-
Mawaziri sita wa serikali ya Israel washiriki katika maandamano ya kupinga serikali
Dec 17, 2018 11:50Baada ya kupata kipigo kutoka kwa wanamapambano wa Palestina na kulazimika Israel kukomesha uvamizi wake wa Ghaza baada ya siku mbili tu, sasa hivi utawala wa Kizayuni umekumbwa na maandamano ya kuipinga serikali huku mawaziri sita wa serikali hiyo nayo wakishiriki kwenye maandamano ya jana usiku ya kumpinga waziri mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu.
-
Ripoti: 70% ya kauli za viongozi wa Israel wakiongozwa na Netanyahu, ni porojo
Nov 20, 2018 04:31Utafiti mpya umefichua kuwa, zaidi ya asilimia 70 ya matamshi yanayotolewa na wanasiasa wa utawala wa Kizayuni wa Israel ni urongo, porojo na propaganda, huku Waziri Mkuu wa utawala huo pandikizi, Benjamin Netanyahu akiongoza katika orodha hiyo.
-
Duru za habari: Baada ya Lieberman, Waziri wa Uhajiri wa Israel naye pia amejiuzulu
Nov 15, 2018 03:48Vyombo vya habari vimeripoti kuwa waziri mwengine katika serikali ya Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel, amejiuzulu.
-
Netanyahu aunga mkono kunyongwa mateka wa Kipalestina
Nov 06, 2018 11:37Waziri Mkuu wa Utawala wa Kizayuni wa Israel ameunga mkono muswada unaopendekeza kunyongwa mateka wa Kipalestina wanaoshikiliwa katika jela za kutisha za utawala huo.
-
Viongozi wa Kikristo mjini Quds wakosoa ubaguzi wa Netanyahu
Nov 06, 2018 04:30Wakuu wa Kanisa Katoliki katika mji wa Quds tukufu unaokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel wamemuandikia barua Waziri Mkuu wa utawala huo ghasibu wakikosoa misimamo yake ya kibaguzi.
-
Netanyahu: Ni kweli Israel imehusika na njama za kuvuruga uhusiano wa Iran na EU
Nov 02, 2018 04:11Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel amekiri kuwa, Tel Aviv imehusika katika wimbi la hivi karibuni la upotoshaji, hadaa na tuhuma za urongo zinazozushwa na baadhi ya nchi za Ulaya dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Netanyahu akiri kuwa uwepo wa Israel uko hatarini
Aug 12, 2018 23:16Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel amesema uwepo wa utawala huo uko hatarini.
-
Onyo la maafisa wa zamani wa kijasusi wa Marekani kuhusu nyaraka bandia za Netanyahu dhidi ya Iran
Aug 07, 2018 01:45Israel ambayo inahesabiwa kuwa mmoja wa maadui wakubwa wa Iran katika eneo la Mashariki ya Kati daima inafanya njama na kueneza madai ya uongo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu hususan katika mradi wake wa amani wa nyuklia lengo lake kuu likiwa ni kutaka kupoteza imani ya jamii ya kimataifa na kuifanya ichukue hatua dhidi ya Iran.
-
Uwezo na mafanikio ya Iran vyamkosesha utulivu Netanyahu
Jul 17, 2018 22:02Suala la Iran limekuwa likizidi kuvuruga akili ya Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa Utawala Haramu wa Israel kiasi kwamba hata katika nyakati za mapumziko kadhia ya Iran inamkosesha utulivu.
-
Mke wa Netanyahu afunguliwa kesi ya ufisadi wa kifedha
Jun 21, 2018 09:24Mke wa Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel amefunguliwa rasmi faili la kesi ya ufisadi wa kifedha.