega na Iraq katika nyakati ngumu kabisa

    Jan 06, 2025 06:20

    Waziri Mkuu wa Iraq amemsifu na kumuenzi kamanda mkuu wa zamani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wa kupambana na ugaidi Luteni Jenerali Shahidi Qassem Soleimani, akisema, kamanda huyo alisimama bega kwa bega na nchi hiyo ya Kiarabu katika nyakati ngumu na za changamoto kubwa zaidi.

  • ICC: Mawasiliano na ufuatiliaji unaendelea kufanywa ili kuwatia nguvuni Netanyahu na Gallant

    ICC: Mawasiliano na ufuatiliaji unaendelea kufanywa ili kuwatia nguvuni Netanyahu na Gallant

    Dec 15, 2024 05:35

    Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC imetangaza kuwa, mawasiliano na ufuatiliaji mkubwa unaendelea kufanywa ili kuweza kuwatia mbaroni waziri mkuu pamoja na waziri wa zamani wa vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Syria yajibu madai ya Netanyahu kuhusu Golan inayokaliwa kwa mabavu

    Syria yajibu madai ya Netanyahu kuhusu Golan inayokaliwa kwa mabavu

    Dec 11, 2024 04:29

    Spika wa Bunge la Syria amejibu madai ya kijeuri ya Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu Golan inayokaliwa kwa mabavu.

  • Shirikisho la Wanahabari: Waandishi 104 wameuliwa 2024, zaidi ya nusu wameuawa Ghaza

    Shirikisho la Wanahabari: Waandishi 104 wameuliwa 2024, zaidi ya nusu wameuawa Ghaza

    Dec 10, 2024 11:26

    Shirikisho la Kimataifa la Wanahabari (IFJ) limetangaza leo kuwa 2024 umekuwa mwaka wa "mauti zaidi" kwa waandishi wa habari kutokana na waandishi 104 wa habari kuuawa duniani kote, huku zaidi ya nusu kati yao wakiuawa katika Ukanda wa Ghaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS