Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Maadhimisho ya Arubaini ya Imam Hussein yafanyika Tanzania, Nigeria, Niger

    Maadhimisho ya Arubaini ya Imam Hussein yafanyika Tanzania, Nigeria, Niger

    Sep 18, 2022 03:46

    Waislamu ya madhehebu ya Shia Tanzania, visiwani Zanzibar, Nigeria na Niger wamefanya marasimu, matembezi na vikao vya kuadhimisha Arubaini ya Imam Hussein (AS).

  • Iran: Muafaka utapatikana Marekani ikizingatia uhalisia wa mambo

    Iran: Muafaka utapatikana Marekani ikizingatia uhalisia wa mambo

    Sep 14, 2022 03:25

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kuwa, ikiwa Marekani itazingatia uhalisia wa mambo, basi makubaliano mazuri, imara na ya kudumu yanaweza kufikiwa kwa uungaji mkono wa pande zote katika mazungumzo ya Vienna.

  • Jeshi la Nigeria laua magaidi 420 wa Boko Haram, ISIS huko Borno

    Jeshi la Nigeria laua magaidi 420 wa Boko Haram, ISIS huko Borno

    Sep 11, 2022 07:28

    Jeshi la Nigeria limetangaza habari ya kuwaangamiza mamia ya wanachama wa kundi la kigadi la Boko Haram na lile la ISIS Wilaya ya Afrika Magharibi (ISWAP) kaskazini mwa nchi.

  • Nigeria yaomba kuwa na ushirikiano wa kijeshi na Iran

    Nigeria yaomba kuwa na ushirikiano wa kijeshi na Iran

    Sep 04, 2022 06:33

    Mwanadiplomasia mstaafu na mzoefu wa Nigeria Babaji Umar Misau amesema, ana matumaini kuwa nchi yake itaendelea kuwa na ushirikiano mzuri na wenye manufaa na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, ambayo rafiki yake wa zamani kama ilivyokuwa kwa miongo mingi.

  • Watoto 22,500 waaga dunia kwa kuvuta hewa chafu Lagos, Nigeria

    Watoto 22,500 waaga dunia kwa kuvuta hewa chafu Lagos, Nigeria

    Aug 30, 2022 21:51

    Watoto zaidi ya 22,500 walipoteza maisha mwaka jana 2021 katika jimbo lenye idadi kubwa zaidi ya watu la Lagos, kusini magharibi mwa Nigeria kutokana na kuvuta hewa.

  • Iran na Nigeria kupanua ushirikiano wao katika uga wa nishati

    Iran na Nigeria kupanua ushirikiano wao katika uga wa nishati

    Aug 27, 2022 20:52

    Waziri wa Mafuta wa Iran ameeleza matumaini yake ya kuimarika ushirikiano wa Jamhuri ya Kiislamu na Nigeria katika uga wa nishati.

  • Maandamano ya kupinga kufungiwa chaneli 53 za redio na televisheni Nigeria yaipigisha magoti serikali

    Maandamano ya kupinga kufungiwa chaneli 53 za redio na televisheni Nigeria yaipigisha magoti serikali

    Aug 26, 2022 22:53

    Serikali ya Nigeria imelegeza msimamo kufuatia maandamano ya kupinga na kulalamikia kusimamishwa shughuli za chaneli 53 za redio na televisheni nchini humo.

  • Makumi ya magaidi wauawa kaskazini mwa Nigeria

    Makumi ya magaidi wauawa kaskazini mwa Nigeria

    Aug 12, 2022 21:00

    Kwa akali wanamgambo 29 wameuawa huku wengine wasiopungua 55 wakitiwa mbaroni katika operesheni ya jeshi la Nigeria kaskazini mashariki mwa nchi.

  • Askari wa Nigeria washambulia Waislamu waliokuwa kwenye maombolezo ya Ashura

    Askari wa Nigeria washambulia Waislamu waliokuwa kwenye maombolezo ya Ashura

    Aug 08, 2022 22:46

    Askari wa serikai ya Nigeria wameshambulia kumbukuku za maomboleza ya Ashura ya Imam Husain AS katika mji wa Zaria na kuua shahidi na kujeruhi Waislamu kadhaa.

  • Waislamu Iran, Nigeria waungana na wenzao kote duniani katika maombolezo ya Ashura

    Waislamu Iran, Nigeria waungana na wenzao kote duniani katika maombolezo ya Ashura

    Aug 08, 2022 03:03

    Wananchi Waislamu hapa Iran na Nigeria jana na leo wameungana na mamilioni ya wafuasi wengine wa Ahlul-Baiti (as) duniani kote katika kumbukumbu ya mauaji ya mjukuu wa Mtume SAW, Imam Hussein AS.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS