-
Vituo viwili vya afya vyashambuliwa kaskazini magharibi mwa Nigeria
Oct 19, 2022 07:02Majambazi waliokuwa na silaha wameshambulia hospitali na kituo cha afya huko kaskazini magharibi mwa Nigeria na kuua watu kadhaa.
-
Wahadhiri wa vyuo vikuu Nigeria wahitimisha mgomo wao wa miezi 8
Oct 14, 2022 10:05Muungano wa Kitaaluma wa Wafanyakazi wa Vyuo Vikuu vya Serikali Nigeria (ASUU) umetangaza leo Ijumaa kuhitimiha mgomo wao wa miezi 8.
-
Mahakama Nigeria yamuondolea mashitaka kiongozi wa harakati ya Biafra
Oct 14, 2022 04:23Mahakama ya Rufaa ya Nigeria imemfutia mashitaka yote Nnamdi Kanu, kiongozi wa Watu wa Asili wa Biafra (IPOB), wanaotaka kujitenga eneo la kusini mashariki mwa nchi hiyo ya Afrika Magharibi.
-
Walioaga dunia kwa mafuriko Nigeria wapindukia 500, Sudan Kusini 62
Oct 13, 2022 07:14Idadi ya watu walioaga dunia kutokana na mafuriko huko nchini Nigeria imeongezeka na kufikia watu 500.
-
Mafuriko yaua watu 24 kaskazini mwa Nigeria
Oct 08, 2022 07:42Watu wasiopungua 24 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zilizonyesha katika jimbo la Katsina la kaskazini mwa Nigeria.
-
Nigeria: Mateka wa mwisho katika shambulio la treni la mwezi Machi waachiliwa huru
Oct 06, 2022 10:07Mateka 23 wa mwisho waliokuwa wakishikiliwa na watu wenye silaha huko Nigeria ambao walitekeleza shambulio kubwa katika treni huko kaskazini magharibi mwa nchi hiyo mwishoni mwa mwezi Machi mwaka huu wameachiwa huru. Hayo yameelezwa na maafisa husika wa nchi hiyo.
-
Jumamosi, tarehe Mosi Oktoba, 2022
Oct 01, 2022 00:38Leo ni Jumamosi tarehe 4 Mfunguo Sita Rabiul-Awwal 1444 Hijria mwafaka na tarehe Mosi Oktoba 2022 Miladia.
-
Maadhimisho ya Arubaini ya Imam Hussein yafanyika Tanzania, Nigeria, Niger
Sep 18, 2022 03:46Waislamu ya madhehebu ya Shia Tanzania, visiwani Zanzibar, Nigeria na Niger wamefanya marasimu, matembezi na vikao vya kuadhimisha Arubaini ya Imam Hussein (AS).
-
Iran: Muafaka utapatikana Marekani ikizingatia uhalisia wa mambo
Sep 14, 2022 03:25Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kuwa, ikiwa Marekani itazingatia uhalisia wa mambo, basi makubaliano mazuri, imara na ya kudumu yanaweza kufikiwa kwa uungaji mkono wa pande zote katika mazungumzo ya Vienna.
-
Jeshi la Nigeria laua magaidi 420 wa Boko Haram, ISIS huko Borno
Sep 11, 2022 07:28Jeshi la Nigeria limetangaza habari ya kuwaangamiza mamia ya wanachama wa kundi la kigadi la Boko Haram na lile la ISIS Wilaya ya Afrika Magharibi (ISWAP) kaskazini mwa nchi.