-
Makumi ya magaidi wauawa katika mji mkuu wa Nigeria
Jul 29, 2022 23:11Jeshi la Nigeria limetangaza habari ya kuwaangamiza makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi lililowashambulia askari wa Brigedi ya Gadi ya Rais na kuua wanane miongoni mwao mapema mwezi huu katika eneo la Bwari, mjini Abuja.
-
Jeshi la Nigeria laua magaidi 46 wa ISWAP jimboni Borno
Jul 18, 2022 03:08Jeshi la Nigeria limetangaza habari ya kuwaangamiza wanachama 46 wa kundi la kigadi la ISIS Wilaya ya Afrika Magharibi (ISWAP) kaskazini mwa nchi.
-
AU yatuma askari polisi wapya 160 wa Nigeria huko nchini Somalia
Jul 15, 2022 22:16Kikosi cha Mpito cha Umoja wa Afrika nchini Somalia (ATMIS) kimepokea askari polisi 160 kutoka Nigeria, watakaikisaidia katika jitihada za kurejesha uthabiti katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Kasisi akamatwa Nigeria kwa 'kuwashika mateka' kanisani watu 77
Jul 03, 2022 03:19Watu karibu 80 waliokuwa wameshikwa mateka na kasisi mmoja ndani ya kanisa huko nchini Nigeria, wameokolewa katika operesheni ya maafisa usalama.
-
Jeshi la Nigeria laua wabeba silaha 82 jimboni Zamfara
Jul 01, 2022 21:53Jeshi la Nigeria limetangaza habari ya kuangamiza makumi ya wanachama wa genge moja la wabeba silaha katika jimbo la Zamfara, kaskazini magharibi mwa nchi hiyo.
-
Hatima ya Sheria za Kiislamu Nigeria kujulikana kabla ya Oktoba
Jun 23, 2022 20:47Mahakama moja nchini Nigeria jana Alkhamisi iliakhirisha uamuzi wake kuhusu shauri lililowasilishwa mbele yake likipinga utekelezwaji wa Sheria za Kiislamu (Sheria) katika jimbo la Kano la kaskazini mwa nchi.
-
UN: Usipopatikana msaada wa haraka hali ya kibinadamu itakuwa mbaya zaidi Nigeria
Jun 22, 2022 03:27Mwakilishi wa Umoja wa Mataifa nchini Nigeria ambaye pia ni mratibu wa misaada ya kibinadamu nchini humo Matthias Schmale amesema zaidi ya watu milioni 4.1 kaskazini mashariki mwa nchi hiyo wanahitaji msaada wa haraka wa chakula katika msimu wa mwambo utakao anza hivi karibuni.
-
Magaidi Nigeria wawaachia huru watu 11 waliowateka katika shambulio dhidi ya treni
Jun 12, 2022 03:25Abiria 11 kati ya 61 waliotekwa nyara na genge la wabeba silaha katika shambulizi la kigaidi lililolenga treni ya abiria jimboni Kaduna, Kaskazini Magharibi mwa Nigeria wameachiwa huru.
-
Abdollahian: Iran haina vizingiti katika kukuza ushirikiano wake na Nigeria
Jun 12, 2022 00:14Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran haina vizingiti vyovyote katika njia ya kustawisha uhusiano wake na Nigeria.
-
Nigeria: Ulimwengu wa Kiislamu ushikamane kuangamiza fikra ya ukufurishaji
Jun 11, 2022 02:57Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Nigeria amesema kuwa, nchi za Kiislamu na Waislamu wote kwa ujumla wanapaswa kuungana na kuwa kitu kimoja katika vita vya kuangamiza fikra potofu ya ukufurishaji.