-
Maadhimisho ya Arubaini ya Imam Hussein yafanyika Tanzania, Nigeria, Niger
Sep 18, 2022 03:46Waislamu ya madhehebu ya Shia Tanzania, visiwani Zanzibar, Nigeria na Niger wamefanya marasimu, matembezi na vikao vya kuadhimisha Arubaini ya Imam Hussein (AS).
-
Iran: Muafaka utapatikana Marekani ikizingatia uhalisia wa mambo
Sep 14, 2022 03:25Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kuwa, ikiwa Marekani itazingatia uhalisia wa mambo, basi makubaliano mazuri, imara na ya kudumu yanaweza kufikiwa kwa uungaji mkono wa pande zote katika mazungumzo ya Vienna.
-
Jeshi la Nigeria laua magaidi 420 wa Boko Haram, ISIS huko Borno
Sep 11, 2022 07:28Jeshi la Nigeria limetangaza habari ya kuwaangamiza mamia ya wanachama wa kundi la kigadi la Boko Haram na lile la ISIS Wilaya ya Afrika Magharibi (ISWAP) kaskazini mwa nchi.
-
Nigeria yaomba kuwa na ushirikiano wa kijeshi na Iran
Sep 04, 2022 06:33Mwanadiplomasia mstaafu na mzoefu wa Nigeria Babaji Umar Misau amesema, ana matumaini kuwa nchi yake itaendelea kuwa na ushirikiano mzuri na wenye manufaa na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, ambayo rafiki yake wa zamani kama ilivyokuwa kwa miongo mingi.
-
Watoto 22,500 waaga dunia kwa kuvuta hewa chafu Lagos, Nigeria
Aug 30, 2022 21:51Watoto zaidi ya 22,500 walipoteza maisha mwaka jana 2021 katika jimbo lenye idadi kubwa zaidi ya watu la Lagos, kusini magharibi mwa Nigeria kutokana na kuvuta hewa.
-
Iran na Nigeria kupanua ushirikiano wao katika uga wa nishati
Aug 27, 2022 20:52Waziri wa Mafuta wa Iran ameeleza matumaini yake ya kuimarika ushirikiano wa Jamhuri ya Kiislamu na Nigeria katika uga wa nishati.
-
Maandamano ya kupinga kufungiwa chaneli 53 za redio na televisheni Nigeria yaipigisha magoti serikali
Aug 26, 2022 22:53Serikali ya Nigeria imelegeza msimamo kufuatia maandamano ya kupinga na kulalamikia kusimamishwa shughuli za chaneli 53 za redio na televisheni nchini humo.
-
Makumi ya magaidi wauawa kaskazini mwa Nigeria
Aug 12, 2022 21:00Kwa akali wanamgambo 29 wameuawa huku wengine wasiopungua 55 wakitiwa mbaroni katika operesheni ya jeshi la Nigeria kaskazini mashariki mwa nchi.
-
Askari wa Nigeria washambulia Waislamu waliokuwa kwenye maombolezo ya Ashura
Aug 08, 2022 22:46Askari wa serikai ya Nigeria wameshambulia kumbukuku za maomboleza ya Ashura ya Imam Husain AS katika mji wa Zaria na kuua shahidi na kujeruhi Waislamu kadhaa.
-
Waislamu Iran, Nigeria waungana na wenzao kote duniani katika maombolezo ya Ashura
Aug 08, 2022 03:03Wananchi Waislamu hapa Iran na Nigeria jana na leo wameungana na mamilioni ya wafuasi wengine wa Ahlul-Baiti (as) duniani kote katika kumbukumbu ya mauaji ya mjukuu wa Mtume SAW, Imam Hussein AS.